Rwanda yazuia magari ya Tanzania

Rwanda yazuia magari ya Tanzania

DR. PHONE

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2012
Posts
504
Reaction score
91
Msafara wa magari ya kijeshi ya JWT uliokuwa ukielekea Mashariki mwa DRC ulizuia nchini Rwanda ikidhihirisha mwendelezo wa chuki za rais wa nchi hiyo Paul Kagame kwa Tanzania.

Source: Gazeti la Jamhuri
 
Kumbe JWTZ walishakuwa na access ya kupita Rwanda, sasa si walianzishe tu hapo hapo?
 
Msafara wa magari ya kijeshi ya JWT uliokuwa ukielekea Mashariki mwa DRC ulizuia nchini Rwanda ikidhihirisha mwendelezo wa chuki za rais wa nchi hiyo Paul Kagame kwa Tanzania.

Source: Gazet la Jamhuri

Waache wahangaike tutayapitishia Uganda au Burundi!
 
Hahahahaaaaaa mpaka wasubiri kauli ya mzee mkubwa
 
Kwani walipita wapi wakati wanaenda?
 
Sasa si serikali ikodi hata madege ya kubebea hayo magari toka russia.
 
Kagame ana chuki na sisi jamani hivi jamaa si nasikia ni msabato mbona ana roho ngumu hivo? God bless our service men. JWTZ.
 
Dooh hii ndio Jf, so magufuli Ana wajibu wa kujenga na barabara za nchi jirani?
 
Nitawapongeza sana majeshi km hili walipanga na wameshaangalia risk zote .....wapo umbali gani ndani ya Rwanda?
 
Upuzi huu, Mnaacha kukomaa na Mutharika ambaye kila siku na ana Breach Air space yetu, Tunaenda kuchokoza mtu nyumbani kwake. Tuanze na Malawi ambaye inasemekana anajileta mwenye ndani na tunashindwa Kumfukuza, Na wasiwasi mwisho wa siku atarusha Ndege hadi Mbeya then Dodoma na ikiwezekana Dar tena Magogoni na Kuacha vipeperushi maana sisi ni Dhaifu.
 
Back
Top Bottom