HARUNA MPULAKI
New Member
- Aug 22, 2009
- 3
- 0
Naona ndugu yangu uko "biaz" na adhana pekee, hauangalii mahubiri na mikesha ya kilokole hasa TAG. Wewe kumuunga mkono kagame ni sawa, kwa sababu ndio upeo wako wa mambo ya kijamii unapoishia. Remember once you are living within the intermingled community you have to sucrifice some of your intersts, (ikiwemo usingizi wako wa asubuhi). Our country, Tz both Muslims and Christians are equally balanced to freedom of worship. None of either religion's interest can be outweighed from onother. if you don't believe it try a bit UONE.mie huwa nakereheka sana natamani yesu arudi hapa mtaani kwangu ikifika saa 11 asubuhi utasikia mapambio na usingizi wote kuisha
mie nadhani labda huwa kuna uhuru wa dini ndo maana watu wanaamua kupiga makelele kama si sheria kwa nini hakuna nayefungua mdomo na kuwaambia??
Haruna