kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,574
Mkwara unalipa braza...huoni US amekaa kimya baada ya kupigwa mkwara mzitoSi asubiri azipige tu, kwani lazima apige mkwara kwanza?
Mkwara unalipa braza...huoni US amekaa kimya baada ya kupigwa mkwara mzitoSi asubiri azipige tu, kwani lazima apige mkwara kwanza?
kumbuka kuna chombo cha ukandamizaji cha us na west europe cha the HAGUEPutin mbona anawalea sana waukraine au anaogopa kuacha historia mbaya ndio maana anakwenda mwendo wa tortoise
HUJIELEWI NGEGERE WEWEPutin m$eng3 tu hadi leo hakuna chochote cha maana alichofanya, just imagine hadi leo hii bado tu tupo kwenye hii vita na ukrain
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
marekani na NATO yao ,wameua Sana tu au unajifanya ubongo wako hauna kumbukumbu !? mbona hukumuita marekani muuaji!!??, USA walimuua rais wa Libya ambaye alisisitiza Africa inunue satellite yake ,na wazo la afrika iwe na single currency . marekani hawakuishia hapo wameua Sana tu Syria ,Afghanistan ,vietnam na maeneo mengi. je hapo utamuita marekani malaika sio!!!Mnavyo muinua huyu #Putin akisoma humu lazima awape uraia wa Urusi #naona #putin anaona raha sana kumwaga damu za watu wasio na hatia
Yani kwenye hii Dunia who is Putin anajikuta anawapangia nchi huru jinsi ya Kuishi huyu jamaa sio binadamu wa kawaida ana roho ya mauaji ndani yake Mungu mwenyewe ambadilishe.
Yani its like Tz leo tukitaka kujiunga Jumuiya yoyote tunayoona inatufaa eti Kenya atupige mkwara kisa tupo EAC
Yani Putini akiogope hicho kimahakama cha mwanzo ambacho kimeshindwa kuwakamata akina seif na omary bashirkumbuka kuna chombo cha ukandamizaji cha us na west europe cha the HAGUE
Ndio uwezo wake umeishia hapo.Putin mbona anawalea sana waukraine au anaogopa kuacha historia mbaya ndio maana anakwenda mwendo wa tortoise
Hiyo ni kutokana na wewe.Ndio uwezo wake umeishia hapo.
Sio eti anawalea, vita ni vigumu na amezidiwa hadi ameweka sheria ngumu dhidi ya vyombo vya habari nchini mwake hadi sasa Kyiv anaiona tu kama sisi tunavyoiona na majenerali wanaisha.Putin mbona anawalea sana waukraine au anaogopa kuacha historia mbaya ndio maana anakwenda mwendo wa tortoise
Jifunze kusoma na kuelewa ulichosoma,acha brabra za kitoto,Yaani alisema atakayeisaidia ukrain kuvyovyote ana deal naye, ila sasa hivi wanaoisaidia ukrain wanaita na press kutangaza kupeleka msaada wa kivita. Ila jamaa ana mikwala mizito, mwanzoni watu walinywea ila baada ya kuona mambo yanavyomwendea huko Ukraine naona kila mtu anajishikia sharubu.
Putin hawezi kupeleka ujinga wake Nato na hilo analijua fika.Kwanza alisema yeyote atakaisaidia Ukraine cha moto atakiona,kinyume chake tumeshuhudia misaada ya kijeshi na kifedha ikipelekwa Ukraine hadharani na mpaka sasa hakuna chochote alichokifanya.
Ndio shida yenu watu wa kukariri na ambao hawapendi kusoma. Austria wana bahari....!!! Ungekuwa mahakamani umeshapoteza kesi asubuhi.Hao jamaa ni wapumbavu, marekani ni wachonganishi. Wanataka kuungwa mkono na dunia nzima bila kuwa na hoja ulaya pamoja na kumlaani urusi wanajua ukweli uko wapi.
Wakati urusi anavamia cremea marekani alimshawishi mfaransa asimuuzie mrusi manowari ya kivita ambayo tayari alishapokea pesa, juzijuzi mmarekani kamzunguka mfaransa kwenye dili la kutengeneza manowari austria
bado hawajamgaia tu MKUU?Germany na Neds wanawapa Slovakia Patriot, Slovakia anampa Ukraine hizo 300