Marekani wamenunua injini za roketi kutoka Russia mara nyingi lakini wameshindwa ku' re-engineer hizo injini watengeneze zao.The maneuvers were aimed at testing out different tactics against the S-300, in simulated attacks against ground targets protected by S-300 batteries
Haha!! Mkuu Marekani sidhani kama wameshindwa kutengeneza hizo engine za Urusi maana wangeweza kuingia mkataba na Russia wakatengeneza under license tatizo Ni gharama ya utengenezaji ndani ya USA ni kubwa Sana ukilinganisha na Bei anayonunua toka Russia. Congress nakumbuka wakati wa Obama walitaka kupitisha azimio la kusitisha ununuzi wa engine za Urusi ili Marekani waanze kutengeneza zao ikaonekana gharama zmya kununua Ni nafuu kuliko kutengeneza,sikujua tena ule mjadala uliishia wapi.Marekani wamenunua injini za roketi kutoka Russia mara nyingi lakini wameshindwa ku' re-engineer hizo injini watengeneze zao.
Simulation siyo actual exercise; in most cases simulation inakuwa na 25-60% error. Kwenye issue za usalama hata 1% ni grave error ! Wafanye simulation zao wakimaliza waende Iran kujaribu kama wanaudhubutu.
Mkuu, Hapa sijakupata, inamaana Cyprus ni dalali wa silaha za Russia ama na yeye anatengeneza hizo S-300. Niweke sawa kidogo.Mkuu hizo simulation hazikua labda za kutumia computer Bali ilikua ni mazoezi ya kijeshi ambapo S-300 ziliwashwa kabisa (Kumbuka Ugiriki ana S-300 alizonunua toka Cyprus baada ya kua na mgogoro na Uturuki)
Mkuu ni hivi,Cyprus alinunua hiyo mitambo ya S-300 toka Russia ili kuongeza ulinzi wake wa Anga dhidi ya Air power ya Turkey(Kipindi hicho Turkey na Cyprus walikua hawaelewani sijajua kwa Sasa kama bado Ni maadui).Mkuu, Hapa sijakupata, inamaana Cyprus ni dalali wa silaha za Russia ama na yeye anatengeneza hizo S-300. Niweke sawa kidogo.
Kama HIO S300 ni ivyo je S400 itakuaje
WW WATU WANATENGENEZA WENYEWE WALIPE VP????? NI SAWA NA KUMWAMBIA BAKHARESA ALIPIE MAJI YAKE MWENYEWE AMBAYO ANATENGENEZARussia lipeni madeni kwanza...missile moja inacost $1.4m Russia akirusha 100 tu ni $140m hahaha kama hjaua watu wake kwa njaaa....View attachment 745597
Nimeipitia, kumbe Turkey mkorofi. Yaani anataka awe mbabe peke yake pale Middle East ndiyo maana alikuwa anashirikiana na Daesh kuidhoofisha Syria.Cypriot S-300 Crisis
Haha!! Jamaa mkorofi sana yule ndo maana haziivi na Israel maana wote mafahari,na kama ingekua Turkey sio ally wa US bila shaka wangeshazichapa na myahudiNimeipitia, kumbe Turkey mkorofi. Yaani anataka awe mbabe peke yake pale Middle East ndiyo maana alikuwa anashirikiana na Daesh kuidhoofisha Syria.
Labda kwa sasa baada ya vurugu za kutaka kupinduliwa. kwenye sakata la hizo S-300 nchini Cyprus, Turkey, alienda kununua silaha za makombora ya surface to surface kutoka Israel pia alipeleka kwa siri marubani kadhaa wa ndenge za kivita wakafundishwe namna ya kuzibomoa hizo s-300. Isriaeli iliwafundisha namna ya kuzikwepa. Sasa sijajua kama Isreal alishindwa namna ya kuziingia ama la. Kwa hiyo inaonekana Turkey naye ni ndumila kuwili na mnafiki kama m-UK. Nadhani, Russia inatakiwa imchukulie kwa tahadhari sana Turkey.ndo maana haziivi na Israel maana wote mafahari
Ila kumbuka huwa kuna kwa ajili ya Export na Kwa ajili ya matumizi ya Ndani. ZAa ku export haziwezi kuwa sana na za kutumia nyumbani. Hiyo iko hata kwenye Ndege. Usidhani ndege ambazo USA namuuzia Muisraeli ziko sawa na anazo tumia yeye hata kama ni Aina mojaMkuu ni hivi,Cyprus alinunua hiyo mitambo ya S-300 toka Russia ili kuongeza ulinzi wake wa Anga dhidi ya Air power ya Turkey(Kipindi hicho Turkey na Cyprus walikua hawaelewani sijajua kwa Sasa kama bado Ni maadui).
Sasa baada ya Makubaliano ya Russia na Cyprus kukamilika kuInstall hiyo mitambo ndani ya Cyprus,Uturuki ikatishia kuivamia Cyprus na kuwaambia kwamba wakitaka hilo lisitokee bhas hiyo mitambo irudishwe ilikotoka (Russia).
Bhas Cyprus alichoamua ni kufanya Makubaliano na Ugiriki kwamba Cyprus iwape mitambo ya S-300 huku Ugiriki iwape Cyprus silaha nyingine tofauti na S-300.
Hivyo ndo Jinsi Ugiriki ilivyolamba Dili la kuipata S-300.
Huo mgogoro unaitwa Cypriot S-300 Crisis unaweza kuutafuta ukausoma mwenyewe zaidi.
Mkuu uwe basi mara moja moja unajishughurisha kutafuta taarifa. Kule syria kuna S-200 ya enzi za USSR, hizo S-300.zimetoka wapi? Irani mwenyewe anazitafuta sana.Hiyo michumamichuma haina lolote.... Ingekuwa kweli kama inavyosemwa assad asingedundwa namna ile lol