R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
Jana kuna picha wa wananchi wa wilaya Ngara wakichota mafuta baada ya gari la mafuta kuanguka. Mkuu wa mkoa amemuagiza kamanda wa polisi mkoa Kagera kuwakamata wote waliochota mafuta na kuwapeleka kwenye vyombo vya sheria.
***
Watu nane Wilayani Ngara wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za wizi wa mafuta katika gari lililopata ajali Kijiji cha Mshikamano maarufu Machinjioni, na kusababisha kifo cha dereva wa gari hilo
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Kagera, Revocatus Malimi amesema licha ya kukamatwa watu hao pia wamefanikiwa kukamata lita 300 za mafuta zilizokuwa zimeibwa katika tukio hilo
Kamanda amesema kuwa shughuli za ufaulishaji mafuta zinaendelea chini ya ulinzi mkali wa Jeshi la Police katika eneo la ajali hiyo lililopo njiani kabla ya kufika mpaka wa Rusumo
Pia soma
***
Watu nane Wilayani Ngara wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za wizi wa mafuta katika gari lililopata ajali Kijiji cha Mshikamano maarufu Machinjioni, na kusababisha kifo cha dereva wa gari hilo
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Kagera, Revocatus Malimi amesema licha ya kukamatwa watu hao pia wamefanikiwa kukamata lita 300 za mafuta zilizokuwa zimeibwa katika tukio hilo
Kamanda amesema kuwa shughuli za ufaulishaji mafuta zinaendelea chini ya ulinzi mkali wa Jeshi la Police katika eneo la ajali hiyo lililopo njiani kabla ya kufika mpaka wa Rusumo
Pia soma
Ngara, Kagera: Lori la Mafuta limeanguka Rusumo Magereza watu wanachota mafuta
Nimeona katika ukurasa wa road aafety ambassadors kuna video inaonyesha lory la kampuni ya lake oil limeanguka na inasemekana dereva amefariki wabongo kama kawaida wana gema mafuta dah wahusika chukueni hatua mapema kabla mtu hajachomoa betri aisee ===== Lori la Mafuta limeanguka Rusumo...
www.jamiiforums.com