johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,048
- 142,160
Je, ni kweli Chadema inatumiwa na kundi fulani linalotaka uRais wa JMT kule CCM?
Mzee Wassira kwa sasa ndiye Mwanasiasa mkongwe aliyebaki Kwenye Uongozi wa CCM maneno yake lazima kayafanyia Utafiti wa kutosha
Je, hatuwaoni Baadhi ya viongozi wa Chadema Kwenye mikusanyiko ya Wasaka uRais wa CCM iwe Makanisani au Mpirani?
Basi msisahau, Rushwa hupofusha macho.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Mzee Wassira kwa sasa ndiye Mwanasiasa mkongwe aliyebaki Kwenye Uongozi wa CCM maneno yake lazima kayafanyia Utafiti wa kutosha
Je, hatuwaoni Baadhi ya viongozi wa Chadema Kwenye mikusanyiko ya Wasaka uRais wa CCM iwe Makanisani au Mpirani?
Basi msisahau, Rushwa hupofusha macho.
Nawatakia Dominica yenye baraka!