Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,957
- 8,073
Noma sana
Kuna mambo yanaepukika maana akifanya haraka uharibifu ni mkubwa zaidi.Yaani alisema atakayeisaidia ukrain kuvyovyote ana deal naye, ila sasa hivi wanaoisaidia ukrain wanaita na press kutangaza kupeleka msaada wa kivita. Ila jamaa ana mikwala mizito, mwanzoni watu walinywea ila baada ya kuona mambo yanavyomwendea huko Ukraine naona kila mtu anajishikia sharubu.
Mnavyo muinua huyu #Putin akisoma humu lazima awape uraia wa Urusi #naona #putin anaona raha sana kumwaga damu za watu wasio na hatiaBiden ana force kuiangusha Russia ,baada ya hesabu zake ku fail, uzuri wa Putin anatoa onyo,ukimbip anakupigia mazima.sasa naona Kuna mtu anambip Putin .
labda ulikua hujazaliwa wakati anatoa tahadhariKuwashambulia alitoa tahadhari?
Uone kama kuna msaada utapelekwa tena kwa COMEDIANKwanza alisema yeyote atakaisaidia Ukraine cha moto atakiona,kinyume chake tumeshuhudia misaada ya kijeshi na kifedha ikipelekwa Ukraine hadharani na mpaka sasa hakuna chochote alichokifanya.
hata namna yakula ikibidi PUTIN atawapangia tuuMnavyo muinua huyu #Putin akisoma humu lazima awape uraia wa Urusi #naona #putin anaona raha sana kumwaga damu za watu wasio na hatia
Yani kwenye hii Dunia who is Putin anajikuta anawapangia nchi huru jinsi ya Kuishi huyu jamaa sio binadamu wa kawaida ana roho ya mauaji ndani yake Mungu mwenyewe ambadilishe.
Yani its like Tz leo tukitaka kujiunga Jumuiya yoyote tunayoona inatufaa eti Kenya atupige mkwara kisa tupo EAC
Paper TigerYaani alisema atakayeisaidia ukrain kuvyovyote ana deal naye, ila sasa hivi wanaoisaidia ukrain wanaita na press kutangaza kupeleka msaada wa kivita. Ila jamaa ana mikwala mizito, mwanzoni watu walinywea ila baada ya kuona mambo yanavyomwendea huko Ukraine naona kila mtu anajishikia sharubu.
Duh yaani pro Russia mmefikia stage mishipa yenu ya aibu imekata kabisa,mnaongea upuuzi na utumbo wa hali ya juu hadharani bila aibu. Hayo majumba,mahospital na miundombinu inayopigwa mabomu kila siku wanaishi Kuku na Bata?Kuna mambo yanaepukika maana akifanya haraka uharibifu ni mkubwa zaidi.
Usishambikie vita sio movies wala video games
Mabomu ya mbagala na Gomes unakumbuka watu walivyoacha nyumba zao na kuokoa maisha yao sembuse kushambulia directly
Mwanzo alishindwa nini na sasa aweze?Uone kama kuna msaada utapelekwa tena kwa COMEDIAN
RUSSIA sio ZIMBABWE
Pro western how much damage mmefanya duniani acheni UJINGADuh yaani pro Russia mmefikia stage mishipa yenu ya aibu imekata kabisa,mnaongea upuuzi na utumbo wa hali ya juu hadharani bila aibu. Hayo majumba,mahospital na miundombinu inayopigwa mabomu kila siku wanaishi Kuku na Bata?
Aliyesema siku tatu ni Nani?!?! Huenda ni BBC Sky News Al jeexrra...Duh leo hii yamekuwa haya,sio siku tatu tena?
hakutoa ahadi ndio maana akashindwa ila sasa kaongeaMwanzo alishindwa nini na sasa aweze?
Wewe mbona hujapewa uraia wa marekaniMnavyo muinua huyu #Putin akisoma humu lazima awape uraia wa Urusi #naona #putin anaona raha sana kumwaga damu za watu wasio na hatia
Yani kwenye hii Dunia who is Putin anajikuta anawapangia nchi huru jinsi ya Kuishi huyu jamaa sio binadamu wa kawaida ana roho ya mauaji ndani yake Mungu mwenyewe ambadilishe.
Yani its like Tz leo tukitaka kujiunga Jumuiya yoyote tunayoona inatufaa eti Kenya atupige mkwara kisa tupo EAC
USA na nato wamezipangia nchi ngapi namna ya kuishi? Tena kwa vita, machafuko au mauwaji. Usiseme kwa chuki tuMnavyo muinua huyu #Putin akisoma humu lazima awape uraia wa Urusi #naona #putin anaona raha sana kumwaga damu za watu wasio na hatia
Yani kwenye hii Dunia who is Putin anajikuta anawapangia nchi huru jinsi ya Kuishi huyu jamaa sio binadamu wa kawaida ana roho ya mauaji ndani yake Mungu mwenyewe ambadilishe.
Yani its like Tz leo tukitaka kujiunga Jumuiya yoyote tunayoona inatufaa eti Kenya atupige mkwara kisa tupo EAC
Tulia kijana, hiyo inaitwa collateral damageDuh yaani pro Russia mmefikia stage mishipa yenu ya aibu imekata kabisa,mnaongea upuuzi na utumbo wa hali ya juu hadharani bila aibu. Hayo majumba,mahospital na miundombinu inayopigwa mabomu kila siku wanaishi Kuku na Bata?