Sababu kuu inayowafanya baadhi ya wanawake kutokuolewa na kuishia kutumika tu kingono.

Nurudin Jr

Senior Member
May 25, 2017
180
99
1-> Utumiaji mbaya wa mitandao ya kijamii √
2-> Kutokupenda kufanya kazi za nyumbani√
3-> Kujipara hadi sura yako ya asili inasahaulika √

Ni kweli wanaume hupenda mwanamke mrembo na mwenye kupendeza. Lakini hii haimaanishi ndio ujipodoe hadi uchukize. Kila kitu kwa kiasi chake kwa sababu kitu chochote kikizidi huwa ni sumu.

Jirembe kwa kiasi, hili litavutia watu walio-serious kutaka kukuoa, lakini ukiwa ni wa kujiremba hadi ukapindukia, hakuna muoaji atakaye kuta. Tena ikumbukwe kuna baadhi ya wanaume wao hupenda mwanamke asiyejiremba (wenyewe huita natural)

Hizi ni baadhi tu, na wewe unaweza kuongezea ili kuwakumbusha wasichana wanaotaka kuolewa
 
Mapenzi hayana formula wala fundi..

Wangapi wameolewa lakini bado wanafanya hayo..!?
Hao wanaofanya hivyo na bado wapo kwenye ndoa au wanaolewa basi wanaenda kutunza familia tu na sio mapenzi kama unavyofikili
 
1-> Utumiaji mbaya wa mitandao ya kijamii √


2-> Kutokupenda kufanya kazi za nyumbani√


3-> Kujipara hadi sura yako ya asili inasahaulika √
Ni kweli wanaume hupenda mwanamke mrembo na mwenye kupendeza. Lakini hii haimaanishi ndio ujipodoe hadi uchukize. Kila kitu kwa kiasi chake kwa sababu kitu chochote kikizidi huwa ni sumu.
Jirembe kwa kiasi, hili litavutia watu walio-serious kutaka kukuoa, lakini ukiwa ni wa kujiremba hadi ukapindukia, hakuna muoaji atakaye kuta. Tena ikumbukwe kuna baadhi ya wanaume wao hupenda mwanamke asiyejiremba (wenyewe huita natural)
Hizi ni baadhi tu, na wewe unaweza kuongezea ili kuwakumbusha wasichana wanaotaka kuolewa √
Ndiyo hao kwa kutongoza wame wawenzao ni hodari kweli akipata namba ya simu utasikia nipo free tunaweza onana ?
 
1-> Utumiaji mbaya wa mitandao ya kijamii √


2-> Kutokupenda kufanya kazi za nyumbani√


3-> Kujipara hadi sura yako ya asili inasahaulika √
Ni kweli wanaume hupenda mwanamke mrembo na mwenye kupendeza. Lakini hii haimaanishi ndio ujipodoe hadi uchukize. Kila kitu kwa kiasi chake kwa sababu kitu chochote kikizidi huwa ni sumu.
Jirembe kwa kiasi, hili litavutia watu walio-serious kutaka kukuoa, lakini ukiwa ni wa kujiremba hadi ukapindukia, hakuna muoaji atakaye kuta. Tena ikumbukwe kuna baadhi ya wanaume wao hupenda mwanamke asiyejiremba (wenyewe huita natural)
Hizi ni baadhi tu, na wewe unaweza kuongezea ili kuwakumbusha wasichana wanaotaka kuolewa √
Naunga mkono hilo la kutofanya kazi za nyumbani. Unakuta kila kitu house girl ndio anafanya. Mimi kuna watoto wa ndugu zangu huwa wakija kwangu huwa hawagusi kazi yoyote. Wanatengewa mpaka chakuka wao wakiwa wanachati na simu tu. Kutwa nzima. Wanaudhi sana. Siku wakija tena nitawaambia ikibidi nitawapiga marufuku kuja kwangu!
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom