Rushwa live bila chenga

robert deusi

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2014
Posts
399
Reaction score
69
Nikiwa kwenye daladala iendayo Dege ghafla tunasimamishwa na trafiki hapa maeneo ya mikadi cha ajabu dereva akashuka ili amfuate trafiki.

Nikashangaa kumuona konda anatoa 3000 za kumpa trafiki sasa nnachojiuliza hivi rushwa imeruhusiwa nchini?
 
Hela ya supu hiyo isikuumize kichwa.
 
Acha uchochezi, wewe umejuaje ni rushwa? Kama jamaa alikuwa analipa deni je? Au hizo buku tatu zilikuwa na nembo ya rushwa?
 
trafki Wanakung'uta Pesa
Elfu 3 Ngapi Zinaingizwa Hapo?
Ahsante Jigo
 
Mkuu lazima utakuwa na makengeza hiyo siyo rushwa ni TAKRIMA...................
 
Nchi hii escrow inaanzia Ikulu hadi kwenye mtaa.Tofauti ni viwango tu!
 
Nikiwa kwenye daladala iendayo Dege ghafla tunasimamishwa na trafiki hapa maeneo ya mikadi cha ajabu dereva akashuka ili amfuate trafiki.

Nikashangaa kumuona konda anatoa 3000 za kumpa trafiki sasa nnachojiuliza hivi rushwa imeruhusiwa nchini?

Mkuu hela ya wakubwa hiyo! Akienda mikono mitupu atahamishwa kitengo huyo! Hebu piga hesabu kana hiyo route ina daladala 50?! Mara 3000 si laki na hamsini hiyo? Sasa 150,000 * njia 50 = 7.5m x siku 20 = 150m Wewe!!!! Na haya ni maksio ya chini sana!!
 
Ushatoka ikulu?ukishuka kwnye daladala tupe mpya nyingine naona leo upo kikaz zaid!!
 
mbona hiyo kawaida tu....rushwa haiwezi isha kwa kufatilia rushwa za chini....angalieni na hao wanao chukua mabilions ya helaaaa nao
 
system ya nchi nzima imefeli acha tu hao trafics wachukue rushwa tuuuuu.
kuna vigogo wans kula bilions hawafanywi kitu
 
Wacha wapokee rushwa tu, kama vigogo wanakwapua pesa BOT itakuwa traffic barabarani. Hongera Mr Traffic endeleza libeneke mpaka upate kitambi mbinuko.
 
Nikiwa kwenye daladala iendayo Dege ghafla tunasimamishwa na trafiki hapa maeneo ya mikadi cha ajabu dereva akashuka ili amfuate trafiki.

Nikashangaa kumuona konda anatoa 3000 za kumpa trafiki sasa nnachojiuliza hivi rushwa imeruhusiwa nchini?

Imeruhusiwa pale BoT

Wafanyakazi wengi kama sio wote ni watoto au wana nasaba na vigogo
 
Nikiwa kwenye daladala iendayo Dege ghafla tunasimamishwa na trafiki hapa maeneo ya mikadi cha ajabu dereva akashuka ili amfuate trafiki.

Nikashangaa kumuona konda anatoa 3000 za kumpa trafiki sasa nnachojiuliza hivi rushwa imeruhusiwa nchini?

Unashangaa ya elfu tatu wakati kigogo wa ikulu kapiga bilion 2? Hebu tenda haki bwana, huyo polisi nae ni binadam ati. Kama rushwa ni marufuku iwe kwa wote na kama ni halali iwe kwa wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…