Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,489
- 6,883
Simu tajwa hapo juu zinahitajika bajet 700,000 ni PM
Ziwe mpya
Ziwe mpya
Samahani natoka nje ya hizo..
Kuna htc 1 mpya haijawahi kutumika in box for 600,000.. if u are interested lakin 0717599884
Simu tajwa hapo juu zinahitajika bajet 700,000 ni PM
Ziwe mpya
Samahani natoka nje ya hizo..
Kuna htc 1 mpya haijawahi kutumika in box for 600,000.. if u are interested lakin 0717599884
Wataalamu wa samsung nielimisheni jinsi ya kujua simu origino maana lak 7 ni nyingi sana si ya kununua cm feki.
Msaada
Sawa mkuu tofauti yake inakuwa nini kati ya feki na originalkabla ya kuinunua hiyo simu.. omba utie line ..fungua playstore ..download hizi applications then uzirun utapata majibu.... (phone info)...(genuine galaxy)...(CPU Z)
Sawa mkuu tofauti yake inakuwa nini kati ya feki na original
mzigo ukiwa fake itakupa mfano huu...hopefully utakuwa unenipata sasa
Asante sana mkuu, Mungu akabariki sasa siibiwi tena