Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,078
- 10,426
Khaa!! Kwa hiyo utaichagua ACT???:A S wink:Sababu Zifuatazo Lazima Ziiondoe C C M Madarakani, Moja,,. Kusababisha Uchumi Wa Nchi Kuwa Duni Kwa Zaidi Ya Miaka 53 Tangu Uhuru Mbili,,,, Kusababisha Bajeti Ya Nchi Kuwa Tegemezi Kwa Zaidi Ya 60% Kwa Miaka 53 Tatu,,,,, Kusababisha Deni La Taifa Kuraise Nne,,,,,, Kuuza Raslimali Za Nchi Kwa Kisingizio Cha Uwekezaji. Ongezea Sababu Zingine,,,,.,,,,,,,,,,