Rwanda yamjibu Rais Kikwete

Rwanda yamjibu Rais Kikwete

Watu kama dr. Slaa wanawapa hawa jamaa kiburi kuona kwamba kumbe kuna watanzania wanaovumilia ushenzi wao!!!
Tokea Dr Slaa amekutema kabla kubadilisha mawazo na kumuoa Josphine roho inakuuma sana nani alikuambia utengeneze card za send off kabla?
 
kuna shemeji yangu anafunga ndoa mwezi wa kumi,anaoa mnyarwanda na hapa sioni shida yoyote maana hatuwachukii.
Ninaona nia ya makusudi kupotosha hotuba na agizo la rais wa Tanzania.
agizo lilitolewa kwa wahamiaji haramu wote na sio kutoka rwanda pekee.Kwa madai ya waziri huyo kama ni kweli,mbona ubalozi wa rwanda haujafungwa na balozi yupo na kuna wanyarwanda wanaishi kihalali tz kwa kufuata taratibu na sheria za nchi.Kupotosha huku ndiko kutasababisha matatizo na pia angetumia wakati huu kuelezea kuwa kagame alimaanisha kwenye maneno yake ambayo yalikuwa ya kejeli kwa Rais wa Tanzania!!!!
Nasema haya ila bado nina bifu na jk na serikali yake kuhusu kuminya haki za raia tz,sikuungi wewe kikwete kwa yanayotokea tz ila mtu wa nje akikugusa basi lazima nipambane naye ili akuache nishughulike na wewe na hii nchi yetu uliyoamua kuiacha ikiwa vipandevipande huku soko la dawa za kulevya likishamiri na vitendo vya kiharifu huku waandishi wa habari wakiwa wanalazimishwa waweke plasta mdomoni la sivyo walazimishwe na serikali yako kama kwa kibanda.
SINA RAIS MIMI ILA NINA NCHI TU YENYE MIPAKA YAKE AMBAYO KAGAME HAWEZI KUCHEZA JUU YAKE NIKAMUACHA
 
inasemekana kuwa Kagane anawasupport m23, naye anamtumhumu Kikwete kuwasupport FDLR. Kwa JK kupeleka majeshi ya kukabiliana na m23 ndio chanzo hasa cha bifu na PK. Je inawezekana hiki ndio chanzo cha mtafuruku huu?? Ushauri ulitibua tuu yaliyokuwa yamejificha chini ya meza?
Binafsi siamini kama ni ushauri tuu ndio uliyoyapelekea haya yote!!
 
Huyu waziri angefafanua pia kauli za Kagame dhidi ya Kikwete, kwani ndizo zimechochea yote haya!

kwani waimanisha kuwa nia nikuwatimua wanyarwanda na sio wahamiaji haramu au? tafakari bana ndipo uchangie hoja.
 
inasemekana kuwa Kagane anawasupport m23, naye anamtumhumu Kikwete kuwasupport FDLR. Kwa JK kupeleka majeshi ya kukabiliana na m23 ndio chanzo hasa cha bifu na PK. Je inawezekana hiki ndio chanzo cha mtafuruku huu?? Ushauri ulitibua tuu yaliyokuwa yamejificha chini ya meza?
Binafsi siamini kama ni ushauri tuu ndio uliyoyapelekea haya yote!!

kiumbua cha dikteta kagame kiliingizwa mchanga na JWTZ!
 
wakajenge nchi yao

nawashangaa kila siku wanalala huku jf wakimsifia dikteta kagame na rwanda yao ina maendeleo, wanaambiwa warudi kwao kwenye utawala bora na maendeleo wanaanza kulia, kweli wanafiki wengi dunia hii. Waende wakabanane kama kumbikumbi.
 
kuna shemeji yangu anafunga ndoa mwezi wa kumi,anaoa mnyarwanda na hapa sioni shida yoyote maana hatuwachukii.
Ninaona nia ya makusudi kupotosha hotuba na agizo la rais wa tanzania.
Agizo lilitolewa kwa wahamiaji haramu wote na sio kutoka rwanda pekee.kwa madai ya waziri huyo kama ni kweli,mbona ubalozi wa rwanda haujafungwa na balozi yupo na kuna wanyarwanda wanaishi kihalali tz kwa kufuata taratibu na sheria za nchi.kupotosha huku ndiko kutasababisha matatizo na pia angetumia wakati huu kuelezea kuwa kagame alimaanisha kwenye maneno yake ambayo yalikuwa ya kejeli kwa rais wa tanzania!!!!
Nasema haya ila bado nina bifu na jk na serikali yake kuhusu kuminya haki za raia tz,sikuungi wewe kikwete kwa yanayotokea tz ila mtu wa nje akikugusa basi lazima nipambane naye ili akuache nishughulike na wewe na hii nchi yetu uliyoamua kuiacha ikiwa vipandevipande huku soko la dawa za kulevya likishamiri na vitendo vya kiharifu huku waandishi wa habari wakiwa wanalazimishwa waweke plasta mdomoni la sivyo walazimishwe na serikali yako kama kwa kibanda.
Sina rais mimi ila nina nchi tu yenye mipaka yake ambayo kagame hawezi kucheza juu yake nikamuacha

fikirieni mara mbili mbili kuoa hawa watusi, utaishia kuwa na nusu ya watoto wa kitusi na ukibahatisha mmoja umshukuru sana mungu hawa watu ni wabaguzi sana. Nia yao ni kuzaana kwa wingi ili waitawale afrika huku wakiangamiza jamii nyingine kama walivyo fanikiwa rwanda na drc.
 
Kikwete ametoa kauli na wenyewe wameanza kuondoka bila shurti, na sidhani kama ni familia zilizoishi tangu miaka ya 1950 kwani taratibu wanazijua za kuishi nchini (nadhani huyo waziri amelikuza hili suala), by the way vyombo vya habari vinakuza sana ili jambo kwani sheria za uhamiaji si ngumu kivile kama watu wanavyodhani, hata kama sio raia endapo tamko kama hilo limetolewa bado una nafasi ya kuona mamlaka zinazohusika na kutoa maelezo especially kwa wale ambao ni zao la walioishi tangu miaka 1950 ambao wengine wana watoto na wajukuu ambao mazingira wanayoyajua zaidi ni Tanzania kuliko Rwanda hivyo taratibu zote wanazijua na kama watakuwa wanaishi isivyo halali tangu miaka yote nadhani itakuwa sahihi tu kurudi kwao au kujisalimisha kwa serikali na kuangalia process nzima za ukaaji nchini
 
Kama wauwaji wapo Rwanda.......................

kama wapiga risasi ni wanyarwanda...........................

Hakika wanyarwanda jana waliperfom wonders, kumbe shekhe Ponda alipigwa risasi na wanyarwanda.

Wauwaji na watesaji wakubwa ni ccm kikwete na serikali yake, Kamuulizen Ponda atawapa majibu sahihi siyo yenu ya

kishabiki na kubumba.
 
Watu kama dr. Slaa wanawapa hawa jamaa kiburi kuona kwamba kumbe kuna watanzania wanaovumilia ushenzi wao!!!

Hivi Jina la Mtoto wa Slaa aliyezaa na Mchumba wake wanaeishi nae, (yule aliyekuwa mke wa mtu) anaitwa nani huyo kichanga?
 
Wanaotishia amani na ustawi wa Taifa la Tanzania mtawafahamu kwa kuwauliza hawa na majibu yatajibainisha.

1. Waulizeni akina ulimboka, kubenea, Lwakatale ............

2. Muulizeni lipumba na CUF yake alishakula kichapo cha haja mpaka mabandeji kichwani, bila kusahau IGP-omary mahita na majambia ya kubumba ya CUF

3.Waulize akina Rose kamili na wenzake kichapo na mauwaji waliofanyiwa Arusha

4. waulize familia za Akina Ally zona, Mwangosi, kolimba, Imran Kombe nk

5.Waulize wanamtwara nani kawapiga, kuwabaka na kukataa kuwasikiliza kuhusu mgawanyo wa Gesi itapochimbwa

6. Waulize Songea kwamba Kamuhanda aliwakwangua wangapi mchana kweupee wangoni wasio na hatia

7. Waulize wabunge wa mwanza - cdm mapanga aliwacharanga nani,

8 Pita mawodin, katika hospitali za serikali wanakufa wangapi kwa kukosa tiba bora eti Tanzania maskini, wao wakiugua haoo apolo au Germany

9. Pita mashuleni, watoto wetu shule za kata walimu wawili wanafunzi 300, hakuna vitabu wala maabala-kuferi 90%

10. Kanunue mafuta ya taa (kerosine) ili mwanao walau asome usiku kwa kibatali au chemli, bei ya kerosine = petrol sijuwi inakuwaje

11. Waulize wachimbaji wadogowadogo nani anawahamisha na kuwatwanga kila wakati na kuachwa bila sehem ya uchimbaji

12. kawaulize wananchi nchin kote kwanini madawa ya kulevya yanashamiri, nani anawaharibia watoto na familia zao

14. kawaulize waalimu na madakitari kwanini wanaamuka na hasira kila siku na kushindwa kutoa huduma bora na kusababisha maafa ya kutisha kwa watanzania wasioweza kwenda apolo na germany

15. kawaulize wamasai, nani anawauwa wao na mifugo yao (Loliondo, morogoro nk) kuwapiga na kuwafukuza

16. kawaulize wasukuma kwanini biashara ya pamba imekufa, nani kaiuwa na kwanini wateseke na anasababisha

17. kawaulize wakulima watoto wao wanakufa kwa utapia mlo, lishe duni nani anawapora mborea napembejeo

18. Waulize wafanyakazi kwanini wanashindwa kumudu maisha kila siku kodi nyingi wanazokatwa zinapotelea wapi

19. Waulize watanzania kwanini reli za TAZARA na Kati zinashindwa kupanuka wala kuleta nafuu kwa walalahoi nani kaziporomoa

20. waaulize watanzania inawezekanaje Rwanda kumiliki zaid ya ndege Tano za abiria Tanzania hatuna hata moja, sababu nini na nani anahuika

Katika orodha hiyo watakujibu ni ccm na serikali yake kwa asilimia kubwa sijuwi kama utapata jibu kwamba wanaosababisha ni wanyarwanda. Wauwaji, waharibifu, watesaji, wapika majungu, nk ni ccm na serikali yake sio wanyarwanda huko tunatafuta visababu vya kuficha udhaifu wa serikali yetu fedhuri.
 
Kama wauwaji wapo Rwanda.......................

kama wapiga risasi ni wanyarwanda...........................

Hakika wanyarwanda jana waliperfom wonders, kumbe shekhe Ponda alipigwa risasi na wanyarwanda.

Wauwaji na watesaji wakubwa ni ccm kikwete na serikali yake, Kamuulizen Ponda atawapa majibu sahihi siyo yenu ya

kishabiki na kubumba.
Kwani wewe hujui kuwa Ponda ni Mnyarwanda?
Fuatilia..
 
kwani waimanisha kuwa nia nikuwatimua wanyarwanda na sio wahamiaji haramu au? tafakari bana ndipo uchangie hoja.

Wewe ndiyo ulitakiwa kutafakari kabla ya kuchangia.

Naelewa kuwa waliotimuliwa na wahamiaji haramu kutoka Rwanda; lakini hebu jiulize hawa walihamia juzi juzi Kikwete alipokwenda Kagera? Kama walihamia zamani kwa nini waliachwa muda wote huo?!

Na kwa nini hi timua timua haikuwagusa wahamiaji haramu wengine kama Wahindi, Wachina, Wakenya n.k.? Tafakari!
 
Kagame angekuwa mbwa tayari kashaficha mkia...JK mbele kwa mbele mkoromee asicheze na nchi inayochipukia kuwa taifa kubwa.
 
“Those people [Tanzanian President Jakaya Kikwete] you just heard siding with Interahamwe and FDLR and urging negotiations… negotiations? Me, I do not even discuss this topic, because I will just wait for you [Tanzanian President Jakaya Kikwete] at the right place and I will hit you! He[Tanzanian President Jakaya Kikwete] did not deserve my answer. I did not waste my time answering him…It is well known. There is a line you cannot cross, there is a line, a line that you should never cross. It is impossible…”

Tunaondoa hao anao wategemea kuwatuma kwenye'right place' ili am 'hit Kikwete'. Kauli yake ni kali mno kiasi kwamba tutawasaka wanyarwanda wote ndani na nje ya serikari kuhakikisha kwamba hawaleti madhara anayotarajia kuyafanya huyu jamaa.
 
Back
Top Bottom