Sababu kwanini kiapo cha ndoa za kikristo ni haramu katika ulimwengu wa roho

Ndoa ni mapatano, kupatana ni kukubaliana hata wakiondoa sentensi ya shida na raha haina,,kwangu mimi sijaona ugumu wa neno hilo, matatizo yanayozikumba ndoa ni yaleyale hayana utofauti kwani sources ni mmonyoko wa maadili, kwani ni wakristo pekee hawana maadili, wao wamejaribu kuweka wazi ili uingie unajua kabisa nje ya raha pia kuna shida.
 
Write your reply...Mungu /shetani ....raha/shida ...kichwa/miguu ...halafu mtoa post hii tabia ya kumnsibisha shetani na shida umeitoa wapi
 
Sio wewe unaekili biblia yenyewe imesema kuna majira ya kulia nakucheka,., kwahiyo yeye ambaye hakuweka kiapo,ndo magonjwa yakija yanapita kwa jirani,kufilisika kukija kunapita kwa jirani,na masumbufu yote yanaisha yanapita kwa jirani?
Mtoa mada ana point ya msingi sana! Kwa nini tukiri uwepo wa nyakati za shida? Mungu tuondolee shida katika ndoa zetu kwa jina la Yesu!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TUSIVAE MIWANI YA MBAO,...DUNIANI HAPA,SHIDA NA RAHA NI SEHEMU YA MAISHA,NDO MAANA HATA mtoa post ataugua,aweza kufilisika,aweza kupata ulemavu,aweza kukosa watoto,,,na si wakati wote shetani ndo chanzo mala nyingi MUNGU anaruhusu hayo,..akajifunze kwa ayubu!.
"Uwepo wa Nuru una maanisha kutokuwepo kwa Giza and vice versa.

Shida haiwezi kukaa pamoja na Raha . Na ukilazimisha kuviweka shida na raha kwa pamoja basi atakae kuwa mtawala hapo ni Shida na sio raha."


Mtoa mada hapa mbona umepotosha makusudi kabisa hivi kwa akili ya kawaida tu ukilazimisha kuviweka pamoja giza na nuru mtawala hapo ni nuru au giza? Jibu lipo wazi kabisa nuru ndio itatawala

Sasa sijui hitimisho lako la kusema "atakae kuwa mtawala hapo ni shida" umelitoa wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada Ana hoja Fulani.Kiapo sahihi kwa ufupi inatakiwa kiwe nitakuwa na wewe wakati wote sitakuacha Ni kifo tu kitatutenganisha
 
Wakristo wakifunga ndoa huwa wanakula kiapo cha " KUISHI PAMOJA KWA SHIDA NA RAHA"

RAHA inasimama badala ya MUNGU.


SHIDA inasimama badala ya SHETANI.
So kwa maana nyingine ni kiapo cha kuwaunganisha mke,mume,Mungu na Shetani kwa pamoja kitu ambacho ni batili kwa sababu Mungu ( Nuru ) na Shetani ( Giza ) hawawezi kukaa pamoja katika eneo moja kwa wakati mmoja.

Uwepo wa Nuru una maanisha kutokuwepo kwa Giza and vice versa.

Shida haiwezi kukaa pamoja na Raha . Na ukilazimisha kuviweka shida na raha kwa pamoja basi atakae kuwa mtawala hapo ni Shida na sio raha.

Kwa hiyo mtawala halali wa ndoa za kikristo ni shida ( Shetani) kwa sababu wanandoa wenyewe hula kiapo cha kukabidhi unganiko lao chini ya utawala wa Shetani ( Shida )


UTHIBITISHO WA HOJA YANGU

Ukitaka kuthibitisha ninacho kieleza hapa watafute wanandoa wakristo walio kula kiapo cha kuishi pamoja kwa shida na raha na ambao wamekuwa pamoja kwa at least miaka kumi halafu wape karatasi.


Waambie karatasi moja waorodheshe mambo yote ya raha walio yapata tangu waingie katika ndoa na karatasi nyingine waorodheshe shida zote walizo zipata tangu waingie katika ndoa.

Am sure as hell mambo ya shida yatakuwa mengi kuliko mambo ya raha tena kwa ratio kubwa tu.

SULUHISHO NA MAPENDEKEZO


1. KANISA LIFUTE KIAPO CHA KUISHI PAMOJA KWA. SHIDA NA RAHA NA BADALA YAKE WANANDOA WALE KIAPO CHA KUINGIA KATIKA AGANO LA KUUNGANA NA KUWA MWILI MMOJA AMBAPO MWANAUME ATAAPA KUWA KICHWA NA MWANAMKE ATAAPA KUWA MWILI.. Ni agano linalo patana na Biblia.

Agano la kuishi pamoja kwa shida na raha halijaandikwa sehemu yoyote ile ndani ya Biblia.Sijui wametoa wapi? Hata Mungu alivyo waweka Adam na Hawa pale bustanini hakuwaambia waishi pamoja kwa shida na raha. Aliwabariki na kuwaambia wazae ili kuijaza dunia.

2. KWA WALE AMBAO WALISHAKULA KIAPO CHA KUISHI PAMOJA KWA SHIDA NA RAHA WATENGUE VIAPO VYAO NA KULA KIAPO KIPYA AMBACHO NIMEKIPENDEKEZA HAPO JUU.



N.B: Hata Bible imezitenganisha shida na raha kwa sababu inajua vitu hivi haviwezi kukaa pamoja.

Inasema " Kila jambo na wakati wake.Kuna wakati wa shida na wakati wa raha "

Wakati wa shida =Wakati wa Shetani kutawala

Wakati wa raha = Wakati wa Mungu kutawala
Unatafuta comments

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watumie kiapo cha Waislamu. Na si kiapo bali ni masharti . Masharti yenyewe ni
1. Kuishi kwa wema na ihsani.
2. Ikibidi kuachana muachane kwa salama na Amani.
Full stop. Hakuna mambo ya shida wala kutenganishwa na kifo. Hapa ndo utajua uislam uko kamili.
 
Watumie kiapo cha Waislamu. Na si kiapo bali ni masharti . Masharti yenyewe ni
1. Kuishi kwa wema na ihsani.
2. Ikibidi kuachana muachane kwa salama na Amani.
Full stop. Hakuna mambo ya shida wala kutenganishwa na kifo. Hapa ndo utajua uislam uko kamili.
Ukamili wake ni nini kwenye hicho kiapo mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu aliyetunga maneno hayo tumshitaki akakae lupango maana hana maana ndiyo chanzo cha shida nyingi za ndoa hapa duniani.
 
Back
Top Bottom