stardust JK
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,998
- 4,250
Yaani polisi wa sauzi wanacheka kabisa wanafurahia kuona mtu anavyoungua moto
Hii kitambo nadhani tukio tofauti walidai ni raia wa Mozambique naikumbuka hiiYaani polisi wa sauzi wanacheka kabisa wanafurahia kuona mtu anavyoungua motoView attachment 1198102
Saana mkuuDaah hatari Sana aisee. Chukulia ni ndugu yako au mzazi wako ndio amechomwa Moto hivyo. Inaumiza sana.
KumbeeHii kitambo nadhani tukio tofauti walidai ni raia wa Mozambique naikumbuka hii
Hii kitambo nadhani tukio tofauti walidai ni raia wa Mozambique naikumbuka hii
Siendi popote matukio ya zamani hubaki kwenye memory zanguIngia Instagram kwa hashtag ya xenophobia zipo hizo picha za vurugu la mwanzo kabisa ambalo lilitisha zaidi ya hili
kwahiyo ikiwa ndugu yako au mzazi wako ndio utaumia?,vipi kuhusu binadamu asiye ndugu yako?Daah hatari Sana aisee. Chukulia ni ndugu yako au mzazi wako ndio amechomwa Moto hivyo. Inaumiza sana.
nakumbuka walitoaga onyo kipindi kile mzee Mandela bado yupo hai, walisema wanamuheshimu yeye tu.....kwamba akifa tu wataanza hizi vurugu.
yale maneno na lile onyo sikuwahi kulichukulia kirahisi kwahiyo sishangai haya matukio, waSouth wana roho mbaya sana hawa watu.
Yaani polisi wa sauzi wanacheka kabisa wanafurahia kuona mtu anavyoungua motoView attachment 1198102
Acha kutoa mifano ya kipumbavu wewe.huyo mtu wako alipigwa na wanamtandao wake baada ya kuwasaliti.Wana roho mbaya kama ccm, na utawala wa sasa. Unafanya mauaji kwa sababu za kijinga, ati mtu ametoa maoni. Mchana kweupe unampiga mtu risasi zaidi ya 30. Mungu kamponya unamtanyia unyama zaidi AFADHALI HATA HAO WA SAUZI.
Ccm na watu wake wanajenga chuki itakayo dhidi hapo.
lord eyes ushavuna mmea nn mbn kama sielewi hapa katiMpaka mimi nimejikuta nacheka
Uwelewi nini mkuu?lord eyes ushavuna mmea nn mbn kama sielewi hapa kati