Nurudin Jr
Senior Member
- May 25, 2017
- 180
- 99
- Thread starter
- #21
AsanteSawa tumekusikia
AsanteSawa tumekusikia
Naunga mkono hilo la kutofanya kazi za nyumbani. Unakuta kila kitu house girl ndio anafanya. Mimi kuna watoto wa ndugu zangu huwa wakija kwangu huwa hawagusi kazi yoyote. Wanatengewa mpaka chakuka wao wakiwa wanachati na simu tu. Kutwa nzima. Wanaudhi sana. Siku wakija tena nitawaambia ikibidi nitawapiga marufuku kuja kwangu!
Hahaha... Ati ubabe ubabe... Don't say that love..
Utakuta anavyozungusha jicho halafu mke aipate namba utasikia mie mwenyewe nimeolewa sasa unajiuliza kama una mme iweje kuita mme wa mwenzio wako yuko wapi changamoto jamani!!!!Kabisa aisee
Yes love niliumia sana that day...
Wanasemag kam mzur olewa1-> Utumiaji mbaya wa mitandao ya kijamii √
2-> Kutokupenda kufanya kazi za nyumbani√
3-> Kujipara hadi sura yako ya asili inasahaulika √
Ni kweli wanaume hupenda mwanamke mrembo na mwenye kupendeza. Lakini hii haimaanishi ndio ujipodoe hadi uchukize. Kila kitu kwa kiasi chake kwa sababu kitu chochote kikizidi huwa ni sumu.
Jirembe kwa kiasi, hili litavutia watu walio-serious kutaka kukuoa, lakini ukiwa ni wa kujiremba hadi ukapindukia, hakuna muoaji atakaye kuta. Tena ikumbukwe kuna baadhi ya wanaume wao hupenda mwanamke asiyejiremba (wenyewe huita natural)
Hizi ni baadhi tu, na wewe unaweza kuongezea ili kuwakumbusha wasichana wanaotaka kuolewa √
asanteeee1-> Utumiaji mbaya wa mitandao ya kijamii √
2-> Kutokupenda kufanya kazi za nyumbani√
3-> Kujipara hadi sura yako ya asili inasahaulika √
Ni kweli wanaume hupenda mwanamke mrembo na mwenye kupendeza. Lakini hii haimaanishi ndio ujipodoe hadi uchukize. Kila kitu kwa kiasi chake kwa sababu kitu chochote kikizidi huwa ni sumu.
Jirembe kwa kiasi, hili litavutia watu walio-serious kutaka kukuoa, lakini ukiwa ni wa kujiremba hadi ukapindukia, hakuna muoaji atakaye kuta. Tena ikumbukwe kuna baadhi ya wanaume wao hupenda mwanamke asiyejiremba (wenyewe huita natural)
Hizi ni baadhi tu, na wewe unaweza kuongezea ili kuwakumbusha wasichana wanaotaka kuolewa