Rvp na chacharito waingia kwenye beef zito

Rvp na chacharito waingia kwenye beef zito

Tunamkaribisha Gunners kiroho safi.

Mimi simtaki kabisa arejee Arsenal baada ya kutufunga Goli na kushangilia kwa nguvu (hatuthamini tena kama tulimtunza hata alipokuwa majeruhi kwa muda mrefu)...!!
 
Mimi simtaki kabisa arejee Arsenal baada ya kutufunga Goli na kushangilia kwa nguvu (hatuthamini tena kama tulimtunza hata alipokuwa majeruhi kwa muda mrefu)...!!
Duh umesahau kwamba thatz so called "Futbo" mkuu...Umenikumbusha miaka ya 2007 Rooney na Ronaldo wote wakiwa club ya MANURE...wakakutana kwenye mpambano wa Qualify kila mtu na team yake ya Taifa pale Uingereza...Kwa bahati Rooney alimkanyaga Ronaldo...Ronaldo akarecommend kwa refa kwamba Rooney apewe Straight Red Card na kweli akapewa akatoka nje...ila kwenye club wako team moja!! Ndo futbo hiyo mkuu
 
Duh umesahau kwamba thatz so called "Futbo" mkuu...Umenikumbusha miaka ya 2007 Rooney na Ronaldo wote wakiwa club ya MANURE...wakakutana kwenye mpambano wa Qualify kila mtu na team yake ya Taifa pale Uingereza...Kwa bahati Rooney alimkanyaga Ronaldo...Ronaldo akarecommend kwa refa kwamba Rooney apewe Straight Red Card na kweli akapewa akatoka nje...ila kwenye club wako team moja!! Ndo futbo hiyo mkuu

Unakumbuka Ransey alipoenda kucheza dhidi ya Cardiff akiwa na Arsenal huko Wales...msimu huu? Alionyesha heshima kwa kutoshangalia, na wachezaji wenzake walimuelewa...kiasi cha mashabiki wa timu hiyo...ya Cardiff kumshangilia kwa nguvu baada ya mechi kwisha. Huu ndiyo ustaarabu tunaoutaka kutoka kwa RVP

Aaron Ramsey scores for Arsenal, doesn't celebrate against former club Cardiff [Video]
 
Mimi simtaki kabisa arejee Arsenal baada ya kutufunga Goli na kushangilia kwa nguvu (hatuthamini tena kama tulimtunza hata alipokuwa majeruhi kwa muda mrefu)...!!
ulitaka afunge na aanze kulia? msijifanye mnamapenzi kuliko hata alioanzisha timu.
 
Kwani RVP bado ni mshambuliaji? Ama bado anachezea ligi guu ya Uingereza?
Kama majibu ni ndiyo,mwambieni kuwa habari ya Uingereza na dunia kwa sasa ni SAS. Kombinesheni iliyofunga magoli mengi mpaka sasa katika ligi kubwa zote tano za barani ulaya...

"Nlikuwepo":bolt:
 
Mashabiki wa Arsenal kama mnataka kumpiga juju RVP kama sisi tulivyofanya kwa Torres? Well, itawabidi mje tuwape dawa..

"Nlikuwepo":bolt:
 
ashafanya mazur muda aliokuwapo united, atarud tu kwenye fom yake

Atarudi lini wakati umri wake ndo unaenda hivyo? Dawa yake muuzeni Newcastle huyo nyambaff, coz alivyo kuwa kichwa maji anaweza kwenda Liverpool au Man City ( wapinzani wenu) ameshaanza kusema, hafurahii maisha ya United na hazikubali mbinu za Moyes.
 
Back
Top Bottom