ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,476
- 9,654
Yeah nazungumzia kwa sasa,maana Kuna kipindi (nahisi mwaka juzi Kama sikosei) Turkey alitishia kuondoa Rada za Marekani Turkish PM Erdogan, in Iran, says NATO radar could be dismantled if needed (hizi zinaichunguza Iran 24/7)ambazo Israel pia hutumia taarifa zake kuichunguza Iran. Sijui mwishowe walimalizanajeLabda kwa sasa baada ya vurugu za kutaka kupinduliwa. kwenye sakata la hizo S-300 nchini Cyprus, Turkey, alienda kununua silaha za makombora ya surface to surface kutoka Israel pia alipeleka kwa siri marubani kadhaa wa ndenge za kivita wakafundishwe namna ya kuzibomoa hizo s-300. Isriaeli iliwafundisha namna ya kuzikwepa. Sasa sijajua kama Isreal alishindwa namna ya kuziingia ama la. Kwa hiyo inaonekana Turkey naye ni ndumila kuwili na mnafiki kama m-UK. Nadhani, Russia inatakiwa imchukulie kwa tahadhari sana Turkey.
Urusi mwenyewe hamwaamini Uturuki 100% Kama ilivyo kwa US ndo maana walitaka kumpindua Erdogan wamweke kibaraka wao
manake muisirael amemgeuza kama nyuki wa mashine

