Lina uwezo huo Ila halipendi kujionyesha Kama Ali kiba vile.Inamaana jeshi la msumbiji halina uwezo wa kupambana na Hawa magaidi
Unatoa uchambuzi ukiwa Kisiwa cha Kitantale baada kushiba magimbiHapo Kagame ataipiga Mtwara kwa mwamvuli wa magaidi. Tukielekea huko anatupiga kupitia Geita na Kagera. Hapendi kuona nchi imara jirani yake. Anajua fika Kikwete ni Rais kivuli wa Tanzania Sasa na hafurahishwi na hilo.
Alisikika mchambuzi mahiri wa kijeshi kutoka Cuba akitoa uchambuzi wake.Sio muda mrefu tutasikia milipuko ya mabomu huko rwanda
Alisikika mchambuzi mahiri wa kijeshi kutoka Cuba akitoa uchambuzi wake.
Hapo nimekusoma mkuu.Nadhani hujamuelewa anachomaanisha, by my side nimeelewa anaichukulia Rwanda kama kenya na Al-shabab lkn hajui kuwa Rwanda wananchi wote wanajuana na ni ngumu mgeni kupenya
Huyu mwamba hatuzunguki kwa upande wa chini...Mimi nahisi aim yake ni kuja kuivuruga tu Tu tu kutoka pande za kusini.. na anaweza tumia magaidi haohao..
Hahah no wonder cha Arusha ni expensive kuliko makushabu.Huyu mwamba hatuzunguki kwa upande wa chini...Mimi nahisi aim yake ni kuja kuivuruga tu Tu tu kutoka pande za kusini.. na anaweza tumia magaidi haohao..
Angola,kiboko ya Rwanda,,kule congo bila zimbabwe na Angola,,saa hii Congo wangekuwa wanaongea kitusi wote...Majeshi ya Sadc wajiandae kufeli, misheni zao zote zitakua reported
Wamekaribisha mnaa.
Naona na wewe umesahau kama hata Mwenyeji(Mnyarwanda) anaweza kutumika katika kutega hayo Mabomu huko Rwanda. Ugaidi ni suala la Finance tu,hakuna nchi ambayo mabomu hayawezi kulipuka endapo kweli Magaidi watapata mfadhili mwenye nia ya kuihujumu kiusalama.Nadhani hujamuelewa anachomaanisha, by my side nimeelewa anaichukulia Rwanda kama kenya na Al-shabab lkn hajui kuwa Rwanda wananchi wote wanajuana na ni ngumu mgeni kupenya
Mazingira ya nchi ya Rwanda ni vigumu mno kufanya ugaidi pia wenzetu wa dini ya haki wapo kwa uchache saana na kuna uwezekano mkubwa Rwanda ndio ikawa nchi ya kwanza kwa kuwa na intelligence imara ya ndaniNaona na wewe umesahau kama hata Mwenyeji(Mnyarwanda) anaweza kutumika katika kutega hayo Mabomu huko Rwanda. Ugaidi ni suala la Finance tu,hakuna nchi ambayo mabomu hayawezi kulipuka endapo kweli Magaidi watapata mfadhili mwenye nia ya kuihujumu kiusalama.
Ndo ujue mwendazake alikuwa Boya hasa, yaani likaenda Rwanda kujipendekeza Urafiki na kataifa pumbavu kabisa kasiko na mbele wala nyuma,halafu limekufa aibu kubwa zaidi imelipata hako katusi hakajaja kulizika jingamanUsimuite PK sema Mshauri wa Mwendazake, aliyegoma kuja kuzika
Rwanda haijapakana na Msumbiji sasa hiyo gesi wataipitishia nchi gani? Au wataibeba na mitungi mpaka Kigali?Labda Tanzania ingepeleka jeshi huko, rwanda ni kutaka gesi tu.
Acha kumpaka matope...kuna uhusiano gani kati ya PK na hao Mujahidina? Isitoshe Rwanda haipakani na MsumbijiMiezi 6 baada ya Rwanda kwenda huko hao magaidi watakuwa hatari zaidi PK anaenda kuwa supplying line ya silaha kwa magaidi
Hii ni kashfa...sio poa kabisa.Ndo ujue mwendazake alikuwa Boya hasa, yaani likaenda Rwanda kujipendekeza Urafiki na kataifa pumbavu kabisa kasiko na mbele wala nyuma,halafu limekufa aibu kubwa zaidi imelipata hako katusi hakajaja kulizika jingaman
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app