Russia considering arming Syria with advanced surface-to-air missiles

Russia considering arming Syria with advanced surface-to-air missiles

Natamani mrusi muiran na Syria nao wajibu mapigo tumalize ubishi humu maana tushachoka na mikwara
 
Natamani mrusi muiran na Syria nao wajibu mapigo tumalize ubishi humu maana tushachoka na mikwara
Hata wao wangependa kama wewe hivyo ila kumbuka, "Great Decisions Always Require Great Sacrifices". Sio mchezo mchezo.
 
Natamani mrusi muiran na Syria nao wajibu mapigo tumalize ubishi humu maana tushachoka na mikwara
Hata wao wangependa kama wewe hivyo ila kumbuka, "Great Decisions Always Require Great Sacrifices". Sio mchezo mchezo.
 
Puttin msanii,sio wa kumwamin sana maneno yake,ndomana hao jamaaa wameliamsha.
Pole sana mkuu Putin ana akili sana kuliko unavyofikiri hilo limedhibitishwa Na wenyewe hao makahaba wa Uhuru wa watu wa dunia marekani Na vibaraka wake.....ngoja wachunguzi waseme hakuna silaha yoyote ya kemikali waliyotumia wasyria....
 
Angalia hiyo newest advanced system . Acha kukurupuka, Israel ni kiboko kama hujui
Kiboko ya nini?
Halafu nyie watu acheni utani,
Wewe na baba yako nani mwenye ujuzi mkubwa?
 
Back
Top Bottom