Rwanda To Eliminate Nyumba za Majani by May

u forget that their country is the same as mkoa wa Singida... Even we could do it if we had a short-chassis country like his... Watu muwage fair kidogo....

Size does not matter, plans do.

Ni rahisi kuongoza watu masikini wenye maisha duni kuelekea kokote kubaya CCM watakako.
Ni vigumu sana kuwarubuni na kuwapotosha watu wenye maisha bora na mwamko.
Serikali ya CCM inaweza kugawa Green Vest za kijani ,khanga ,cap na pilau nusu lakini hawawezi kufuta kodi ya Cement na Bati, kwa sababu kufanya hivyo ni kuamsha Watanzania waengi walio lala na kujijengea mazingira magumu ya kuwaburuta.

Miaka 50 ya Uhuru bado tunapigana Vita choka mbaya na Adui Yule yule Ujinga.
Ujinga ni aghari sana, ukitakakuthibitisha hilo Angalia utajiri wa asili ulivyo mkubwa Tanzania kisha linganisha utajiri huo na maisha ya watanzania walio wengi more than 90%
images


images



images



images


images


images


images


images
images
images


images
 
Ukiwa na political system kama ya china, inawezekana. Haya mambo ya sjui free and far election sometimes yanaponza.


You are right. Democracy came too early to our country. Nchi ilitakiwa kwanza ijenge mshikamano wa kitaifa, halafu iwe na vision ya kueleweka na kukubalika na wananchi wote. We should stick to that vision regardless ya nani anaingia madarakani, badala ya sasa ambapo kila kiongozi anayekuja anakuja na mambo yake.

Sasa hivi kila kiongozi anashindwa kufanya maamuzi makubwa (some decisions for development need some sacrifices) kwa vile anaogopa yeye au chama chake kitakosa kura kwenye uchaguzi unaofuata.

Ni hili suala la kutokuwa na uhakika wa kurudi madarakani ndilo linalosababisha viongozi wa kiafrika wakiwa ikulu wanaanza kuiba na kujilimbikizia mali wakati huo huo wakiogopa kufanya maamuzi ya MAANA kwa nchi zao.

Tunachohitaji sasa ni Madikteta kama Kagame, wenye UZALENDO na nchi yao, wanaoweza kufanya maamuzi MAZURI kwa nchi bila woga wa kutochaguliwa kwenye uchaguzi unaofuata.
 
Back
Top Bottom