Rwanda yanunua ndege mpya!!

mh...! Ngoja ntafute mkaka wa Kitutsi aniwowe, lol

Jamani! jamani! sasa sisi men wa kibongo tutabaki na nani!?, maana tayari mmewakumbatia wababu wa kizungu, na sasa mnaelekea Rwanda, eh Mungu wangu tunaomba dada zetu wasitukimbie!
 
Back
Top Bottom