you should be thankful that we hosted you, without that, hata icho kiswahili chako kizuri ungekuwa unakisikia kwenye bomba.
you are very wrong to think that we did not expect you to be like us? why a Rwandan would think like that? unajua tumewahost tangu miaka ya 1950, wakati wa revolution ya wahutu walipotwaa madaraka, watusi wengi sana walikimbilia Tanzania na uganda, na hata leo hii ninao ndugu zangu wengi sana ambao ni watz wazazi wao walikuja hapa tz kabla ya uhuru na mapema wakati wa uhuru. operation kimbunga imewaacha hao wote. kwa tz hakuna watu tuliokuwa tunawapenda kama wanyarwanda,....na tulikuwa radhi hata kuwapa uraia kama tulivyowapa uraia warundi zaidi ya laki tatu hadi sana. mwezi uliopita waziri wa mambo ya ndani alikuwa kwenye sherehe ya kuwapa uraia warundi laki moja na nusu. we do not have that kind of spirit, sisi hatupo kama ninyi mlivyo, sisi huwa tunashukuru na huwa tunathamini utu....hata kagame angekuwa bado yuko msituni hadi sasa tungemkaribisha tz afanye vikao na watusi wenzie ambao ni wengi sana wengine wapo hadi kwenye serikali yetu, mimi mwenyewe ndani yangu kuna damu ya mtusi kwa upande wa mama yangu, mke wangu ni half mtusi na mchaga (mtusi wa Ngara), you are very wrong kufikiri leo kuwa watz hatutaki rwanda iendelee. kama ungekuwa na akili ungegundua kuwa, kagame ni nyoka ambaye asipoondoka lazima rwanda itakuwa na majipu na sumu za ajabu na yeye ndiye amesababisha mgogoro huu hadi watu wa asili ya rwanda wanachukiwa sana hapa tz wakati zamani waliiishi kwa amani tu. do you think what kagame is doing in relation to diplomatic relation with tz is right? unafikiri pia is it right for him to wish all rwandans living in congo forest would die? mbona unakosa shukrani sana mzee, huoni aibu?