Yeah ni kweli Wana hela huoni yale maghorofa yanavyochipuka kama uyoga huku majirani zao RDC wakizidi kuwa masikini na utajiri wamekalia kama sisi ulivyokaliwa.:A S 465:
Kagame is a man, wazungu watajitoa na kurudi wenyewe. Si mnakumbuka Ufaransa walitishia nyau, akasema hata lugha yenu siitaki akahama na kujiunga na jumuia ya madolap. Later rais wa ufaransa akatembelea Rwanda na bado Rwanda ni mwanachama wa jumuia ya madola. Kagame is a patriotic ruler of Rwanda.
This is how a serious country should stand for...and let me tell you one thing popote penye neema na amani shetani hakosekani...Rwanda are seriously doing well in all avenue, sasa hawa wakoloni tayali wanaanza choko choko na ukichukulia kwamba sasa rwanda ilikuwa next kwenye un security council as chair baada ya South africa.....watapambana na watashindwa wanapenda tu kwenye REGION KUSIWE NA AMANI...DRC,RWANDA, BURUNDI, UGANDA, KENYA ELSHABAAB SASA TANZANIA NA LAKE NYASA MALAWI...........Mwenyezi Mungu tusaidie.....
Hayo ndio maneno ya watu wenye uchungu na nchi yao, na sio "Nikipata bilioni 100 nitaifanya Tanzania kuwa peponi." - Alas! Watanzania hatuhitaji bilioni ngapi au ngapi kutoka nje kwani ndani tuna ardhiiliyojaaliwa kitu na watuzaidi ya milioni 40 wenye hamu ya maendeleo. Bahati mbaya tuko mayatima wa siasa safi naviongozi bora.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.