S.O.G Alfajiri

S.O.G Alfajiri

NGAYANIMO

Member
Joined
Feb 17, 2026
Posts
39
Reaction score
55
S.O.G - "ALFAJIRI"
" SNARE, BUFF G & AY "

Intro:

"Ooh Mapema Mno.!!
Tena Sana
Sasa Tazama.."


Verse.1 " Snare"

Yo!!
Bado Alfajiri Sasa Data na Zangu Tafsiri/
Adam Ndani Ya Game Me nitafika Mbali/
Safari Bado Mbali Ndo kwanza Tunavuka jabari/
Pata Picha Halisi Moto huu utajenga kasiri/
Nasiwezi Sema Ninachokiona Eti Ni Upuuzi/
Kwa style kibao Hip Hop Sanaa inatoa Dozi/
Tusilewe mvinyo wa Sifa Tuzidi fanya kazi/
Mishale ndio ishatimu Siwezi kupoteza wazimu/
Jamii inayopotea kuikoa Adam itanilazimu/
Nyota inayo ng'aa niko shenga na ninawapa lecture/
Ma - Tinneger - stuka msije mkawa Zero kwenye Future/
Vituko mnavyofanya wazazi wanabaki kung'aa sharubu/
Tatizo Nini mkiulizwa mnabaki kuwa ma - Bubu/
Sinto furahi kuona mwezangu unaikosa future Alfajiri/
Nitakapouchuna nitaupomoa na) (siokuuchenga umahiri/
Amani ya Moyo Wangu nikuona Mambo yanakwenda shwari/
Sio makuzi , Mapozi ulimbukeni eti ndo vijiri/
Kama unajua ulikotoka fumbua wapi wewe unakwenda Na lini wewe utafika/
Wengi tulipotoka Tunajua Tunavunja Ngazi Baada ya kupanda ni Vipi Tutashuka/
Toka Thug life Mtaani mpaka studio , Studio mpaka Radio na Masela wana - Feel Yo!!
S.O.G , Ay , Bokase , FA , Binamu ni Noma
Aiseeh..!!

Chorus : Ay & snare

Ni alfajiri na Mapema Nje
Yo!!
Bado sio Shwari kueni Macho
Tuwe Macho Aibu isitupate
Hahaha 😆
Bado Mapema Mno

Ni alfajiri na Mapema Nje
Yo!!
Bado sio Shwari kueni Macho
Tuwe Macho Aibu isitupate
Hahaha 😆
Bado Mapema Mno.!!

Verse..2 " Buff G "

"Uliyoyasema Snare ya kila siku hayatabiliki/
Natafuta, Tafuta mapene Ni alfajiri jamani/
Wengi Tunaongopa kufa na kusahau Uzee/
Hali hii ni Mapema Nafsi yangu inatamani kurudi Utoto lakini Wapi/
Ni msoto ,msoto kama misele yakumwanga/
Bado alfajiri na mambo mchanganyiko bado yanajili kila alfajiri/
Tajiri na utajiri , masikini na Watoto
Ongopa marafiki , wanafiki Wakipata wanakutupa ndani ya shimo la Dhiki/
Nani anadiriki kujiona amemaliza bado najishikiza na muda utasema Wakati wote tunahema/
Ni alfajiri jamani..!! Mbona mnakosa Imani /
Wakati Wetu waumini wakipaza kuungana katika Sala/
Wateule da S.O.G Watu wa kale Toka mishale/
Ambwene na Adam mnaonaje hali Hii ya ushirikiano/
(Inapendeza.!!)AY..Snare..BuffG
Zama nazo zinakwenda mbio Toka Enzi za Warumi masela wote tuko Vitani/
Wengine ndani Raha, karaha , Taabu na vikwazo ni Ryhems toka S.O.G

Chorus : Ay & snare

"Ni alfajiri na Mapema Nje
Yo!!
Bado sio Shwari kueni Macho
Tuwe Macho Aibu isitupate
Hahaha 😆
Bado Mapema Mno

Ni alfajiri na Mapema Nje
Yo!!
Bado sio Shwari kueni Macho
Tuwe Macho Aibu isitupate
Hahaha 😆
Bado Mapema Mno

Verse.3 " AY"

"Sema nami ila kabla ujaota usilete Pozi/
Kwani bado alfajiri je? Magharibi sa Si ndo kazi/
Nafungua mlango baada ya Uchunguzi /
Nangundua mambo yanayojili Mengi niyakipuuzi/
Maendeleo Bongo kwangu Naona ka Alfajiri/
Ukatae , Wewe ubishe lakini Huo ndio Ukweli/
Wasanii wa Bongo Mambo Ndo kwanza Yameanza/
Ukipanda chart Usione umefika Bro utacheza/
Piga michongo Uzembe weka kando/
Kama ni kazi dili Unavyoweza Sio misonyo/
So misoso..!!
Chakalika Mapema kabla Mengi hayajavuma/
Starehe Zipo Wala hasiishi Sema Tu zinavuma/
Unapokuwa na ndevu sio kwamba Mchezo unauweza/
Unanuka Maziwa Tayari Umeshaanza Visa/
Waliokulea Sasa unawapuuza , unamtukana mamba kabla mto ujavuka/
Unadharau Watu Eti kwa mali za Baba/
Kuna leo na kesho Bro. Asije lost upindwe Saba/
Watoto Wa shule Ebu fanyeni kusoma /
Mnakazana na mapenzi Me sipendi kuona/
Hivi..!!
Hivi ni ponda mali kifo chaja /
Au ponda tu ponda mali Shinda chaja/
Bro.!!

Chorus: Ay & snare .

Ni alfajiri na Mapema Nje
Yo!!
Bado sio Shwari kueni Macho
Tuwe Macho Aibu isitupate
Hahaha 😆
Bado Mapema Mno

Ni alfajiri na Mapema Nje
Yo!!
Bado sio Shwari kueni Macho
Tuwe Macho Aibu isitupate
Hahaha 😆
Bado Mapema Mno

Ni alfajiri na Mapema Nje
Yo!!
Bado sio Shwari kueni Macho
Tuwe Macho Aibu isitupate
Hahaha 😆
Bado Mapema Mno

Ni alfajiri na Mapema Nje
Yo!!
Bado sio Shwari kueni Macho
Tuwe Macho Aibu isitupate
Hahaha 😆
Haraka ya Nini kwanza Mambo Bado

Ni alfajiri na Mapema Nje
Yo!!
Bado sio Shwari kueni Macho
Tuwe Macho Aibu isitupate
Hahaha 😆
Bado Mapema Mno

1775115931761.jpg

Outro:

😆 ha Hahaha 😆
Mika Mwamba kali .!!
J - Sirick
S.O.G hey wa mahonney
Hahahaha 😆 😂
EAST COAST BABY

Ulikuwa na miaka mingapi enzi hizo Buff G, AY na Snare Enzi hizo wanajiita "S.O.G " wanaimba Pamoja?
Kabla ya C.b.m Crew na East coast ..

Ukwaju wa kitambo
0767 542 202.
 
Back
Top Bottom