Russia to Send S-300 Anti-Missile System to Syria After Il-20 Crash

Endelea kupiga mazoezi ya ngumi kwenye nyumba za ibada ukijipa moyo ya Mrusi kumshambulia Muisrael.Hivi hivyo vipedo mnavyovaa huwa vinawabana akili?
Wewe jamaa akili yako imeishia kwenye mambo ya dini watu hawako huko tena safiri uelimike man wewe ata ukitukana dini ya kiislam au waislam mi nakuona kichaa tu kwakweli ni rahisi sana mtu kukudharau kupitia comments zako
 
Wewe jamaa akili yako imeishia kwenye mambo ya dini watu hawako huko tena safiri uelimike man wewe ata ukitukana dini ya kiislam au waislam mi nakuona kichaa tu kwakweli ni rahisi sana mtu kukudharau kupitia comments zako
Hawa wapuzuuzi kama hawa wapo wengi sana humu jf, mm nashangaa hawakemei ushoga wanakemea waislamu tehhh
 
Endelea kupiga mazoezi ya ngumi kwenye nyumba za ibada ukijipa moyo ya Mrusi kumshambulia Muisrael.Hivi hivyo vipedo mnavyovaa huwa vinawabana akili?
Wewe acha mapepe au hujaelewa mada inayoendelea hapa?
Mada ni Russia kupeleka mitambo ya kuzuia makombora nchini Syria ijulikanayo kama S_300 ili kupunguza kama sio kukomesha kabisa mashambulizi ya israeeli katika jamhuri ya kiarabu ya syria
Sasa wewe unaongelea kuhusu DINI na kujifunza ngumi mbona haviusiani na hii mada mkuu.
 
Ndio wanavyofundiwa hivyo hao mkuu wng
Wewe acha mapepe au hujaelewa mada inayoendelea hapa?
Mada ni Russia kupeleka mitambo ya kuzuia makombora nchini Syria ijulikanayo kama S_300 ili kupunguza kama sio kukomesha kabisa mashambulizi ya israeeli katika jamhuri ya kiarabu ya syria
Sasa wewe unaongelea kuhusu DINI na kujifunza ngumi mbona haviusiani na hii mada mkuu.
 
Hakuna ndege inaweza ganda eti isubiri kombora lipite.
Nope, ndege zilizotumika na F-16 Block D ambazo hazina VTOL technology ,VTOL inaweza inafanya ndege ika take off stratighy na kuland bila kutumia run way, na pia inaweza kustop hewan.

Kwa F-16s hamna yenye uwezo huo. Sema ilifanya evasive manuvers lakin si kuganda hewan maana haiwezi.
Tizama video unaweza wacheka wa russia



‘Criminal negligence’ or disregard to Russia-Israel ties: MoD details chronology of Il-20 downing
 

Attachments

  • 1538595985604.png
    1538595985604.png
    123.6 KB · Views: 21
Russia hata wajifarague na hayo mapipa yao, wakae wakijua kwamba kudunguliwa kwa ndege yao ni ishara ya mfumo wao mbovu wa usalama wa kivita angani.

Urusi walipeleka hapo siria mamitambo yao ya ulinzi wa anga kitambo, na hata wanasingizia eti wa siria ndio wametungua, hakuna wasiria wanaoweza operate hayo mamitambo ni wao wenyewe.

Hizo S300 na S400 ndio zilikuwa mitambo za kwanza kabisa kupelekwa siria na urusi mwaka 2015, zimeshindwa kulinda ndege yao wenyewe sasa wanakimbilia kudanganya eti wanapeleka mitambo kuficha aibu ya ubovu wa ama mamitambo yao au wanajeshi wake.

Pole sana kijana,
jifunze utapata elimu kama hutaki basi.
ila kw akusaidia tu, Russia SAyria anapiga wahasi, so ahaitaji hi tech plane ambazo ni low cost kufanya shughuli zake, ndio maana Turkey aliweza kudungua ile na pia waasi washawhai kudungua nyingien ya syria.
 
Hakuna ndege inaweza ganda eti isubiri kombora lipite.
Nope, ndege zilizotumika na F-16 Block D ambazo hazina VTOL technology ,VTOL inaweza inafanya ndege ika take off stratighy na kuland bila kutumia run way, na pia inaweza kustop hewan.

Kwa F-16s hamna yenye uwezo huo. Sema ilifanya evasive manuvers lakin si kuganda hewan maana haiwezi.

naqomba mkasome tena alicho zungumzia minister of defense, akusema Ndege imeganda, ila ndege ya isarael ilipita usawa wa ndege ya reussia , na wakati huo ilikuw ainashambuliw ana s200 missiles amabzo zian weakenes ya lkushambulkia kitu kikubwa au chenze area surface kubwa, kwahiyo kwa israel kupita usawa wa ndege ya russsia s200 ikafuata ndege ya russia maana ndio yenye surface area kubwa.


NA NDIO MAANA KUEPUSHA HAYA SASA, WANAWAPA SYRIA MISSLE S300 ZENYE AKILI ZAIDI NA TECHNOLOGIA TOFAUTI NA ZITAWEZA KUTAMBUA ENEMY PLANE OBJECTS AND FRIENDLLY OBJECTS.
 
Urusi ni taifa oga sana hamna kuepuka vita ya tatu hata ni uoga tu .
Maneno mengi vitendo zero juzijuzi apa walikuja na mkwara Eti tutaikomboa idlib lazima tuikomboe ,USA akawatishia tu mkitumia silaha za sumu tutamtandika mr.assad basi Russia akafyata mkia mara Putin akakutana na erdogani akatangaza eti tumesimamisha mashambulizi idlib.

UR NOT INFORMED na hata unachokielezea hakipo sahihi.
 
Hapana. Ila kale kamchezo mapadri wanakowafanyia ndio kanawafanya muipende Israel
Mapadre walifundishwa na yule bwana aliyeoa katoto ka miaka sita mkuu.Sipati picha kama angeishi Tanzania hii miaka hii.Si angekula miaka thelathini ya ubakaji mkuu?
 
naqomba mkasome tena alicho zungumzia minister of defense, akusema Ndege imeganda, ila ndege ya isarael ilipita usawa wa ndege ya reussia , na wakati huo ilikuw ainashambuliw ana s200 missiles amabzo zian weakenes ya lkushambulkia kitu kikubwa au chenze area surface kubwa, kwahiyo kwa israel kupita usawa wa ndege ya russsia s200 ikafuata ndege ya russia maana ndio yenye surface area kubwa.


NA NDIO MAANA KUEPUSHA HAYA SASA, WANAWAPA SYRIA MISSLE S300 ZENYE AKILI ZAIDI NA TECHNOLOGIA TOFAUTI NA ZITAWEZA KUTAMBUA ENEMY PLANE OBJECTS AND FRIENDLLY OBJECTS.
Russia walipeleka S300 baada ya turkey kudungua ndege yao, ilikuwa wapi siku hiyo?
 
@volatility,kwani hujui kuwa Russia ndo alikuwa akiruhusu israel kushambulia?,it means S-300 na 400 zote zilikuwa zimesstand down,undefinedna hawakuota kuwa Assad atatungua ndege yao.undefinedKwasasa israel akishambulia anafanya bila usaidizi wa Russia,ndo maana sasa umeona kimya,bado wanakuna vichwa jinsi ya kuingia syria
 
Russia's heavy investment in an array of electronic warfare systems has
@volatility,kwani hujui kuwa Russia ndo alikuwa akiruhusu israel kushambulia?,it means S-300 na 400 zote zilikuwa zimesstand down,undefinedna hawakuota kuwa Assad atatungua ndege yao.undefinedKwasasa israel akishambulia anafanya bila usaidizi wa Russia,ndo maana sasa umeona kimya,bado wanakuna vichwa jinsi ya kuingia syria
stoked fears that in the event of war, Western equipment such as radars, radios, GPS and missile guidance systems could be jammed and rendered useless.

Long-range radar isn't exactly a new phenomenon: U.S. ballistic missile defense radar like the BMEWS system has a range of three thousand miles, while an AWACS airborne early warning aircraft can spot aircraft flying four hundred miles away.

But long-range detection and jamming systems in Syria are particularly interesting, given that U.S. airstrikes in Iraq and Syria have been conducted by aircraft based in Italy and Turkey, while Saudi Arabia has been supporting rebels battling the Syrian government and its Russian and Iranian allies. Russia seems to be saying that it can monitor—and perhaps jam—Western, Saudi and Israeli aircraft even on their airfields.
 
The S-300 delivery to Syria is a threat to Israel and Russia
undefinedgulfstream 550 SIGINT ,ya israel airforce ikiambaa ambaa karibu na anga la lebanon,umbali wa kilomita 80 kkutoka latakia leo mchana katika juhudi za kutafuta weakness ya S-300undefined
DpOqfbWWwAAiVeG.jpg:small
,undefinedundefinedhuku msapenguy akila mitaa na mtoto Asma al assadundefinedundefined
Do8ARiMX4AI5W5Z.jpg:small
 
Back
Top Bottom