Rwanda's Masterful Deception

Rwanda's Masterful Deception

Hamna hakili nyie unaona mnavyo mdisi rais wenu?mpenda raia,muchapa kazi!badla ya kumsaidia kuiweka Sawa inchi kama Vijana.inchi inakilakitu lkn generation hii vicwa maji tu.!
Mr Putin , najua wewe ni Mnyarwanda, nadhibtisha hilo kutokana na maneno yafuatayo "Hakili" mtanzania ataandika "Akili" , "inchi " mtanzania ataandika "nchi" ,"vicwa" mtanzania ataandika "vichwa". Nimekufuatilia kwenye post zako za mwanzo nikatia mashaka Kiswahili chako. Kwanza karibu sana JF , hata member ship yako si ya muda mrefu. Pili unajaribu kumtetea Slim aka PK na hutaki azungumzwe, naomba atusaidie je ni kweli genocide ilifanyika kwa Watusi tu ? Wahutu haikufanyika kwao? Wakati genocide inafanyika kulikuwa na idadi kiasi gani cha Watusi walikuwa ndani ya Rwanda? Records mbali mbali zina onesha Watusi laki nane waliuawa hiyo namba ilifikiwaje ? Vigezo gani vilitumika kufikia hiyo idadi? Victorie Ingabire Umuhoza alifungwa kwa ku challenge dhana kwamba genocide ilikuwa kwa Watusi tu. Akadai inatakiwa Wahutu nao wakumbukwe. Kwa nini maneno haya yaonekane ni maovu na kosa la jinai wakati ni maoni ya kawaida na ombi la Victorie ili kuweka record sahihi? Je siyo kweli PK anajua kwamba kuyatambua mauaji ya Wahutu katika genocide kutafanya watu watake kujua vile vile:- Je ni nani aliwaua Wahutu hao ? Je ni Wahutu wenzao au PK na RPF yake? na Je ni idadi kiasi gani cha Wahutu hao waliouawa? Maana idadi ya Watusi inafahamika tayari. Mr. Putin msaada wako tafadhali
 
Slim hamuogopi Jiwe wala wala counter part yeyote ukanda huu. Alimteka jiwe sababu ya ugeni wake kwa kujipendekeza sana kwake ili kupunguza ukaribu wa TZ kwa Burundi ambaye alimgeuka Slim kwenye mpango wake kushughulika na mtangulizi wa jiwe.
Aisee
 
Slim sio tisho kwa tz hata kidogo that why jk alitumia tu hit squad na ilimfanya slim apotee kabisa hadharani akaishi kama digidigi

Sema tu slim kama ulivyodai awali kuwa alitumia udhaifu wa jiwe kujiweka karibu nae maana anajua jiwe ni mtu wa aina gani

Sent using my iPhone using jamiiforum app

Hit squad ikaingia kigali?hahah vijana kwa habari za mitandaoni nawakubali sana.
 
Toa neno lako kuhusu Uzi huu pia unauonaje urafiki wa jiwe na slim

Sent using my iPhone using jamiiforum app
Kama ulivyosema naona uhusiano wao utakua based kwny mambo ya kiuchumi zaidi na nna uhakika Jiwe hawezi zinguana na PK, sababu Jiwe hana sera za kuingilia mambo ya nchi nyingine kama JK sijui kupatanisha waasi sijui demokrasia ya nchi nyingine ye hana hayo.

So mi naona urafiki wao utakua fresh tu mkuu.
 
Kama ulivyosema naona uhusiano wao utakua based kwny mambo ya kiuchumi zaidi na nna uhakika Jiwe hawezi zinguana na PK, sababu Jiwe hana sera za kuingilia mambo ya nchi nyingine kama JK sijui kupatanisha waasi sijui demokrasia ya nchi nyingine ye hana hayo.

So mi naona urafiki wao utakua fresh tu mkuu.
Kwaiyo pk zilikuwa haziungi na jk sababu ya kiherehere cha jk

Mbona pk anaingilia saana mambo ya burundi

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Kwaiyo pk zilikuwa haziungi na jk sababu ya kiherehere cha jk

Mbona pk anaingilia saana mambo ya burundi

Sent using my iPhone using jamiiforum app
Ndio JK alikua anapenda kuonekana mzee wa diplomasia na kutaks sifa kwny majukwaa ya kimataifa at the expense of watu wengine.

Burundi ni threat kwa Rwanda au sio threat?
 
Kama ulivyosema naona uhusiano wao utakua based kwny mambo ya kiuchumi zaidi na nna uhakika Jiwe hawezi zinguana na PK, sababu Jiwe hana sera za kuingilia mambo ya nchi nyingine kama JK sijui kupatanisha waasi sijui demokrasia ya nchi nyingine ye hana hayo.

So mi naona urafiki wao utakua fresh tu mkuu.



Hit squad ikaingia kigali?hahah vijana kwa habari za mitandaoni nawakubali sana.



Iliingia Mongolia

Sent using my iPhone using jamiiforum app

Hahahaha, nakumbuka PK alivyomkataa Balozi Mzee Siwa ,kipindi hicho nami nilikua Kigali

MTC | 101|
 
Naona burundi bila uchokozi wa rwanda sio tishio lkn kwa kuwa slim ndio mkorofi naona burundi inaenda kuwa tishio
Ndio JK alikua anapenda kuonekana mzee wa diplomasia na kutaks sifa kwny majukwaa ya kimataifa at the expense of watu wengine.

Burundi ni threat kwa Rwanda au sio threat?

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Slim sio tisho kwa tz hata kidogo that why jk alitumia tu hit squad na ilimfanya slim apotee kabisa hadharani akaishi kama digidigi

Sema tu slim kama ulivyodai awali kuwa alitumia udhaifu wa jiwe kujiweka karibu nae maana anajua jiwe ni mtu wa aina gani

Sent using my iPhone using jamiiforum app

jiwe ni makini sana kuliko mnavyofikiria we jiulize kwann hamtajitaji tena Slim jiulize,
 
Back
Top Bottom