Mkuu hela ya wakubwa hiyo! Akienda mikono mitupu atahamishwa kitengo huyo! Hebu piga hesabu kana hiyo route ina daladala 50?! Mara 3000 si laki na hamsini hiyo? Sasa 150,000 * njia 50 = 7.5m x siku 20 = 150m Wewe!!!! Na haya ni maksio ya chini sana!!
Unashangaa ya elfu tatu wakati kigogo wa ikulu kapiga bilion 2? Hebu tenda haki bwana, huyo polisi nae ni binadam ati. Kama rushwa ni marufuku iwe kwa wote na kama ni halali iwe kwa wote.