Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,296
- 103,856
Unamsusia NGEDERE shamba la mahindi? Nini unategemea? Kususa hakujawai kumuacha mtu salama.
Upinzani ulipoteza dira toka uchaguzi wa mwaka 2015.
kuanza moja sio mbaya, tujipange tutengeneze SERA zenye mvuto.
UKWELI SIONI DALILI ZA UPINZANI KUSHINDA CHAGUZI ZA HAPA KARIBUNI.
KWA HOJA AU SERA IPI?
MWAKA 2019 na 2020 sio mbali vizuri upizani ukajipanga.
Sera za ccm zinaeleweka wakitumia mapanga dhidi ya upinzani? Nikuambie ccm haina sera wala mvuto, ndio maana inatumia mbinu za kikatili kujipatia madaraka. Uchaguzi wa juzi ndio mmegundua hamkubaliki kwa kiwango gani na ule unyama ni dalili za kutokukubalika kwenu. Hivyo huo uchaguzi mnaolazimisha kumwaga damu watu tumewapuuza shirikini wenyewe, pikeni matokeo kisha mkitoka hapo kesheni mkishangalia. Ila hata wananchi wamepata ujumbe kwamba mnatawala bila ridhaa yao.