Rushwa (hongo) ina faida gani?

Rushwa (hongo) ina faida gani?

Mkuu una umri gani?

Pia una kazi gani?

Hahahaha!!!!

Mkuu

Ulishawahi kufanya biashara au mishe zinazohusisha leseni na vibali vingi?

Sikia rushwa haombi mtu Ila wewe mwenyewe utatoa kunusuru mision zako.

Ukiona mtu anakuomba rushwa jua huyo hajui anachokifanya au ana tamaa tu.

Nilishawahi kujenga fence ya nyumba ya mtu ili tu kunusuru mishe zangu.tena najenga fence hiyo bila kuombwa na Mimi Sina hata kibanda
Huyo mdau bado mdogo sana, yaani unakuta wewe ndiye unaomba kutoa rushwa, na jamaa anaweza kukataa kupokea hiyo rushwa kama dau ni dogo. Haahahh eti rushwa ina faida gani, sema tu ni adui wa haki baaassii
 
Hujaingia kwenye 18 wew,
Nadhani hatuelewani..., Kutoa kwangu Rushwa au Hongo haimaanishi ilo jambo ni zuri au lina faida long term sababu tu nimetoa...

Kununua kwangu haki kunaweza kuwa na faida kwa wakati huo ila sababu haki inauzwa kesho atauziwa mwingine ili kunizibia mimi mwenye haki (faida zaidi ingekuwa kama haki haiuzwi)

Kwahio long term rushwa / hongo hazina faida..., sababu unalipia kitu ambacho sio haki yako / kinamuumiza mwingine au unalipia kitu ambacho kingefaa kutolewa bure...

Nadhani mjadala mgumu zaidi ni tunatenganisha vipi rushwa / hongo na asante ? (ingawa nadhani hakuna asante ya kabla ya kazi) ila mtu anaweza kutengeneza mazingira ya sababu hakupewa asante kwa kazi ya jana basi leo sikufanyii kazi (asante ya lazima)
 
Umeenda kwenye usaili wa kazi, umefaulu kupata kazi. Bosi anataka akalale nawe. Kilainishi gani hiki, na kinarahisisha vyuma gani visigusane?
Vyuma gani tena? Hilo siyo swali mkuu
 
Nadhani hatuelewani..., Kutoa kwangu Rushwa au Hongo haimaanishi ilo jambo ni zuri au lina faida long term sababu tu nimetoa...

Kununua kwangu haki kunaweza kuwa na faida kwa wakati huo ila sababu haki inauzwa kesho atauziwa mwingine ili kunizibia mimi mwenye haki (faida zaidi ingekuwa kama haki haiuzwi)

Kwahio long term rushwa / hongo hazina faida..., sababu unalipia kitu ambacho sio haki yako / kinamuumiza mwingine au unalipia kitu ambacho kingefaa kutolewa bure...

Nadhani mjadala mgumu zaidi ni tunatenganisha vipi rushwa / hongo na asante ? (ingawa nadhani hakuna asante ya kabla ya kazi) ila mtu anaweza kutengeneza mazingira ya sababu hakupewa asante kwa kazi ya jana basi leo sikufanyii kazi (asante ya lazima)
Mkuu uko sahihi, lakini nkupe mfano mdogo tu, serikali inataka kukufunga kwa sababu ulikutwa unakunywa gongo(pombe haramu), ukampa Hakimu rushwa na ukaachiwa, je hapo umenunua haki ya nani? Je hapo rushwa ina faida au haina faida kwa upande wako? Achana na habari za kuwa kumbe Hakimu ananunulika kuwa kuna siku atauza haki yako pia.
 
Umeenda kwenye usaili wa kazi, umefaulu kupata kazi. Bosi anataka akalale nawe. Kilainishi gani hiki, na kinarahisisha vyuma gani visigusane?
Hahahahahahahaha bhana me nimecheka reply yako mzeee
 
Mkuu uko sahihi, lakini nkupe mfano mdogo tu, serikali inataka kukufunga kwa sababu ulikutwa unakunywa gongo(pombe haramu), ukampa Hakimu rushwa na ukaachiwa,
Nadhani hapo tatizo zaidi ni sheria yenyewe (sheria huenda isiwe ya haki au excessive) ni kama useme kipindi kile Hitler anaua Jews mtu kuwapa pesa Nazis ili wasiuliwe... (hapo mnunua maisha yake huenda asiwe na kosa katika natural justice; sababu hata man made laws huenda zikawa na makosa)..., ila hapo huyo Hakimu atakuwa na Kosa either kwa kujinufaisha au kutokukuachia hata bila kumpa pesa (sababu anaona naturally anakuonea) au Kutokufight sheria ibadilishwe ili badala ya wewe kufungwa ulimwe fine....

ila siwezi kulisema sana hili sababu huenda hadi nchi husika kupelekea mtu kufungwa kwa kunywa gongo ni kutokana na matatizo ya ulevi uliokithiri katika eneo lenu hence kutumia hiki kifungo kama determent ya wengine kuacha ulevi..., hence kufanya kwake hivi ni kupelekea watu waendelee na ulevi
je hapo umenunua haki ya nani?
Kuhusu umenunua haki ya nani kama ni issue ya gongo na wewe ndio umemshawishi Hakimu basi huenda umehusika kumuweka kwenye kishawishi mtenda haki..., ila kama ni case ya wewe kuuliwa na Nazis Wewe sioni kosa lako kujiokoa kwenye Sheria Kandamizi ila huyo Nazi alikuwa ni mbaya either way kwa intimidation au kwa kutaka kuondoa maisha yako
Je hapo rushwa ina faida au haina faida kwa upande wako? Achana na habari za kuwa kumbe Hakimu ananunulika kuwa kuna siku atauza haki yako pia.
Kuita RUSHWA / HONGO kitendo cha kuepuka sheria kandamizi (mfano wa hapo juu Nazi's au Utumwa) ili wewe uendelee kuishi..., nadhani ni kukosea..., technically hio sio Rushwa bali unyanganyi wa wa hao Nazi au hao wanaofanya wenzao watumwa...

Tukitumia definition yako ni sawa kusema binti anataka kubakwa basi anatoa pesa ili asibakwe useme ametoa rushwa.... I think this is stretching the definitions to say the least....
 
Nadhani hatuelewani..., Kutoa kwangu Rushwa au Hongo haimaanishi ilo jambo ni zuri au lina faida long term sababu tu nimetoa...

Kununua kwangu haki kunaweza kuwa na faida kwa wakati huo ila sababu haki inauzwa kesho atauziwa mwingine ili kunizibia mimi mwenye haki (faida zaidi ingekuwa kama haki haiuzwi)

Kwahio long term rushwa / hongo hazina faida..., sababu unalipia kitu ambacho sio haki yako / kinamuumiza mwingine au unalipia kitu ambacho kingefaa kutolewa bure...

Nadhani mjadala mgumu zaidi ni tunatenganisha vipi rushwa / hongo na asante ? (ingawa nadhani hakuna asante ya kabla ya kazi) ila mtu anaweza kutengeneza mazingira ya sababu hakupewa asante kwa kazi ya jana basi leo sikufanyii kazi (asante ya lazima)
Asante hauwezi kuiweka kwenye hongo it's just humanity ndomana... Asante na shukrani ni maneno yanayotumika kanisani kwa sana
 
Asante hauwezi kuiweka kwenye hongo it's just humanity ndomana... Asante na shukrani ni maneno yanayotumika kanisani kwa sana
Vipi ukitoa asante kabla ya kazi ?, Au kukufanyia favor kwa sababu ya asante uliyoitoa kabla ya mimi kufanya hii kazi (yaani ka-utaratibu ketu ka kila ukimaliza kazi yangu (kupewa tender) mimi natoa ka-asante)
 
BHAAAANAA EEEH ME NILIPOST ILI NIJUE UKWELI ULIOPO NIMEAMINI RUSHWA IPO KWA 99.4% SO TAMBUA KUNA MTU HAWEZI KUPATA HAKI YAKE BILA KUTOA HONGO NDOMANA KUNA RUSHWA INASABABISHWA NA SISI NA WAO PIA. ILA UKIONA UMEFIKIA HATUA UMETOA RUSHWA BASI JUA KUNA KITU KWAKO HAKIJAJITOSHELEZA KWAHIYO... TUACHE IKAE HIVYO HIVYO please wait it loading.............
Screenshot_20220204-132530_1643970351827.jpg
 
Ofcourse atatoa / utatoa ila utoaji huo ni faida ya nani, zaidi yako wewe muharifu.

Sababu kesho yule aliyekwambia utoe ili utoke utafanyiwa kosa au ndugu yako kufanyiwa kosa ila sababu atakuwa na dau kubwa kuliko wewe na yeye ataachiwa.

Kuachiwa kwako wewe muharifu (sio haki), ni kupindisha haki..., na huenda mimi muuaji nitaendelea kufanya uharifu nikijua kwamba nitatoa pesa na kutoka, vilevile credibility ya justice inakuwa haipo tena.

In short Rushwa haina faida yoyote ile
Ni kweli, inaleta uharibifu katika jamii
 
Back
Top Bottom