Sababu 10 za wanaume (mme) kukataa kufanya mapenzi ;

Sababu 10 za wanaume (mme) kukataa kufanya mapenzi ;

R.B

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
6,296
Reaction score
2,578
1. Natakiwa kuamka asubuhi sana,

2. Sijisikii vizuri,

3.Tunaweza kufanya baadaye ,sweet;

4.Nimelewa sana

5.Nina kazi ya kufanya,

6.nimefanya kazi hadi muda wa ziada,

7.Kichwa kinaniuma,

8.Nimechoka sana,

9.nimerudi mchovu,

10.Nataka kuangalia mpria (tv)

je hizi kweli ni sababu za msingi?

Je wakwako ana sababu zipi au we mwanaume uwa unasababu zipi za kukwepa kufanya mapenzi?
 
akishakataa kufanya mapenzi anaenda kufanya nini?

michepuko kuisha ni sawa na shetani kuacha dhambi.
 
Mimi ikishafikia swala la kulipia hotel au lodge tuu lazima nisingizie nimefiwa!!
 
nikihisi siku hiyo unataka kunibandika mimba. Uko kwenye siku zako,umesha du na mtu,unajua 90% utakua umenasa,kisha jioni hiyo unataka tu do ili unibambikie ki zygote.
 
Mi nikitaka lazima anipe lasivyo hapalalikiii, labda kama anaumwa hapo sawa huo uchov hua upo kila siku tukiuendekeza hulambi dole
 
Hahahahahahah The Boss nimeipenda hiyo teh teh inaukweli ,ukiona manyoya jua kashaliwa lolo!!
 
Last edited by a moderator:
Mi nikitaka lazima anipe lasivyo hapalalikiii, labda kama anaumwa hapo sawa huo uchov hua upo kila siku tukiuendekeza hulambi dole

Umenifanya nivute picha ukiwa kwny harakati za kutaka
 
Na sababu za wanawake kukataa tendo la ndoa mbona hamzisemi ..?
1.Najisikia vibaya
2.Nahisi kuanza period
3.Kichwa kinaniuma
4.Tufanye kesho
5.Period haijaisha
Ongezeni na zingine kulingana na uzoefu wenu.
 
Kusema la ukweli mimi nikiwa na usingizi mzito usiniguse, bora uvumilie kesho asubuhi nikupe chako,
 
i wish ningempata huyo anayekataa, maana wangu ni full dose mie ndio mwenye visingizio
 
Back
Top Bottom