robert deusi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2014
- 399
- 69
Hela ya supu hiyo isikuumize kichwa
Nikiwa kwenye daladala iendayo Dege ghafla tunasimamishwa na trafiki hapa maeneo ya mikadi cha ajabu dereva akashuka ili amfuate trafiki.
Nikashangaa kumuona konda anatoa 3000 za kumpa trafiki sasa nnachojiuliza hivi rushwa imeruhusiwa nchini?
tungeanza na ESCROW huku kungetengemaa
Nikiwa kwenye daladala iendayo Dege ghafla tunasimamishwa na trafiki hapa maeneo ya mikadi cha ajabu dereva akashuka ili amfuate trafiki.
Nikashangaa kumuona konda anatoa 3000 za kumpa trafiki sasa nnachojiuliza hivi rushwa imeruhusiwa nchini?
Nikiwa kwenye daladala iendayo Dege ghafla tunasimamishwa na trafiki hapa maeneo ya mikadi cha ajabu dereva akashuka ili amfuate trafiki.
Nikashangaa kumuona konda anatoa 3000 za kumpa trafiki sasa nnachojiuliza hivi rushwa imeruhusiwa nchini?