Rwanda: Economic sanctions from Western Donors

Safi! Hawa ndo majirani! Sio majirani mashoga! Wanaishi kwa misaada ya wazinzi wa dunia!
 
Yeah ni kweli Wana hela huoni yale maghorofa yanavyochipuka kama uyoga huku majirani zao RDC wakizidi kuwa masikini na utajiri wamekalia kama sisi ulivyokaliwa.:A S 465:
 
Well done President Kagame! Other African Leaders should emulate what you do for your country.
 
Kagame is a man, wazungu watajitoa na kurudi wenyewe. Si mnakumbuka Ufaransa walitishia nyau, akasema hata lugha yenu siitaki akahama na kujiunga na jumuia ya madolap. Later rais wa ufaransa akatembelea Rwanda na bado Rwanda ni mwanachama wa jumuia ya madola. Kagame is a patriotic ruler of Rwanda.
 
This is how a serious country should stand for...and let me tell you one thing popote penye neema na amani shetani hakosekani...Rwanda are seriously doing well in all avenue, sasa hawa wakoloni tayali wanaanza choko choko na ukichukulia kwamba sasa rwanda ilikuwa next kwenye un security council as chair baada ya South africa.....watapambana na watashindwa wanapenda tu kwenye REGION KUSIWE NA AMANI...DRC,RWANDA, BURUNDI, UGANDA, KENYA ELSHABAAB SASA TANZANIA NA LAKE NYASA MALAWI...........Mwenyezi Mungu tusaidie.....
 
Hayo ndio maneno ya watu wenye uchungu na nchi yao, na sio "Nikipata bilioni 100 nitaifanya Tanzania kuwa peponi." - Alas! Watanzania hatuhitaji bilioni ngapi au ngapi kutoka nje kwani ndani tuna ardhi iliyojaaliwa kitu na watu zaidi ya milioni 40 wenye hamu ya maendeleo. Bahati mbaya tuko mayatima wa siasa safi na viongozi bora.
 
Back
Top Bottom