Fidia ya migodi US amekwapua huko DRC ambayo ilikuwa inashikiliwa na Rwanda kwa mgongo wa M23Marekani imeipatia Rwanda Dola milioni 228 kwa ajili ya kupambana na HIV pamoja na malaria.
Pesa hizo ni sawa na Shilingi bilioni 600 za Kitanzania.
Tuache kiburi. Tupo katika dunia inayotegemeana. Kila nchi inaitegemea nchi nyingine.
Nchi jirani zote wanaikubali na kuishibokea dsm, hadi wakenya nao wanaikubali kinyamaAtawapelekea Arsenal aongeze mkataba wa visit Rwanda au Atretico Madrid hakuna kitu kinafanyika Rwanda bhana ila kama haujafika utadanganywa sana..mnyarwanda ukimwambia utamleta daslm anaweza asipate using ili siku hiyo wanaiamini daslm nadhani kuliko kitu chochote...
Wanawake wengi niliokutana nao hapo wengi wanataka kuja Daslm na si sehemu ingine...Nchi jirani zote wanaikubali na kuishibokea dsm, hadi wakenya nao wanaikubali kinyama
Kigali sio nzuri kuliko DSM? Isanga familyAtawapelekea Arsenal aongeze mkataba wa visit Rwanda au Atretico Madrid hakuna kitu kinafanyika Rwanda bhana ila kama haujafika utadanganywa sana..mnyarwanda ukimwambia utamleta daslm anaweza asipate using ili siku hiyo wanaiamini daslm nadhani kuliko kitu chochote...
Kigali ipi ufananishe na Dsm mzee ingekua nzuri wanawake wao wangekua wanaomba tuwalete Dsm..Kigali sio nzuri kuliko DSM? Isanga family
Mtu wa mwisho kwenda kigali on my records ni Mo na mkuu wa...Army wewee mara yako ya mwisho ni lini?Kigali ipi ufananishe na Dsm mzee ingekua nzuri wanawake wao wangekua wanaomba tuwalete Dsm..
Hivi rais wao si ndio aliitafuta USA na kumpa hiyo offer?Fidia ya migodi US amekwapua huko DRC ambayo ilikuwa inashikiliwa na Rwanda kwa mgongo wa M23
Be blessed mwaka hauishi naoa mimiKigali ipi ufananishe na Dsm mzee ingekua nzuri wanawake wao wangekua wanaomba tuwalete Dsm..
Mkuu mkataba unaisha 2026 na washalipwa!Atawapelekea Arsenal aongeze mkataba wa visit Rwanda au Atretico Madrid hakuna kitu kinafanyika Rwanda bhana ila kama haujafika utadanganywa sana..mnyarwanda ukimwambia utamleta daslm anaweza asipate usingizi siku hiyo. wanaiamini daslm nadhani kuliko kitu chochote...
Zile style za kuvimbiana mtaani uswahili ndo wanazileta kwenye inshu za kitaifaeti wanaona China, Russia, na North korea zinamvinbia USA,
na wao wanaoimport mpaka chupi et wanavimba