by Joseph Peterhii siasa wanayo icheza CCM ya Leo ni ya ajabu sana. Maana itakumbukwa kwenye Kikao cha kamati ya siasa ya Mkoa wa Arusha cha kujadili wagombea ubunge wa Arumeru Mashariki, wajumbe wa Kikao walimwomba RC wa Arusha awapelekee nyaraka mbalimbali kuhusu ufafanuzi wa masuala ya rushwa na uraia wa Sioi na hii ni kwa Kuwa kwa mujibu wa taratibu za ccm RC ni mjumbe wa kamati ya siasa ya Mkoa.
Lakini cha kushangaza Mara tu baada ya RC kukabidhi nyaraka hizo tukashusahudia kuvuja kwa nyaraka hizo kwa kasi ya ajabu. Tukajiuliza kulikoni mwenyekiti wa ccm Mkoa wa arusha ndugu Onesmo Nangole ang,ang,anie kuonyeshwa nyaraka hizo? Kumbe yeye na kijana wake mtumwa wa mafisadi James Millya walikuwa na Lao jambo. Walipanga kuvujisha ili ionekane Kuwa Sioi anaonewa na aweze kipata huruma ya wana Arumeru Mashariki. Huu ni upuuzi mtupu. Lazima wajue Kuwa wana Arumeru Mashariki hawadanganyiki.
Hivyo kuna taarifa kwamba Kuwa Onesmo Nangole na James Millya watahojiwa kwa kuvujisha Siri za vikao vya CCM.
Hata hivyo huko ni kutapa tapa kwa CCM maana Chadema hawahitaji kupewa nyaraka maana hao kina Millya na Nangole ni wazembe hawajui kutunza nyaraka na aliyezichukua hata wao hawakutegemea ndio maana wanatapatapa kutafuta mchawi wakati aliyeziiba nyaraka ni mtu wa karibu sana na mzee wa Monduli lakini ni mtu wa Chadema sana anawachota akili kila siku bila wao kujua. wakija kugundua watalia sana. Jamaa alichukua akatoa photocopy na kuzirudisha.
Rufaa iliyokatwa na chadema kuhusu utata wa uraia wa sioi sumari mgombea wa ccm umeleta mkanganyiko mkubwa kwa viongozi wa ccm.
Inasemekana kwenye vikao nape alionya sana kuwa utata wa uraia wa sioi unaweza kuwaingiza matatani. Idara ua uhamiaji ilishakiri kwa barua kuwa sioi hakuwahi popote kukana uraia wa kenya na mbaya zaidi inasemekana pia kuwa hati mbili za kusafiria zenye kuonyesha uraia wa nchi mbili tofauti.
Mpaka usiku huu mkurugenzi na wanasheria wa serikali walikuwa kwenye kikao kuhusiana na suala hilo. Hata hivyo inasemekana kuna uwezekano mkubwa sioi akatolewa kwenye kugombea kwa sababu kinyume na hapo ni kuamsha balaa kubwa.
IGP saidi mwema inasemekana usiku huu amefika usa river kwa ajili ya suala hili
Siyo rufaa, bali ni PINGAMIZI. Iwapo Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo [Bwana Kagenzi] atalitupa, ndipo Nasari anaweza kukata Rufaa kwa Tume ya Uchaguzi Makao Makuu Dar es Salaam na hiyo ndio itaitwa ni Rufaa.
Swala la Uraia halimhusu IGP Said Mwema, kama kweli ameenda hapo ni kwamba anaingilia kazi za Idara ambazo sio za kwake. Maswala ya Uraia yanahusu Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Uhamiaji ambaye yuko chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Kama CHADEMA wana barua ya kutoka ofisi ya Uhamiaji mkoani Arusha, basi hapo kuna utata mkubwa. Kwa kuwa kuna baadhi ya wana CCM hawakutaka Siyoi apite, watahujumiana wao kwa wao na huo ndo utakuwa mwisho wa mchezo.
Hii ni shida nyingine ya kugangamalia jambo bila kufikiria madhara yake. Si kila saa Nape ni Mropokaji wakati mwingine huwa mkweli asilimia mia moja. Oneni sasa.
Mwanzoni nilidhani ni mizengwe ya ccm jama alivokatwa Bashe kumbe pana weza kuwa madai ya mashiko.
Siyo rufaa, bali ni PINGAMIZI. Iwapo Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo [Bwana Kagenzi] atalitupa, ndipo Nasari anaweza kukata Rufaa kwa Tume ya Uchaguzi Makao Makuu Dar es Salaam na hiyo ndio itaitwa ni Rufaa.
Swala la Uraia halimhusu IGP Said Mwema, kama kweli ameenda hapo ni kwamba anaingilia kazi za Idara ambazo sio za kwake. Maswala ya Uraia yanahusu Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Uhamiaji ambaye yuko chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Kama CHADEMA wana barua ya kutoka ofisi ya Uhamiaji mkoani Arusha, basi hapo kuna utata mkubwa. Kwa kuwa kuna baadhi ya wana CCM hawakutaka Siyoi apite, watahujumiana wao kwa wao na huo ndo utakuwa mwisho wa mchezo.
mkuu umefika salama? saa ngapi ufunguzi wa kampeni?Mwigulu njoo kanusha hukupeleka wewe barua hahaahahahah
rufaa iliyokatwa na chadema kuhusu utata wa uraia wa sioi sumari mgombea wa ccm umeleta mkanganyiko mkubwa kwa viongozi wa ccm.
Inasemekana kwenye vikao nape alionya sana kuwa utata wa uraia wa sioi unaweza kuwaingiza matatani. Idara ua uhamiaji ilishakiri kwa barua kuwa sioi hakuwahi popote kukana uraia wa kenya na mbaya zaidi inasemekana pia kuwa hati mbili za kusafiria zenye kuonyesha uraia wa nchi mbili tofauti.
Mpaka usiku huu mkurugenzi na wanasheria wa serikali walikuwa kwenye kikao kuhusiana na suala hilo. Hata hivyo inasemekana kuna uwezekano mkubwa sioi akatolewa kwenye kugombea kwa sababu kinyume na hapo ni kuamsha balaa kubwa.
Igp saidi mwema inasemekana usiku huu amefika usa river kwa ajili ya suala hili
CCM mercenary politician:
rage
kinana
rostam
and bunch of them are there...