Rwanda: Mwanaharakati Illuminee Iragena atoweka

Rwanda: Mwanaharakati Illuminee Iragena atoweka

Kagame ni shetani wa democrasia wala si mtu wa kufumbia macho hata kidogo....

Mseven pamoja na udicteta wake alionao hajawai poteza watu kama alivyo kagame...

Kagame anawafata watu mpaka south Africa kuwaua ...

Huyu ni MTU hatari sana si wa kuchekea

Viongozi wasipokubali kukosolewa bora waachi madaraka mwisho wa siku watu wakikuchoka usitegemee kukumbuka mazuri yako....
Kwenda kule yeye ndio mwaume alieifikisha rwanda hapo ilipo.
 
Hakuna nguvu mbili zinazoweza kuishi pamoja. Lazima nyingine iwe dhaifu au ife kabisa ili nyingine iweze kudumu na kufanya kazi. Haya mambo ni too complicated, hasa siasa na utawala.
 
Watutsi wana roho mbaya, hao ni cheka nikuue maana wanakuumiza ili hali hawakuonyeshi chuki ya wazi, mimi nina marafiki wengi watutsi ila naishi nao kwa akili nawajua ni ma opportuniste wa kufa mtu, yupo radhi akuue akiona unakuwa kero kwenye mipango yake ya kutimiza anachokitaka
 
kununua ndege kunahusiana nini na hii post
Wakinunua ndege
Mashangiria weee
Mpaka mnatamani kuhamia Rwanda!!
Leo mnaponda!!
Unafiki ni tatizo kizazi cha leo.


Ubaya wa nyumba haujui mpitanjia
 
Halafu stupid Americans wanamleta mtuhumiwa wa genocide eti atatendewa haki mahakamani. Shame on them
Huyo jamaa aliyerudishwa ndio basi, atakula mateso mpaka na yeye afie gerezani
 
Hakika kila binadamu ataonja umauti na kila mtu atahukumiwa kwa makosa yake
 
Nani alikuuliza?
Shut up you are just a much knowing everything
person hivi wewe nikuweke wapi, chagua kati ya hayo mawili mapande yenu maana mnajijua. Kawatafute hao wakwenu hapa hupati kitu nimekusoma mpaka ip yako potea.
 
Lakini......kagame hataishia pema,,ngoja tusubiri kwa watakaobaki watakumbuka,, sio kweli kwamba ulimwemgu hamuoni,,ama wapinzani wake atawakandamiza mpaka mwisho, iko cku tu shilingi itageuka na naanza kuona harufu hio haiko mbal
 
Hakuna nguvu mbili zinazoweza kuishi pamoja. Lazima nyingine iwe dhaifu au ife kabisa ili nyingine iweze kudumu na kufanya kazi. Haya mambo ni too complicated, hasa siasa na utawala.
You know better than them my dear. Berlin wall and Watergate hahahha.
 
Back
Top Bottom