Rwanda launches east Africa’s first utility-scale solar energy project

Rwanda launches east Africa’s first utility-scale solar energy project

Watanzania why Ku discuss rwanda rwanda kuna kitu kinawauma juu ya hawa watu why..??? Wameweka solar kwa ajili yao Majungu hapa kwenu aibu Tupu
 
Hapo neno 'Gigawatt Global' ni jina la kampuni ya nishati. Gigawatt Global |

Rwanda wamepiga hatua sana kimaendelea, sisi Tanzania tutabaki tu tunakashifu 'majina' ya kampuni zinazoitwa Gigawatt..!!

Acha mapovu thread imehaririwa, ilikuwa ni GIGAWATTS na aliyeposti alikuwa anasisitiza hilo! Angalia jibu lake hapa nilipomshushua, bado alikuwa anasisitiza kuwa ni Gigawatt na sio megawatt.
Hujui kusoma? megawatt unaitoa wapi
 
Watanzania why Ku discuss rwanda rwanda kuna kitu kinawauma juu ya hawa watu why..??? Wameweka solar kwa ajili yao Majungu hapa kwenu aibu Tupu

Na wao kwa nini hawawezi kupost thread bila kutuita? Mtu anapost thread halafu anaita watu specifically, wakija kumpa za uso kuna shida gani?
 
Hata ingekuwa watt, the point ilikuwa idadi yawaliofaidika.. by the way i am not the author of the story.

sasa kwa nini nilipokuambia habari imekosewa ukaleta ubishi wa kitutsi? by the way unajua maana ya "like"? mbona unafanya kila kitu ni ugomvi kati yangu na Rwanda? Nikukumbushe kuwa ugomvi wangu uko kwa kagame na serikali yake ya RPF sio wanyarwanda kama Taifa.
 
mnyarwanda hawezi kuniita mimi akili mgando, hadhi hiyo huna ya kumwita mtz, labda angekuwa mtu wa nchi nyingine. you are no bodies.

well... I did it! and just by looking at your statement, you proved it again... no doubt, you are mentally disturbed!!! pole.
 
sasa kwa nini nilipokuambia habari imekosewa ukaleta ubishi wa kitutsi? by the way unajua maana ya "like"? mbona unafanya kila kitu ni ugomvi kati yangu na Rwanda? Nikukumbushe kuwa ugomvi wangu uko kwa kagame na serikali yake ya RPF sio wanyarwanda kama Taifa.

Hate zako kwa watutsi zitakumaliza mwehu wewe.
 
Acha mapovu thread imehaririwa, ilikuwa ni GIGAWATTS na aliyeposti alikuwa anasisitiza hilo! Angalia jibu lake hapa nilipomshushua, bado alikuwa anasisitiza kuwa ni Gigawatt na sio megawatt.

Original thread haijahaririwa.
Hamna ile text pale chini ya thread ya kuonyesha kuwa thread imehaririwa.
 
Original thread haijahaririwa.
Hamna ile text pale chini ya thread ya kuonyesha kuwa thread imehaririwa.

Mkuu, wacha kupoteza wakati wako na Interahamwe jMali! hivyo ndivyo tunavyo ishi nae... ana roho kama ya paka-shume, sema ipo siku mwenyee atakuja kutupigia hodi Kigali, wa hivyo tumewazoea, hata wenzake waliobarikiwa kurudi hivi wanapeta ndani ya Rwanda!!!
 
Watanzania sijui kwa nini mnawapondea warwanda, hawa jamaa wana nafasi kubwa sana ya kuweza kulipuka kiuchumi zaidi ya mnavofikiri, pamoja na kua na eneo dogo sana jamaa wana population kubwa, they can handle themselves quite well, ni rahisi sana kuijenga Rwanda ambayo inalingana na kitu kama mkoa tu kwa Tanzania, ni rahisi sana kuweka services kibao within a small area, na ujue ukiunganisha watu 10Million wakawa na huduma nzuri ni rahisi sana nchi kukua, angalia mji kama Seoul ulivomdogo hata Rwanda kubwa, lakini una 10million people, umekuza sana uchumi wa nchi yao hadi sehemu nyingine zote zikanyanyuka. kuliko Tanzania population kubwa afu imegawanyika maeneo kibao wanabaki kujenga dar peke yake sababu huwezi kuwajengea hospitali na shule watu wapo 100km away afu wapo ka 10,000, ndo maana hata umeme wengi hawapati afu wengi wapo vijijini....
 
Original thread haijahaririwa.
Hamna ile text pale chini ya thread ya kuonyesha kuwa thread imehaririwa.

ikihaririwa na mod haitaonyesha. lakini kama huamini anza mwanzo wa thread, utaona ubishani wangu na waliokuwa wanatetea kuwa ulikuwa centered around megawatts vs gigawatts. vile vile kwa urahisi zaidi muulize aliyepost.
Narudia tena angalia hapa ambapo aliyepost ananishangaa kwa nini nasema megawatti wakati yeye kaandika Gigawatti.
Hujui kusoma? megawatt unaitoa wapi
 
Mkuu, wacha kupoteza wakati wako na Interahamwe jMali! hivyo ndivyo tunavyo ishi nae... ana roho kama ya paka-shume, sema ipo siku mwenyee atakuja kutupigia hodi Kigali, wa hivyo tumewazoea, hata wenzake waliobarikiwa kurudi hivi wanapeta ndani ya Rwanda!!!

kwa hiyo na wewe unasema thread ilikuwa inasema MEGAWATT toka mwanzo? Please weka wazi ili watanzania waliosoma thread toka mwanzo wapime wether you people are really liars by nature as claimed by some... cc: Mu-Israeli.
 
sasa kwa nini nilipokuambia habari imekosewa ukaleta ubishi wa kitutsi? by the way unajua maana ya "like"? mbona unafanya kila kitu ni ugomvi kati yangu na Rwanda? Nikukumbushe kuwa ugomvi wangu uko kwa kagame na serikali yake ya RPF sio wanyarwanda kama Taifa.
Unfortunately huwezi kuficha wewe ni nani, ingekuwa kweli ugomvi wako ni kwa Kagame na serikali yake ya RPF kama mwanasiasa then hili neno "Ubishi wa kitutsi" usingeliingiza humu.
Chuki yako ni dhidi ya kabila na wala sio government system, hata Kagame akiondoka leo akaingia Rais mwingine mTutsi am sure ugomvi wako utaendelea vilevile.
Hii ndio tofauti yako na wachangiaji wengine kama Kibona etc.
 
we are somebody, we hosted your tusi people since the revolution of the 1950s and 1994. we gave you place to sleep, plots to farm, education in our schools, toilets to shit in exchange of nothing. what has a Rwandan done to a Tanzanian since the creation of planet earth? just mention one!

Yeah you hosted us but you didn't expect us to be like you did you? We own our own destiny bwaaaay....nyie bakini na hizo sifa za ku host tu. haina shida.
 
Unfortunately huwezi kuficha wewe ni nani, ingekuwa kweli ugomvi wako ni kwa Kagame na serikali yake ya RPF kama mwanasiasa then hili neno "Ubishi wa kitutsi" usingeliingiza humu.
Chuki yako ni dhidi ya kabila na wala sio government system, hata Kagame akiondoka leo akaingia Rais mwingine mTutsi am sure ugomvi wako utaendelea vilevile.
Hii ndio tofauti yako na wachangiaji wengine kama Kibona etc.

Asante mkuu kwa hiyo comment. Sisi wanyarwanda wenzake tunaliona hilo. We can read between the lines lakini mtanzania halisi hawezi kuliona hilo.
 
Yeah you hosted us but you didn't expect us to be like you did you? We own our own destiny bwaaaay....nyie bakini na hizo sifa za ku host tu. haina shida.
you should be thankful that we hosted you, without that, hata icho kiswahili chako kizuri ungekuwa unakisikia kwenye bomba.

you are very wrong to think that we did not expect you to be like us? why a Rwandan would think like that? unajua tumewahost tangu miaka ya 1950, wakati wa revolution ya wahutu walipotwaa madaraka, watusi wengi sana walikimbilia Tanzania na uganda, na hata leo hii ninao ndugu zangu wengi sana ambao ni watz wazazi wao walikuja hapa tz kabla ya uhuru na mapema wakati wa uhuru. operation kimbunga imewaacha hao wote. kwa tz hakuna watu tuliokuwa tunawapenda kama wanyarwanda,....na tulikuwa radhi hata kuwapa uraia kama tulivyowapa uraia warundi zaidi ya laki tatu hadi sana. mwezi uliopita waziri wa mambo ya ndani alikuwa kwenye sherehe ya kuwapa uraia warundi laki moja na nusu. we do not have that kind of spirit, sisi hatupo kama ninyi mlivyo, sisi huwa tunashukuru na huwa tunathamini utu....hata kagame angekuwa bado yuko msituni hadi sasa tungemkaribisha tz afanye vikao na watusi wenzie ambao ni wengi sana wengine wapo hadi kwenye serikali yetu, mimi mwenyewe ndani yangu kuna damu ya mtusi kwa upande wa mama yangu, mke wangu ni half mtusi na mchaga (mtusi wa Ngara), you are very wrong kufikiri leo kuwa watz hatutaki rwanda iendelee. kama ungekuwa na akili ungegundua kuwa, kagame ni nyoka ambaye asipoondoka lazima rwanda itakuwa na majipu na sumu za ajabu na yeye ndiye amesababisha mgogoro huu hadi watu wa asili ya rwanda wanachukiwa sana hapa tz wakati zamani waliiishi kwa amani tu. do you think what kagame is doing in relation to diplomatic relation with tz is right? unafikiri pia is it right for him to wish all rwandans living in congo forest would die? mbona unakosa shukrani sana mzee, huoni aibu?
 
Mkuu, wacha kupoteza wakati wako na Interahamwe jMali! hivyo ndivyo tunavyo ishi nae... ana roho kama ya paka-shume, sema ipo siku mwenyee atakuja kutupigia hodi Kigali, wa hivyo tumewazoea, hata wenzake waliobarikiwa kurudi hivi wanapeta ndani ya Rwanda!!!

Hahaha anaroho ya P A K A da
 
Watanzania sijui kwa nini mnawapondea warwanda, hawa jamaa wana nafasi kubwa sana ya kuweza kulipuka kiuchumi zaidi ya mnavofikiri, pamoja na kua na eneo dogo sana jamaa wana population kubwa, they can handle themselves quite well, ni rahisi sana kuijenga Rwanda ambayo inalingana na kitu kama mkoa tu kwa Tanzania, ni rahisi sana kuweka services kibao within a small area, na ujue ukiunganisha watu 10Million wakawa na huduma nzuri ni rahisi sana nchi kukua, angalia mji kama Seoul ulivomdogo hata Rwanda kubwa, lakini una 10million people, umekuza sana uchumi wa nchi yao hadi sehemu nyingine zote zikanyanyuka. kuliko Tanzania population kubwa afu imegawanyika maeneo kibao wanabaki kujenga dar peke yake sababu huwezi kuwajengea hospitali na shule watu wapo 100km away afu wapo ka 10,000, ndo maana hata umeme wengi hawapati afu wengi wapo vijijini....

Sasa yoote hayo yanini si yanatuhusu nini mambo ya rwanda? waendelee kivyao tatizo dharau na na misifa wangeipeleka hukohuko rwanda
 
Sasa yoote hayo yanini si yanatuhusu nini mambo ya rwanda? waendelee kivyao tatizo dharau na na misifa wangeipeleka hukohuko rwanda

Hii ni habari kama habari nyingine tunazowekewa humu JF, unataka unambie habari hua tunapata za Tanzania peke yake? sasa wakitupia na za rwanda mara moja moja kuna ubaya gani? ni bora kujua kinachondelea East Africa kuliko kutokujua chochote
 
Back
Top Bottom