LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 19,899
- 37,700
Baada ya mechi dhidi ya Olympiakos Robin Van Persie alikaririwa akisema wachezaji wenzie wanamkaba - wanacheza kwenye maeneo ambayo yeye pia hucheza jambo linalopelekea kutokucheza kwenye kiwango chake - Leo hii ikiwa imepita siku moja mshambuliaji mwenzie wa Man United Javier Hernandez Chicharito kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram amemjibu bila kumtaja Van Persie akisema: "Bila wachezaji wenzio kwenye soka, huwezi kufanya chochote. Inabidi uwe na shukrani siku zote."
SOMA MWENYEWE KWA KIKEREWE HAPO CHINI.
After Manchester United's 2-0 defeat at the hands of Olympiakos in the first leg of their Champions League clash, Robin van Persie put some of the blame on his teammates, per Craig Hope of the Daily Mail:
"Without your teammates you can't be somebody in football, always be thankful..."
MY TAKE : DHAMBI YA USALITI NI MBAYA SANA. RVP ATAENDELEA KUTAFUNWA NA DHAMBI YA USALITI DHIDI YA ARSENAL.
" The Victory of evil over good is just for a while "
SOMA MWENYEWE KWA KIKEREWE HAPO CHINI.
After Manchester United's 2-0 defeat at the hands of Olympiakos in the first leg of their Champions League clash, Robin van Persie put some of the blame on his teammates, per Craig Hope of the Daily Mail:
Our fellow players are sometimes occupying the spaces I want to play in.
And when I see that, it makes it difficult for me to come to those spaces as well. So that forces me to adjust my runs, based on the position of my fellow players. And, unfortunately, they are often playing in my zones. I think that's a shame.
Shortly after the quotes emerged, Javier Hernandez, aka Chicharito,posted a picture on his official Instagram with a simple message: And when I see that, it makes it difficult for me to come to those spaces as well. So that forces me to adjust my runs, based on the position of my fellow players. And, unfortunately, they are often playing in my zones. I think that's a shame.
"Without your teammates you can't be somebody in football, always be thankful..."
MY TAKE : DHAMBI YA USALITI NI MBAYA SANA. RVP ATAENDELEA KUTAFUNWA NA DHAMBI YA USALITI DHIDI YA ARSENAL.
" The Victory of evil over good is just for a while "