Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,525
- 4,090
Hata hivyo binadamu huwa anakumbuka mabaya kuliko mazuri.
Hii ndio asili ya mwanadamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio asili ya mwanadamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakristo wakifunga ndoa huwa wanakula kiapo cha " KUISHI PAMOJA KWA SHIDA NA RAHA"
RAHA inasimama badala ya MUNGU.
SHIDA inasimama badala ya SHETANI.
So kwa maana nyingine ni kiapo cha kuwaunganisha mke,mume,Mungu na Shetani kwa pamoja kitu ambacho ni batili kwa sababu Mungu ( Nuru ) na Shetani ( Giza ) hawawezi kukaa pamoja katika eneo moja kwa wakati mmoja.
Uwepo wa Nuru una maanisha kutokuwepo kwa Giza and vice versa.
Shida haiwezi kukaa pamoja na Raha . Na ukilazimisha kuviweka shida na raha kwa pamoja basi atakae kuwa mtawala hapo ni Shida na sio raha.
Kwa hiyo mtawala halali wa ndoa za kikristo ni shida ( Shetani) kwa sababu wanandoa wenyewe hula kiapo cha kukabidhi unganiko lao chini ya utawala wa Shetani ( Shida )
UTHIBITISHO WA HOJA YANGU
Ukitaka kuthibitisha ninacho kieleza hapa watafute wanandoa wakristo walio kula kiapo cha kuishi pamoja kwa shida na raha na ambao wamekuwa pamoja kwa at least miaka kumi halafu wape karatasi.
Waambie karatasi moja waorodheshe mambo yote ya raha walio yapata tangu waingie katika ndoa na karatasi nyingine waorodheshe shida zote walizo zipata tangu waingie katika ndoa.
Am sure as hell mambo ya shida yatakuwa mengi kuliko mambo ya raha tena kwa ratio kubwa tu.
SULUHISHO NA MAPENDEKEZO
1. KANISA LIFUTE KIAPO CHA KUISHI PAMOJA KWA. SHIDA NA RAHA NA BADALA YAKE WANANDOA WALE KIAPO CHA KUINGIA KATIKA AGANO LA KUUNGANA NA KUWA MWILI MMOJA AMBAPO MWANAUME ATAAPA KUWA KICHWA NA MWANAMKE ATAAPA KUWA MWILI.. Ni agano linalo patana na Biblia.
Agano la kuishi pamoja kwa shida na raha halijaandikwa sehemu yoyote ile ndani ya Biblia.Sijui wametoa wapi? Hata Mungu alivyo waweka Adam na Hawa pale bustanini hakuwaambia waishi pamoja kwa shida na raha. Aliwabariki na kuwaambia wazae ili kuijaza dunia.
2. KWA WALE AMBAO WALISHAKULA KIAPO CHA KUISHI PAMOJA KWA SHIDA NA RAHA WATENGUE VIAPO VYAO NA KULA KIAPO KIPYA AMBACHO NIMEKIPENDEKEZA HAPO JUU.
N.B: Hata Bible imezitenganisha shida na raha kwa sababu inajua vitu hivi haviwezi kukaa pamoja.
Inasema " Kila jambo na wakati wake.Kuna wakati wa shida na wakati wa raha "
Wakati wa shida =Wakati wa Shetani kutawala
Wakati wa raha = Wakati wa Mungu kutawala
Wakristo wakifunga ndoa huwa wanakula kiapo cha " KUISHI PAMOJA KWA SHIDA NA RAHA"
RAHA inasimama badala ya MUNGU.
SHIDA inasimama badala ya SHETANI.
So kwa maana nyingine ni kiapo cha kuwaunganisha mke,mume,Mungu na Shetani kwa pamoja kitu ambacho ni batili kwa sababu Mungu ( Nuru ) na Shetani ( Giza ) hawawezi kukaa pamoja katika eneo moja kwa wakati mmoja.
Uwepo wa Nuru una maanisha kutokuwepo kwa Giza and vice versa.
Shida haiwezi kukaa pamoja na Raha . Na ukilazimisha kuviweka shida na raha kwa pamoja basi atakae kuwa mtawala hapo ni Shida na sio raha.
Kwa hiyo mtawala halali wa ndoa za kikristo ni shida ( Shetani) kwa sababu wanandoa wenyewe hula kiapo cha kukabidhi unganiko lao chini ya utawala wa Shetani ( Shida )
UTHIBITISHO WA HOJA YANGU
Ukitaka kuthibitisha ninacho kieleza hapa watafute wanandoa wakristo walio kula kiapo cha kuishi pamoja kwa shida na raha na ambao wamekuwa pamoja kwa at least miaka kumi halafu wape karatasi.
Waambie karatasi moja waorodheshe mambo yote ya raha walio yapata tangu waingie katika ndoa na karatasi nyingine waorodheshe shida zote walizo zipata tangu waingie katika ndoa.
Am sure as hell mambo ya shida yatakuwa mengi kuliko mambo ya raha tena kwa ratio kubwa tu.
SULUHISHO NA MAPENDEKEZO
1. KANISA LIFUTE KIAPO CHA KUISHI PAMOJA KWA. SHIDA NA RAHA NA BADALA YAKE WANANDOA WALE KIAPO CHA KUINGIA KATIKA AGANO LA KUUNGANA NA KUWA MWILI MMOJA AMBAPO MWANAUME ATAAPA KUWA KICHWA NA MWANAMKE ATAAPA KUWA MWILI.. Ni agano linalo patana na Biblia.
Agano la kuishi pamoja kwa shida na raha halijaandikwa sehemu yoyote ile ndani ya Biblia.Sijui wametoa wapi? Hata Mungu alivyo waweka Adam na Hawa pale bustanini hakuwaambia waishi pamoja kwa shida na raha. Aliwabariki na kuwaambia wazae ili kuijaza dunia.
2. KWA WALE AMBAO WALISHAKULA KIAPO CHA KUISHI PAMOJA KWA SHIDA NA RAHA WATENGUE VIAPO VYAO NA KULA KIAPO KIPYA AMBACHO NIMEKIPENDEKEZA HAPO JUU.
N.B: Hata Bible imezitenganisha shida na raha kwa sababu inajua vitu hivi haviwezi kukaa pamoja.
Inasema " Kila jambo na wakati wake.Kuna wakati wa shida na wakati wa raha "
Wakati wa shida =Wakati wa Shetani kutawala
Wakati wa raha = Wakati wa Mungu kutawala
Mfano ukiumwa huo ni wakati gani? Ukipata ajali huo ni wakati gani? Ukiwa huna hela huo ni wakati gani? Mbona mambo yapo haya maishani na kuna watu hukimbia wenza wao wakiona wanaumwa kwa kutopenda kuwauguza nk. Sasa ubatili wa kiapo uko wapi?Mtoa mada ana point ya msingi sana! Kwa nini tukiri uwepo wa nyakati za shida? Mungu tuondolee shida katika ndoa zetu kwa jina la Yesu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmmm . Mshana Jr. Njoo huku !!!Wakristo wakifunga ndoa huwa wanakula kiapo cha " KUISHI PAMOJA KWA SHIDA NA RAHA"
RAHA inasimama badala ya MUNGU.
SHIDA inasimama badala ya SHETANI.
So kwa maana nyingine ni kiapo cha kuwaunganisha mke,mume,Mungu na Shetani kwa pamoja kitu ambacho ni batili kwa sababu Mungu ( Nuru ) na Shetani ( Giza ) hawawezi kukaa pamoja katika eneo moja kwa wakati mmoja.
Uwepo wa Nuru una maanisha kutokuwepo kwa Giza and vice versa.
Shida haiwezi kukaa pamoja na Raha . Na ukilazimisha kuviweka shida na raha kwa pamoja basi atakae kuwa mtawala hapo ni Shida na sio raha.
Kwa hiyo mtawala halali wa ndoa za kikristo ni shida ( Shetani) kwa sababu wanandoa wenyewe hula kiapo cha kukabidhi unganiko lao chini ya utawala wa Shetani ( Shida )
UTHIBITISHO WA HOJA YANGU
Ukitaka kuthibitisha ninacho kieleza hapa watafute wanandoa wakristo walio kula kiapo cha kuishi pamoja kwa shida na raha na ambao wamekuwa pamoja kwa at least miaka kumi halafu wape karatasi.
Waambie karatasi moja waorodheshe mambo yote ya raha walio yapata tangu waingie katika ndoa na karatasi nyingine waorodheshe shida zote walizo zipata tangu waingie katika ndoa.
Am sure as hell mambo ya shida yatakuwa mengi kuliko mambo ya raha tena kwa ratio kubwa tu.
SULUHISHO NA MAPENDEKEZO
1. KANISA LIFUTE KIAPO CHA KUISHI PAMOJA KWA. SHIDA NA RAHA NA BADALA YAKE WANANDOA WALE KIAPO CHA KUINGIA KATIKA AGANO LA KUUNGANA NA KUWA MWILI MMOJA AMBAPO MWANAUME ATAAPA KUWA KICHWA NA MWANAMKE ATAAPA KUWA MWILI.. Ni agano linalo patana na Biblia.
Agano la kuishi pamoja kwa shida na raha halijaandikwa sehemu yoyote ile ndani ya Biblia.Sijui wametoa wapi? Hata Mungu alivyo waweka Adam na Hawa pale bustanini hakuwaambia waishi pamoja kwa shida na raha. Aliwabariki na kuwaambia wazae ili kuijaza dunia.
2. KWA WALE AMBAO WALISHAKULA KIAPO CHA KUISHI PAMOJA KWA SHIDA NA RAHA WATENGUE VIAPO VYAO NA KULA KIAPO KIPYA AMBACHO NIMEKIPENDEKEZA HAPO JUU.
N.B: Hata Bible imezitenganisha shida na raha kwa sababu inajua vitu hivi haviwezi kukaa pamoja.
Inasema " Kila jambo na wakati wake.Kuna wakati wa shida na wakati wa raha "
Wakati wa shida =Wakati wa Shetani kutawala
Wakati wa raha = Wakati wa Mungu kutawala
Kwani kichwa sio mwili?MWANAUME ATAAPA KUWA KICHWA NA MWANAMKE ATAAPA KUWA MWILI..
Acha kuvuta bangi kwa siri mkuuWakristo wakifunga ndoa huwa wanakula kiapo cha " KUISHI PAMOJA KWA SHIDA NA RAHA"
RAHA inasimama badala ya MUNGU.
SHIDA inasimama badala ya SHETANI.
So kwa maana nyingine ni kiapo cha kuwaunganisha mke,mume,Mungu na Shetani kwa pamoja kitu ambacho ni batili kwa sababu Mungu ( Nuru ) na Shetani ( Giza ) hawawezi kukaa pamoja katika eneo moja kwa wakati mmoja.
Uwepo wa Nuru una maanisha kutokuwepo kwa Giza and vice versa.
Shida haiwezi kukaa pamoja na Raha . Na ukilazimisha kuviweka shida na raha kwa pamoja basi atakae kuwa mtawala hapo ni Shida na sio raha.
Kwa hiyo mtawala halali wa ndoa za kikristo ni shida ( Shetani) kwa sababu wanandoa wenyewe hula kiapo cha kukabidhi unganiko lao chini ya utawala wa Shetani ( Shida )
UTHIBITISHO WA HOJA YANGU
Ukitaka kuthibitisha ninacho kieleza hapa watafute wanandoa wakristo walio kula kiapo cha kuishi pamoja kwa shida na raha na ambao wamekuwa pamoja kwa at least miaka kumi halafu wape karatasi.
Waambie karatasi moja waorodheshe mambo yote ya raha walio yapata tangu waingie katika ndoa na karatasi nyingine waorodheshe shida zote walizo zipata tangu waingie katika ndoa.
Am sure as hell mambo ya shida yatakuwa mengi kuliko mambo ya raha tena kwa ratio kubwa tu.
SULUHISHO NA MAPENDEKEZO
1. KANISA LIFUTE KIAPO CHA KUISHI PAMOJA KWA. SHIDA NA RAHA NA BADALA YAKE WANANDOA WALE KIAPO CHA KUINGIA KATIKA AGANO LA KUUNGANA NA KUWA MWILI MMOJA AMBAPO MWANAUME ATAAPA KUWA KICHWA NA MWANAMKE ATAAPA KUWA MWILI.. Ni agano linalo patana na Biblia.
Agano la kuishi pamoja kwa shida na raha halijaandikwa sehemu yoyote ile ndani ya Biblia.Sijui wametoa wapi? Hata Mungu alivyo waweka Adam na Hawa pale bustanini hakuwaambia waishi pamoja kwa shida na raha. Aliwabariki na kuwaambia wazae ili kuijaza dunia.
2. KWA WALE AMBAO WALISHAKULA KIAPO CHA KUISHI PAMOJA KWA SHIDA NA RAHA WATENGUE VIAPO VYAO NA KULA KIAPO KIPYA AMBACHO NIMEKIPENDEKEZA HAPO JUU.
N.B: Hata Bible imezitenganisha shida na raha kwa sababu inajua vitu hivi haviwezi kukaa pamoja.
Inasema " Kila jambo na wakati wake.Kuna wakati wa shida na wakati wa raha "
Wakati wa shida =Wakati wa Shetani kutawala
Wakati wa raha = Wakati wa Mungu kutawala
Soma kifungu cha Biblia hapa chini halafu unieleze kama hoja yako inamaanisha kuwa Mungu aliwaleta wanadamu ulimwenguni ili wasimame badala ya shetaniRAHA inasimama badala ya MUNGU.
SHIDA inasimama badala ya SHETANI.
Watu huwa mnatafuta sababu za kuanzisha makanisa mapya. Anzisha tu ujiite mtume na nabiiWakristo wakifunga ndoa huwa wanakula kiapo cha " KUISHI PAMOJA KWA SHIDA NA RAHA"
RAHA inasimama badala ya MUNGU.
SHIDA inasimama badala ya SHETANI.
So kwa maana nyingine ni kiapo cha kuwaunganisha mke,mume,Mungu na Shetani kwa pamoja kitu ambacho ni batili kwa sababu Mungu ( Nuru ) na Shetani ( Giza ) hawawezi kukaa pamoja katika eneo moja kwa wakati mmoja.
Uwepo wa Nuru una maanisha kutokuwepo kwa Giza and vice versa.
Shida haiwezi kukaa pamoja na Raha . Na ukilazimisha kuviweka shida na raha kwa pamoja basi atakae kuwa mtawala hapo ni Shida na sio raha.
Kwa hiyo mtawala halali wa ndoa za kikristo ni shida ( Shetani) kwa sababu wanandoa wenyewe hula kiapo cha kukabidhi unganiko lao chini ya utawala wa Shetani ( Shida )
UTHIBITISHO WA HOJA YANGU
Ukitaka kuthibitisha ninacho kieleza hapa watafute wanandoa wakristo walio kula kiapo cha kuishi pamoja kwa shida na raha na ambao wamekuwa pamoja kwa at least miaka kumi halafu wape karatasi.
Waambie karatasi moja waorodheshe mambo yote ya raha walio yapata tangu waingie katika ndoa na karatasi nyingine waorodheshe shida zote walizo zipata tangu waingie katika ndoa.
Am sure as hell mambo ya shida yatakuwa mengi kuliko mambo ya raha tena kwa ratio kubwa tu.
SULUHISHO NA MAPENDEKEZO
1. KANISA LIFUTE KIAPO CHA KUISHI PAMOJA KWA. SHIDA NA RAHA NA BADALA YAKE WANANDOA WALE KIAPO CHA KUINGIA KATIKA AGANO LA KUUNGANA NA KUWA MWILI MMOJA AMBAPO MWANAUME ATAAPA KUWA KICHWA NA MWANAMKE ATAAPA KUWA MWILI.. Ni agano linalo patana na Biblia.
Agano la kuishi pamoja kwa shida na raha halijaandikwa sehemu yoyote ile ndani ya Biblia.Sijui wametoa wapi? Hata Mungu alivyo waweka Adam na Hawa pale bustanini hakuwaambia waishi pamoja kwa shida na raha. Aliwabariki na kuwaambia wazae ili kuijaza dunia.
2. KWA WALE AMBAO WALISHAKULA KIAPO CHA KUISHI PAMOJA KWA SHIDA NA RAHA WATENGUE VIAPO VYAO NA KULA KIAPO KIPYA AMBACHO NIMEKIPENDEKEZA HAPO JUU.
N.B: Hata Bible imezitenganisha shida na raha kwa sababu inajua vitu hivi haviwezi kukaa pamoja.
Inasema " Kila jambo na wakati wake.Kuna wakati wa shida na wakati wa raha "
Wakati wa shida =Wakati wa Shetani kutawala
Wakati wa raha = Wakati wa Mungu kutawala