Rwanda dismisses Kagame death rumours

Rwanda dismisses Kagame death rumours

Kwa habari zilizonifikia kagame kapigwa risasi uko rwanda .

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

Kwa nimjuavyo Kagame ni Askari Aliyekamilika tena Kwa Kila Kitu na Kiinteligensia Ndiyo Yupo Vizuri sana Kuliko Ufikirivyo na Ana Kikosi Kizuri sana cha Presidential Guard ambao Wamepikwa na Wakapikika Kutoka Kwa Wayahudi na Kuna Mwenzangu Yupo Karibu na Makazi Yake amesema Kuwa Jamaa Yupo Mzima tena wa Afya. Kagame hawezi Kuuwawa Kijinga Jinga Kama Viongozi Wengine na Saa 2 Anakwenda Kuzungumza ktk Runinga Ya Taifa. Tegeni Sikio na Mlio na Access na Rwanda State Television Mtamshuhudia.
 
Kwa nimjuavyo Kagame ni Askari Aliyekamilika tena Kwa Kila Kitu na Kiinteligensia Ndiyo Yupo Vizuri sana Kuliko Ufikirivyo na Ana Kikosi Kizuri sana cha Presidential Guard ambao Wamepikwa na Wakapikika Kutoka Kwa Wayahudi na Kuna Mwenzangu Yupo Karibu na Makazi Yake amesema Kuwa Jamaa Yupo Mzima tena wa Afya. Kagame hawezi Kuuwawa Kijinga Jinga Kama Viongozi Wengine na Saa 2 Anakwenda Kuzungumza ktk Runinga Ya Taifa. Tegeni Sikio na Mlio na Access na Rwanda State Television Mtamshuhudia.

mkuu kabla ya kumwagia sifa kikosi hicho kilijchopikwa israel unamkumbuka pm rabin wa israel!!! unakumbuka yaliompata!!!!si alikuwa amezungukwa na makamandoo wa israel,je yule bodyguard wa pk aliyeasi akakimbilia uganda si alikuwa trained israel!!!!!
 
Confirmed! Kagame kapinduliwa baada ya kujeruhiwa katika tukio la kumuua kwa risasi! Kapigwa risasi na mlinzi wake mwenye cheo cha kanali! Habari zaid zinaeleza anatibiwa kwenye hosptal ya king Faisal mjini kigali ila inawezekana ikawa hspital tofauti kwa masuala ya kiusalama.
 
Wakuu
hizi ni habar ambazo hazijadhibitishwa lakin ktk mikoa ya Geita, Kagera na Kigoma hii tetesi ya kuuwa kwa kagame imesambaa sana.
Wanadai kauwawa na mlinzi wake kwa kupigwa risasi.

life tu!
 
acha niwaombe hawa wadau waje watuthibitishie.ukimya wao hapa jamvini unaweza kuwa na positive impact na issue inayozungumwa de'levis , Moshe Dayan Et al.
 
Last edited by a moderator:
Confirmed! Kagame kapinduliwa baada ya kujeruhiwa katika tukio la kumuua kwa risasi! Kapigwa risasi na mlinzi wake mwenye cheo cha kanali! Habari zaid zinaeleza anatibiwa kwenye hosptal ya king Faisal mjini kigali ila inawezekana ikawa hspital tofauti kwa masuala ya kiusalama.

Confirmed by whom? Acheni uzushi!
 
Inaonekana DRC wanamchukia sana hiyu PK mpaka washangilie kifo chake
 
Confirmed! Kagame kapinduliwa baada ya kujeruhiwa katika tukio la kumuua kwa risasi! Kapigwa risasi na mlinzi wake mwenye cheo cha kanali! Habari zaid zinaeleza anatibiwa kwenye hosptal ya king Faisal mjini kigali ila inawezekana ikawa hspital tofauti kwa masuala ya kiusalama.

Confirmed by who, how? Please provide evidence!
 
Habari kama hii ingesambaa haraka sana kwenye vyombo vya habari. Nimecheck bbc na aljazeera hamna kitu. hata kuhojiwa officials wao hata kama wangekanusha. Lakini hakuna kitu. Kwangu bado ni uzushi tu.
 
Back
Top Bottom