Russians Disable U.S. Guided Missile Destroyer

Russians Disable U.S. Guided Missile Destroyer

Russia hata kama wanaweza ila hawasubutu kufanya hivyo kwenye meli ya USA coz wanajua wat will be next na wao ndo wameanza uchokozi. Ngoja Republican ishike madaraka kutakuwa na utulivu sana nadhani kati ya Iran au Nk safari hii
 
Russia hata kama wanaweza ila hawasubutu kufanya hivyo kwenye meli ya USA coz wanajua wat will be next na wao ndo wameanza uchokozi. Ngoja Republican ishike madaraka kutakuwa na utulivu sana nadhani kati ya Iran au Nk safari hii

Ndo imeshafanyika! Kwani huoni anachofanya USA sasa hivi! Wale wanajuana kutambiana kiteknolojia.
 
Last edited by a moderator:
Hii kitu inayoitw RS-36(ss-satan) sio mchezo jaman hii kitu ukisikia tu inatumw kwako lazim uombe msamah.Hii mashine ina uzito wa tan 206 na pia ina 20 megatone of TNT.ni kombor la ajabu san katik dunia
 
Nilichek kuskia kamand wa marekan akisibitish kuw ni kwel kwamb B-2 spirit haifany kazi kweny mawingu ya mvua.sasa nchi kam ya urusi itaingia vipi maan mawing muda wote si vichekesho hiv
 
Unajua kwanini US imetumia mzozo wa Eastern Ukraine kuiwekea vikwazo Urusi!!! The reason is US wamegundua kwamba arms race is not yet over kama alivyokuwa anajidanganya!

Baada ya mzozo wa Ukraine NATO walifanya military provocation nyingi za siri dhidi ya Urusi ili kutest military capability ya Urusi kwa sasa! The result was very shocking! Military Technology very complex za NATO ziliweza kudhibitiwa na technogia za kijeshi za Urusi.

Kwahiyo Marekani wameamua kuimaliza kwanza Urusi kiuchumi kupitia vikwazo ili kupunguza bajeti ya mambo ya kijeshi ya Urusi na ikibidi ku-incite internal strife ili nguvu ya umma itumike kumuondoa PUTIN madarakani. PUTIN ndiye nguzo ya mafanikio ya Urusi kwa sasa. Hata hivyo tokea kuzuka kwa mzozo wa Ukraine, umaarufu wa PUTIN miongoni mwa Warusi umeongezeka sana....wanamuona kama shujaa aliyeweza kuzuia RUSSIAN HUMILIATION BY THE WEST!
Go and read, best ever and modern fighter jet...F - 22 RAPTOR....from U.S.A...joint venture of Boeing & Lockheed Martins....

F - 22 RAPTOR...can jam and destroy enemy avionics in enemy airplane or warship....

Just google it...So SU - 24 will not even come close to F - 22 RAPTOR....By any means..US are well ahead of Russia Military technology...!!!
 
Back
Top Bottom