Rushwa Yazidi Kuitesa Kenya-Jaji Achota $m 2

Rushwa Yazidi Kuitesa Kenya-Jaji Achota $m 2

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,268
Serikali ya Kenya chini ya Uhuru Kenya imeendelea kutikiswa na ufisadi wa kutisha baada ya kubainika Jaji wa Mahakama Kuu Philip Tunoi Amejichotea dola milioni mbili sawa na shilingi bilioni mbili zaKenya kutka kwa Gavana Evans Kidero wa Nairobi mnamo mwaka 2014 ili ashinde kesi ya uchaguzi

kadhia ya rushwa si tu inaiweka rehani serikali ya nchi hiyo chini ya Utawala wa Uhuru Kenyatta bali pia imehafifsha uadilifu wa mahakama za nchi hiyo

Source
The East Africa at page 10-11
 
duh umegonga ikulu ila inahafifisha maisha ya walio wengi nchini humo huku wachache wakiendelea kuneemeka
Yaani mkuu rushwa na ufisadi imekuwa ni sehemu ya DNA yetu kiasi kwamba mtumishi akiwa muadirifu watumishi wenzie wanamshangaaa......
Mwizi na fisadi wanachukuliwa kama mashujaa kwenye jamii ya wabanjilifu na wanyanganyi....wizi unaanzia ngazi ya familia mpaka taifa kwa ujumla.....

Ili kupata maendeleo ya kweli na jamii iliyojengeka kwenye misingi ya maadili na kujituma bila shaka tinatakiwa tuchukue hatua ili kukomesha huu ufisadi na rushwa...
 
Yaani mkuu rushwa na ufisadi imekuwa ni sehemu ya DNA yetu kiasi kwamba mtumishi akiwa muadirifu watumishi wenzie wanamshangaaa......
Mwizi na fisadi wanachukuliwa kama mashujaa kwenye jamii ya wabanjilifu na wanyanganyi....wizi unaanzia ngazi ya familia mpaka taifa kwa ujumla.....

Ili kupata maendeleo ya kweli na jamii iliyojengeka kwenye misingi ya maadili na kujituma bila shaka tinatakiwa tuchukue hatua ili kukomesha huu ufisadi na rushwa...
hata wateja akihudumiwa bila kuombwa rushwa anashangaa, na mara anajikuta anatoa tu na kusema ni asante hiyo
 
hata wateja akihudumiwa bila kuombwa rushwa anashangaa, na mara anajikuta anatoa tu na kusema ni asante hiyo
Kwelli mkuu tuendapo ni kubaya hasa kama hazitachukuliwa hatua stahiki za haraka...
 
Back
Top Bottom