Sababu 10 Kuamini Mungu Yupo

Sababu 10 Kuamini Mungu Yupo

Mungu ni mnafiki sana,
Yaani jehanamu aliiweka mwenyewe na malengo yake yakiwa ni "lazima achome watu humo"
Halafu huku anakuja kutoa maneno "tam tam" eti yeye ni "mwenye upendo sana."

Kumbe mshenzi fulani.
Atawachoma watu wa aina gani?
 
Yesu alishathibitisha kila kitu akiwa pale Israel Sasa Kama watu hawatamwamini Yesu basi wewe mleta mada hawawezi kukuamini hata kidogo
 
Chukua yai liangalie ndani kabla halijaanza kulaliwa Lina kua na majimaji Ila likilaliwa baada ya sk 21 kifaranga kimetokea wapi?

Unakuta kambegu kadogo kakiota unakua mti mkubwa Sana

Ingia YouTube halafu angalia mimba inavyotungwa tumboni (utahsangaa Sana na kustaajabu ukuu wa MUNGU?

Angalia vitu vilivyokuzunguka hata ni miti ndo utajua uwepo wa chanzo chetu
 
God is so complex,that our simple minds cannot understand him!It is to thus safe to be satisfied with how God has revealed Himself.

Mkuu hio simple minds ndio iliyosimulia yote haya ambayo na wewe leo unatumia kufanya reference..

Na kwanini kuwe na ugumu kumfahamu Mungu..???? Why ajifiche
 
Chukua yai liangalie ndani kabla halijaanza kulaliwa Lina kua na majimaji Ila likilaliwa baada ya sk 21 kifaranga kimetokea wapi?

Unakuta kambegu kadogo kakiota unakua mti mkubwa Sana

Ingia YouTube halafu angalia mimba inavyotungwa tumboni (utahsangaa Sana na kustaajabu ukuu wa MUNGU?

Angalia vitu vilivyokuzunguka hata ni miti ndo utajua uwepo wa chanzo chetu

Una uhakika gani ni Mungu ndio ameleta hayo yote??? unathibitisha vipi kwamba sio nguvu tu ya asili imefanya hayo yatokee...

Na je huyo Mungu aliyefanya hayo ni Mungu yupi??? Wa wayahudi,, wahindi, budha, shinto au God... kwasabu huko kote hvyo vyote vipo
 
We ni mtoto sana ktk hiyo tasnia ya kumpinga Mungu, wenzako akina Saul walimpinga Mungu hadi kwa kuua Watumishi wake lakini hatimaye wakati sahihi wa Mungu ulipofika alikiri yeye mwenyewe kuwa Mungu yupo na alihubiri NENO LA MUNGU kisha akawa Nabii.
1. Kwahiyo Mungu ni Wawakristo?
2. Hawa wasio wakristo atawafanya nini?

#YNWA
 
Yes,ndivyo Mungu alivyopanga,uhubiriwe au usome Biblia ufanye maamuzi binafsi,kumkataa au kumkubali,hakulazimishi.Ila Kuna consequences za kumkataa.Yes,kuna consequences kwa kuwa you are His creation.Ni kama vile mwanao akikukosea,utamuonya,lakini asiposikia utampa adhabu.

Kwahiyo Mungu atachoma WASIO WAKRISTO WOTE?

Maana hata wenye QURAN yao wakija hapa watatiririka nao...!!

#YNWA
 
Lazima uambiwe kwa sababu Imani huja kwa kusikia,.

Huwezi kumjua Mungu moja kwa moja sababu ya asili ya dhambi tuliyonayo, inayotumiwa na shetani kutuvuta kwake.
Ukitoa wakristo waliokubali kuvutwa kwake (kubatizwa na kuokoka).

Hawa Imani nyengine vipi?
Wao ndio motoni au ..........?

#YNWA
 
Inaonesha kuwa lengo lilikuwa ni huku kuamua kukubali kwa hiari yako uwepo wake hali ya kuwa haonekani, yani uamini uwepo wake na kufuata maagizo yake. Hilo ndio jambo kubwa ndio maana baadhi ya mafundisho imani yanaeleza kuwepo kwa ujira huko baadaye kwa wale ambao walikubali kuamini. Ndio maana huwa napenda kusema kwamba suala la uwepo wa Mungu ni jambo la imani na watu huwa hawaamini jambo kwa sababu wana uthibitisho.
What makes you to believe in God..?
 
Watiriritike watiririkavyo,ila ukweli utabaki.
Na waislamu, wahindi, wabudha, African religion, n.k HAWA NAO WANA MOTO?

Mind you "Kuna wengine walikua na dini zao kabla ya kuja kwa ukristo kwenye maeneo yao"

Hawa sasa wa nyuma ambao ukikristo ulichelewa kwao NAO NJIA YAO NI LILE ZIWA LIWAKALO MOTO?

#YNWA
 
Na waislamu, wahindi, wabudha, African religion, n.k HAWA NAO WANA MOTO?

Mind you "Kuna wengine walikua na dini zao kabla ya kuja kwa ukristo kwenye maeneo yao"

Hawa sasa wa nyuma ambao ukikristo ulichelewa kwao NAO NJIA YAO NI LILE ZIWA LIWAKALO MOTO?

#YNWA
The Bible is clear,Mungu ata-wahukumu kufuatana na dhamiri zao.
 
The Bible is clear,Mungu ata-wahukumu kufuatana na dhamiri zao.
Dah hapa ndio hizi dini huwa zinanichanganya.

Kila mtu HUVUTIA KWAKE.

Nilisoma na ustadhat mmoja, alinifundisha vizurii kuhusu uislamu na kuamini uislamu ili uende mbinguni.

Ila wakati huohuo nyumbani nikawa nipo karibu na aliyeokoka mmoja akawa ananifundisha safii Mambo ya kikristo na kwenda mbinguni.

SASA NIKABAKI KUJIULIZA, HAWA WATU WANATOFAUTIANA KWA SENSE AU WAMEKUSUDIA KUCHANGANYA MAMBO YA MUNGU?

#YNWA
 
Dah hapa ndio hizi dini huwa zinanichanganya.

Kila mtu HUVUTIA KWAKE.

Nilisoma na ustadhat mmoja, alinifundisha vizurii kuhusu uislamu na kuamini uislamu ili uende mbinguni.

Ila wakati huohuo nyumbani nikawa nipo karibu na aliyeokoka mmoja akawa ananifundisha safii Mambo ya kikristo na kwenda mbinguni.

SASA NIKABAKI KUJIULIZA, HAWA WATU WANATOFAUTIANA KWA SENSE AU WAMEKUSUDIA KUCHANGANYA MAMBO YA MUNGU?

#YNWA
Sijakuelewa.Hata hivyo Bwana Yesu katika Yoh.14:6 amesema,

" Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi."​

So the answer is simple,muamini Bwana Yesu urithi Ufalme wa Mbinguni,mkatae uwe condemned to Eternal Hell.

Finally,hebu soma hii⬇️.Je ungependa kuwa associated with such a faith,be your own judge.

Uhusiano wa Uislamu na Majini !​

NB:Maoni yaliyotolewa hapa sio ya muandishi,ni maoni yatokanayo na Quran.Mahali ambapo maoni ya Biblia yametumika,muandishi ameweka wazi.


Katika moja ya mambo yenye kutushangaza sana sisi Wakristo ni kwamba hatuchangamani kabisa na majini au Mashetani wala hatuna uhusiano nayo.Kinyume na hilo wenzetu Waislamu wana uhusiano mkubwa na wa karibu na majini na mashetani na kwa ujumla Masheikh na Maalimu wanatumia Quran kutibu au kulaani watu(al-Badir).Waislam hutumia nguvu za majini ambazo ni nguvu za giza. Muhamad pia alitumia nguvu hizo za giza. Kuna wakati ambapo Wakristo kutoka Narjan Kusini mwa Saudi Arabia walimtembelea Muhamad kujadili mambo ya dini kwa siku kadhaa baada ya Wakristo kukataa kusilimu.Muhamad akasema “njooni hadharani tukusanyike pamoja wana wetu na wana wenu,wanawake zetu na wanawake zenu,sisi na ninyi kisha tuombe kwa unyenyekevu tutake laana kwa Mungu iwashukie waongo! (surat al Imran 3:61).Muhamad alitaka kuwalaani Wakristo kwa jina la Allah na Wakristo walaani kwa jina la Yesu kuona nani mwenye nguvu.Wakristo walikataa kwani hawakuitwa kulaani bali kubariki tu.

Kuna hadithi pia kuwa Muhamad alikwenda Yerusalemu.Akafika pale lilipokuwa Hekalu la Wayahudi. Wenyewe Waislamu hupaita Baittil Maqdis.Muhammad alitumia usiku moja kufika kwa kutumia mnyama aitwae “Buraq.” Mnyama huyu ni Jinni lenye sura ya mwanamke mzuri na mwili wa Farasi (Soma kitabu, Maisha ya Nabii Muhamad uk 28 kifungu cha mwisho).Jambo hili lilimfanya akataliwe zaidi na watu wa Makka wakisema ni mchawi mkubwa na hawako tayari kumuamini mchawi.Hizi ni khadithi chache tu ambazo zinatudhihirishia kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya Uislamu na Majini, Mashetani na mambo ya uchawi au ushirikina katika Uislamu.

Tutachambua mtazamo wa Quran kuhusu viumbe hao ikiwa ni pamoja na mashetani,malaika na majini.

Mtazamo wa Quran kuhusu Mashetani, Majini na Malaika
Waislamu wanaamini kuwa kuna viumbe walioumbwa na Mungu ambao hawaonekani kwa macho ya kibinadamu.Viumbe hawa wamegawanyika katika makundi makuu matatu.

1.Shetani

Shetani ambae hutambulika pia kama ibilisi(Iblis), ameitwa hivyo kwa sababu alilaaniwa na Allah kwa kukataa kumtii Allah alipoamriwa kumsujudia Adamu mara baada ya kuwa amemuumba (Surat al-baqara 2;28-38 na al aaraf 7;10 na al khaf18:50).
Kutokana na laana hiyo,alipewa muda na Allah ili awapotosho watu. Alipewa ruhusa baada ya kuomba kufanya hivyo(al-aaraf 7;16-17).Hata hivyo Allah alitoa into kwamba yeyote atakaye mfuata Shetani ataingia motoni. Hivyo kwa Waislamu, Shetani ni adui mkubwa na muamini humlaani kila Mwislamu anapotaka kufanya jambo lolote.Pia hujikinga na Shetani kwa kusali dua hii,
“aaudhubiiIlah mina shaytwaani rajiim,” yaani najikinga kwa Allah, na Shetani apigwae mawe.Shetani hupigwa mawe kwa kuwa Ibrahimu na mwanawe Ishmael walimpiga mawe punde alipotaka kuwadanganya wasiitii amri ya Allah ya kutaka kumtoa Ismail dhabihu.

Mashetani ni kundi kubwa sana na baba yao majini ni Shetani.Vitabu maarufu vya Kiislamu vinathibitisha jambo hili.Soma (Itqaan fiy’uluwmi al-juzuu 4 uk 374,hadith 5,553).

2.Majini

Kumbuka Shetani alikuwa miongoni mwa Majini(al-kahf 18;50),hivyo Shetani ni Jinni na Jinni ni Shetani.Quran inafundisha kuwa viumbe hawa waliumbwa kwa ndimi za moto(al-Hijir 15;26-27,ar –Rahman 55:14-15). Wote wanafanana na Shetani kikazi na wote kazi zao zinafanana.Hivyo Majini yana nafasi kubwa sana katika Uislamu.Kujaribu kuwatenga Majini na Mashetani ni kiini macho tu, kwani Majini yalisilimu (surat 72;1-14),ingawa kuna kundi lingine halikuslimu.Hata hivyo Allah aliwatumia wote katika kazi mbalimbali.Mfano kumsaidia Sulemani katika kazi zake mbalimbali za ujenzi,kumletea johari na vito vya thamani toka baharini,kumjengea nk.Soma (Surat al anbiyaa 21;81-82).Allah alikuwa mlinzi,yaani msimamizi.Allah pia huwatumia Majini kufarikisha watu. Aliwatumia huko Babeli na kufundisha watu uchawi. Hawa mashetani huitwa Haruta na Maruta.Soma (al-Baqara 2;102). Aidha katika namna ya kushangaza,Allah alimletea kila Nabii maadui aliowatuma mwenyewe,yaani Majini na Mashetani (surat al anam 6;112 na al-Hajj 22;52).Baadhi ya madhehebu kama Ahmadiyya walipogundua kuwa Majini ni Mashetani na Mashetani ni Majini,walianza kukataa dhana hii na Sheikh Farsiy,ambaye anawakanusha vikali. Waislamu wanatambua kuwa Majini ni ndugu zao na ndio maana moja ya mashart ya swala katika kumalizia kikao cha mwisho kiitwacho (atahiyat), lazima kwa kila Muislamu asalimie pande zoote mbili yaani kwa kugeukia kushoto na kulia,kushoto ni kumsalimia Muislamu mwenzako na kulia ni kusalimia kundi kubwa la Majini ambayo hujumuika na Waislamu katika swala (arshad-alMuslim).Hii ni lazima hata kama Mwislamu atakuwa peke yake wakati wa swala,kwani Majini hujumuika nae.Aidha Muhamad anasema, kila muislamu anapozaliwa anapata ulinzi toka kwa Majini na Mashetani (soma al-muslim,Miskat). Majini yana ufahamu mkubwa sana wa Quran na Uislamu, yameslimu Muhamad alipokwenda kwa Majini na kuanza kuwauliza mambo ya uislamu.Majini yalijibu vizuri kuliko wanadamu soma (surat al ahqaf 46;29-30).Soma pia ufafanuzi wa aya hiyo chini katika Quran ya Farsiy.Kwa ujumla hutakutana na jinni ambalo lina jina la Kikristo.Majini yote yana majina ya Kiislamu anaeleza Desmon Mkumbo, mmoja wa wataalamu wa huduma ya Biblia ni jibu Tanzania.Majini pia huhubiri Uislamu kwa nguvu na huhusika kusilimisha watu.Ikiwa pepo limekupagaa ukipelekwa kwa Sheikh au Maalim akusomee duwa, utapewa masharti ya kubadili dini,jina, kusilimu au kuswali.Haya ni maagizo ya Majini.Mwenye masikio na asikie!

3.Malaika (malaikat)
Hili ni kundi la tatu katika imani ya Kiislamu kuhusu viumbe wasioonekana.Kumbuka Waislamu huamini Malaika na inasemekana kuwa Allah aliwaumba viumbe hao kwa nuru.Idadi yao Biblia inasema ni 10,000×10,000×1000×1000.Quran inasema haijui!Kazi yao kufuatana na Quran ni kumsifu Allah.Biblia inaongeza kuwa kazi yao pia ni kuwalinda Watakatifu na watakao rithi wokovu.

Wapo Malaika wa muhimu watano nao ni 1.Jibril:huyu ndiye Malaika mkuu.Allah humtuma kuwasiliana na manabii wake.Quran humuita Roho Mtakatifu (surat an nahl 16:102). Ni Roho wa Mafunuo na Nguvu,Laylatul-Qadr (surat al qadr 97;1-4).
2.Mikail:huyu yuko chini ya jibril (al baqara 2;98).
3.Israfiil ni malaika anayeaminika sana,anasifika sana hatajwi katika Quran lakini anaaminika kuwa ndiye atakaye puliza parapanda siku ya mwisho.
4.Izrail: Pia hatajwi katika Quran,lakini anaaminika kuwa ndiye mtoa roho za watu (al anam 6:61).
5.Hamalat al arsh:Hawa wako nane na inaaminiwa kuwa watabeba kiti cha Allah siku ya hukumu (al- haqqah 69;17).

Waislamu huamini pia wako malaika wengine watano ambao hujulikana kwa kazi zao.Hao ni 1.Hafadhan:hulinda binadamu kutoka katika mikosi na balaa kwa mujibu wa Muhamad katika hadithi zake anadai wako kumi.
2:Katibun:hawa huandika habari za mtu.Wako wawili,mmoja huandika habari za matendo mabaya na mmoja mema.Wa mabaya hukaa kushoto,wa mema hukaa kulia.Kila mtu anao wawili (az-zukhuf 43;80 na qaf 50;17-18).
3.Malik:Ni mlinzi wa moto wa Jehanam(az-zukhuf 43;77).
4.Ridhiwan hulinda pepo (paradiso).
5.Munkar na Nakir hawa ni wakali sana. Huuliza maswali kaburini.Mtu anaezikwa,huulizwa maswali juu ya Uislam.Hivyo Muislamu anapozikwa,Masheikh humfundisha namna ya kujibu maswali hayo, ili kumuepusha na adhabu ya malaika hao.Haieleweki jinsi mtu aliyekufa anavyoweza kufundishwa kujibu maswali.
 
Sijakuelewa.Hata hivyo Bwana Yesu katika Yoh.14:6 amesema,

" Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi."​

So the answer is simple,muamini Bwana Yesu urithi Ufalme wa Mbinguni,mkatae uwe condemned to Eternal Hell.

Finally,hebu soma hii⬇️.Je ungependa kuwa associated with such a faith,be your own judge.

Uhusiano wa Uislamu na Majini !​


Katika moja ya mambo yenye kutushangaza sana sisi Wakristo Ni kwamba hatuchangamani kabisa na majini au Mashetani wala hatuna uhusiano nayo.Kinyume na hilo wenzetu Waislamu wana uhusiano mkubwa na wa karibu na majini na mashetani na kwa ujumla Masheikh na Maalimu wanaotumia Quran kutibu au kulaani watu(al-Badir).Waislam hutumia nguvu za majini ambazo ni nguvu za giza. Muhamad pia alitumia nguvu hizo za giza. Kuna wakati ambapo Wakristo kutoka Narjan Kusini mwa Saudi Arabia walimtembelea Muhamad kujadili mambo ya dini kwa siku kadhaa baada ya kuwa Wakristo kukataa kusilimu.Muhamad akasema “njooni hadharani tukusanyike pamoja wana wetu na wana wenu,wanawake zetu na wanawake zenu,sisi na ninyi kisha tuombe kwa unyenyekevu tutake laana kwa Mungu iwashukie waongo! (surat al Imran 3:61).Muhamad alitaka kuwalaani Wakristo kwa jina la Allah na Wakristo walaani kwa jina la Yesu kuona nani mwenye nguvu.Wakristo walikataa kwani hawakuitwa kulaani bali kubariki tu.

Kuna hadithi pia kuwa Muhamad alikwenda Yerusalemu.Akafika pale lilipokuwa Hekalu la wayahudi. Wenyewe Waislamu hupaita Baittil Maqdis kwa usiku mmoja kwa kutumia mnyama aitwae “Buraq.” Mnyama huyu ni jinni lenye sura ya mwanamke mzuri na mwili wa Farasi (Soma kitabu, Maisha ya Nabii Muhamad uk 28 kifungu cha mwisho).Jambo hili lilimfanya akataliwe zaidi na watu wa Makka wakisema ni mchawi mkubwa na hawako tayari kumuamini mchawi.Hizi ni khadithi chache tu ambazo zinatudhihirishia kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya Uislamu na Majini, Mashetani na mambo ya uchawi au ushirikina katika Uislamu.Tutachambua mtazamo wa Quran kuhusu viumbe hao ikiwa ni pamoja na mashetani,malaika na majini.

Mtazamo wa Quran kuhusu Mashetani, Majini na Malaika
Waislamu wanaamini kuwa kuna viumbe walioumbwa na Mungu ambao hawaonekani kwa macho ya kibinadamu.Viumbe hawa wamegawanyika katika makundi makuu matatu.

1.Shetani

Shetani ambae hutambulika pia kama ibilisi(Iblis), ameitwa hivyo kwa sababu alilaaniwa na Allah kwa kukataa kumtii Allah alipomuamuru kumsujudia Adamu mara baada ya kuwa amemuumba (Surat al-baqara 2;28-38 na al aaraf 7;10 na al khaf18:50).
Kutokana na laana hiyo alipewa muda na Allah ili awapoteze watu kwa kuwakalia pande zote na alipewa ruhusa baada ya kuomba kufanya hivyo(al-aaraf 7;16-17).Allah alisema yeyote atakaye mfuata Shetani ataingia motoni. Hivyo kwa Waislamu, Shetani ni adui mkubwa na hulaaniwa kila Mwislamu anapotaka kufanya jambo lolote hujikinga na Shetani kwa kusali dua hii,
“aaudhubiiIlah mina shaytwaani rajiim,” yaani najikinga kwa Allah, na Shetani apigwae mawe.Shetani apigwe mawe kwa kuwa Ibrahimu na mwanawe Ishmael walimpiga mawe punde alipotaka kuwadanganya wasiitii amri ya Allah ya kutaka kumtoa Ismail dhabihu.

Mashetani ni kundi kubwa sana na baba yao majini ni Shetani.Vitabu maarufu vya Kiislamu vinathibitisha Jambo hili.Soma (Itqaan fiy’uluwmi al-juzuu 4 uk 374,hadith 5,553).

2.Majini

Kumbuka Shetani alikuwa miongoni mwa Majini(al-kahf 18;50),hivyo Shetani ni Jinni na Jinni ni Shetani.Quran inafundisha kuwa viumbe hawa waliumbwa kwa ndimi za moto(al-Hijir 15;26-27,ar –Rahman 55:14-15). Wote wanafanana na Shetani,wote wamezaliwa na Shetani,wote kazi zao zinafanana.Hivyo Majini yana nafasi kubwa sana katika Uislamu.Kujaribu kuwatenga Majini na Mashetani ni kiini macho tu, kwani Majini yalisilimu (surat 72;1-14),ingawa kuna kundi lingine halikuslimu.Hata hivyo Allah aliwatumia wote katika kazi mbalimbali.Mfano kumsaidia Sulemani katika kazi zake mbalimbali za ujenzi,kumletea johari na vito vya thamani toka baharini,kumjengea nk.Soma (Surat al anbiyaa 21;81-82).Allah alikuwa mlinzi,yaani msimamizi.Allah pia huwatumia Majini kufarikisha watu. Aliwatumia huko Babeli na kufundisha watu uchawi. Hawa mashetani huitwa Haruta na Maruta.Soma (al-Baqara 2;102). Aidha katika namna ya kushangaza,Allah alimletea kila Nabii maadui aliowatuma mwenyewe,yaani Majini na Mashetani (surat al anam 6;112 na al-Hajj 22;52).Baadhi ya madhehebu kama Ahmadiyya walipogundua kuwa Majini ni Mashetani na Mashetani ni Majini,walianza kukataa dhana hii na Sheikh Farsiy,ambaye anawakanusha vikali. Waislamu wanatambua kuwa Majini ni ndugu zao na ndio maana moja ya mashart ya swala katika kumalizia kikao cha mwisho kiitwacho (atahiyat), lazima kwa kila Muislamu asalimie pande zoote mbili yaani kwa kugeukia kushoto na kulia,kushoto ni kumsalimia Muislamu mwenzako na kulia ni kusalimia kundi kubwa la Majini ambayo hujumuika na Waislamu katika swala (arshad-alMuslim).Hii ni lazima hata kama Mwislamu atakuwa peke yake wakati wa swala,kwani Majini hujumuika nae.Aidha Muhamad anasema, kila muislamu anapozaliwa anapata ulinzi toka kwa Majini na Mashetani (soma al-muslim,Miskat). Majini yana ufahamu mkubwa sana wa Quran na Uislamu, yameslimu Muhamad alipokwenda kwa Majini na kuanza kuwauliza mambo ya uislamu.Majini yalijibu vizuri kuliko wanadamu soma (surat al ahqaf 46;29-30).Soma pia ufafanuzi wa aya hiyo chini katika Quran ya Farsiy.Kwa ujumla hutakutana na jinni ambalo lina jina la Kikristo.Majini yote yana majina ya Kiislamu anaeleza Desmon Mkumbo, mmoja wa wataalamu wa huduma ya Biblia ni jibu Tanzania.Majini pia huhubiri Uislamu kwa nguvu na huhusika kusilimisha watu.Ikiwa pepo limekupagaa ukipelekwa kwa Sheikh au Maalim akusomee duwa, utapewa masharti ya kubadili dini,jina, kusilimu au kuswali.Haya ni maagizo ya Majini.Mwenye masikio na asikie!

3.Malaika (malaikat)
Hili ni kundi la tatu katika imani ya Kiislamu kuhusu viumbe wasioonekana.Kumbuka Waislamu huamini Malaika na inasemekana kuwa Allah aliwaumba viumbe hao kwa nuru.Idadi yao Biblia inasema ni 10,000×10,000×1000×1000.Quran inasema haijui!Kazi yao kufuatana na Quran ni kumsifu Allah.Biblia inaongeza kuwa kazi yao pia ni kuwalinda Watakatifu na watakao rithi wokovu.

Wapo Malaika wa muhimu watano nao ni 1.Jibril:huyu ndiye Malaika mkuu.Allah humtuma kuwasiliana na manabii wake.Quran humuita Roho Mtakatifu (surat an nahl 16:102). Ni Roho wa Mafunuo na Nguvu,Laylatul-Qadr (surat al qadr 97;1-4).
2.Mikail:huyu yuko chini ya jibril (al baqara 2;98).
3.Israfiil ni malaika anayeaminika sana,anasifika sana hatajwi katika Quran lakini anaaminika kuwa ndiye atakaye puliza parapanda siku ya mwisho.
4.Izrail: Pia hatajwi katika Quran,lakini anaaminika kuwa ndiye mtoa roho za watu (al anam 6:61).
5.Hamalat al arsh:Hawa wako nane na inaaminiwa kuwa watabeba kiti cha Allah siku ya hukumu (al- haqqah 69;17).

Waislamu huamini pia wako malaika wengine watano ambao hujulikana kwa kazi zao.Hao ni 1.Hafadhan:hulinda binadamu kutoka katika mikosi na balaa kwa mujibu wa Muhamad katika hadithi zake anadai wako kumi.
2:Katibun:hawa huandika habari za mtu.Wako wawili,mmoja huandika habari za matendo mabaya na mmoja mema.Wa mabaya hukaa kushoto,wa mema hukaa kulia.Kila mtu anao wawili (az-zukhuf 43;80 na qaf 50;17-18).
3.Malik:Ni mlinzi wa moto wa Jehanam(az-zukhuf 43;77).
4.Ridhiwan hulinda pepo (paradiso).
5.Munkar na Nakir hawa ni wakali sana. Huuliza maswali kaburini.Mtu anaezikwa,huulizwa maswali juu ya Uislam.Hivyo Muislamu anapozikwa,Masheikh humfundisha namna ya kujibu maswali hayo, ili kumuepusha na adhabu ya malaika hao.Haieleweki jinsi mtu aliyekufa anavyoweza kufundishwa kujibu maswali.
Kwahiyo ukitoa wakristo (waliompokea Yesu na kuokoka), then Imani nyengine zoteeee MUNGU ATAZICHOMA?

#YNWA
 
Bila vitisho huwa hakuna hoja za msingi...lazima hizi mada mtu waku attack personal ili wakuvunje nguvu ya kuhoji...

Lazima utasikia vitu kama ukifa utajua, ukipata matatizo utajua, ukichomwa ndio utaelewa, ngoja siku moja utakipata cha moto ndio utajua, unakufuru, umechanganyikiwa, wewe nani aliikuumba, nguvu za dunia unajua zinatoka wapi, ili uelewe lazima uongozwe na roho mtakatifu n.k.

Infact Imani ni jambo gumu sana,, hasa hizi Dini tulizoletewa...tukiambiwa Mungu ni mmoja ilihali kila dini ina different stories
Unaambiwa dhambi inaua, ikitenda dhambi utakufa. Sijui ni mtakatifu gani hii dunia aieyenda dhambi ilhali zipo hata zile ambazo mtu hajakusufia lakini kashatenda dhambi.

Tusitishane tufundishane.
 
Unaambiwa dhambi inaua, ikitenda dhambi utakufa. Sijui ni mtakatifu gani hii dunia aieyenda dhambi ilhali zipo hata zile ambazo mtu hajakusufia lakini kashatenda dhambi.

Tusitishane tufundishane.
Mkuu we all struggle with sin,na hivyo kupungukiwa na utukufu wa Mungu,ndio maana Mungu mwenyewe alijitoa msalabani,ili kwa Yeye tuweze kuingia Mbinguni.Biblia inasema tukisema hatuna dhambi au hatukutenda dhambi tunajidanganya wenyewe,wala kweli haimo ndani mwetu, ila tukiziungama dhambi zetu Yeye ni mwaminifu na wa haki hata kutusamehe uovu wetu wote(1Yohana1:8-10)

Wow,hiyo ni ahadi ya ajabu sana,but who qualifies for that?Ni wale tu waliokubali mpango wa Mungu wa kumuokoa Mwanadamu through the shedding of the blood of Jesus Christ at Calvary,in other words the born again.Once you are born again,you receive the Holy Spirit,who makes you hate sin,and ready to repent once you commit sin,and because you are born again,or have accepted the salvation plan of God,God forgives your sin.

Please note that there is no forgiveness of sin for those who are not born again and who have not received Jesus Christ as their personal saviour.

I believe its' simple.Why don't you accept the salvation plan of God today,in other words be born again,receive the Holy Spirit,become a child of God and ultimately be assured of Eternal Life!?
 
Mkuu we all struggle with sin,na hivyo kupungukiwa na utukufu wa Mungu,ndio maana Mungu mwenyewe alijitoa msalabani,ili kwa Yeye tuweze kuingia Mbinguni.Biblia inasema tukisema hatuna dhambi au hatukutenda dhambi tunajidanganya wenyewe,wala kweli haimo ndani mwetu, ila tukiziungama dhambi zetu Yeye ni mwaminifu na wa haki hata kutusamehe uovu wetu wote(1Yohana1:8-10)

Wow,hiyo ni ahadi ya ajabu sana,but who qualifies for that?Ni wale tu waliokubali mpango wa Mungu wa kumuokoa Mwanadamu through the shedding of the blood of Jesus Christ at Calvary,in other words the born again.Once you are born again,you receive the Holy Spirit,who makes you hate sin,and ready to repent once you commit sin,and because you are born again,or have accepted the salvation plan of God,God forgives your sin.

Please note that there is no forgiveness of sin for those who are not born again and who have not received Jesus Christ as their personal saviour.

I believe its' simple.Why don't you accept the salvation plan of God today,in other words be born again,receive the Holy Spirit,become a child of God and ultimately be assured of Eternal Life!?
Which God? God of abrahim, God of james, God of isack?
 
Back
Top Bottom