Rushwa (hongo) ina faida gani?

Rushwa (hongo) ina faida gani?

Msauzijoseph

Member
Joined
Feb 2, 2022
Posts
40
Reaction score
25
WanaJF mimi nataka nijue hivi rushwa huwa ina faida gani? Katika tathmini kubwa ya maisha imekuwa kila mahali? Na je pale Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa inapomkuta mtoa hongo na mpokea hongo wote huchukuliwa hatua gani na kama adhabu zitaenda kwa haki?

Siku moja nilikuwa nina mazungumzo na mdada mmoja alikuwa anatafuta kazi,akaitwa afanye interview,baada ya hapo alifaulu kwa alama nzuri lakini baada ya interview.

Yule mwajiri akamuomba tunda(atoke nae kingono) lakini lile suala lilimuumiza yule dada, sikujuaga kilichoendelea lakini yule dada alipata kazi akaajiliwa kwenye ile kampuni.

Pia hivyo hivyo kuna mwingine alikuwa anaenda kufanya kazi lakini kabla ya kwenda kuanza majukumu ya kazi akakutana na boss kwanza na nilimpeleka mwenyewe mpka lounge na alikuwa amenona.
 
Rushwa ni adui wa haki!
Hivi mfano umefanya kosa, umekamatwa.


Na kosa hilo unajua kabisa fika ukienda mbele huchomoki utachezea mvua.


Aliyekukamata anakuambia umtoe yaishe.


Wewe utatoa au ?


Ova
 
Rushwa ni kama kilainishi kinacho rahisisha vyuma visisuguane. Rushwa inapunguza usumbufu na pia urasimu.
 
WanaJF mimi nataka nijue hivi rushwa huwa ina faida gani? Katika tathmini kubwa ya maisha imekuwa kila mahali? na je pale Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa inapomkuta mtoa hongo na mpokea hongo wote huchukuliwa hatua gani na kama adhabu zitaenda kwa haki?

Siku moja nilikuwa nina mazungumzo na mdada mmoja alikuwa anatafuta kazi,akaitwa afanye interview,baada ya hapo alifaulu kwa alama nzuri lakini baada ya interview.

Yule mwajiri akamuomba tunda(atoke nae kingono) lakini lile suala lilimuumiza yule dada, sikujuaga kilichoendelea lakini yule dada alipata kazi akaajiliwa kwenye ile kampuni.

Pia hivyo hivyo kuna mwingine alikuwa anaenda kufanya kazi lakini kabla ya kwenda kuanza majukumu ya kazi akakutana na boss kwanza na nilimpeleka mwenyewe mpka lounge na alikuwa amenona.
Au ndo tuache ikae hivyo hivyo???
 
Sasa kwa kupitia hizo scenario mbili bado ukajua tu umhimu wake?

Na haitokuja kuisha kirahis maana tumeisha itamadunisha
 
Hivi mfano umefanya kosa, umekamatwa.


Na kosa hilo unajua kabisa fika ukienda mbele huchomoki utachezea mvua.


Aliyekukamata anakuambia umtoe yaishe.


Wewe utatoa au ?


Ova
Sasa kana umeua mtu, utatoaje rushwa utoke?
 
Hivi mfano umefanya kosa, umekamatwa.


Na kosa hilo unajua kabisa fika ukienda mbele huchomoki utachezea mvua.


Aliyekukamata anakuambia umtoe yaishe.


Wewe utatoa au ?


Ova
Ofcourse atatoa / utatoa ila utoaji huo ni faida ya nani, zaidi yako wewe muharifu.

Sababu kesho yule aliyekwambia utoe ili utoke utafanyiwa kosa au ndugu yako kufanyiwa kosa ila sababu atakuwa na dau kubwa kuliko wewe na yeye ataachiwa.

Kuachiwa kwako wewe muharifu (sio haki), ni kupindisha haki..., na huenda mimi muuaji nitaendelea kufanya uharifu nikijua kwamba nitatoa pesa na kutoka, vilevile credibility ya justice inakuwa haipo tena.

In short Rushwa haina faida yoyote ile
 
Ofcourse atatoa / utatoa ila utoaji huo ni faida ya nani, zaidi yako wewe muharifu....

Sababu kesho yule aliyekwambia utoe ili utoke utafanyiwa kosa au ndugu yako kufanyiwa kosa ila sababu atakuwa na dau kubwa kuliko wewe na yeye ataachiwa...

Kuachiwa kwako wewe muharifu (sio haki), ni kupindisha haki..., na huenda mimi muuaji nitaendelea kufanya uharifu nikijua kwamba nitatoa pesa na kutoka, vilevile credibility ya justice inakuwa haipo tena...

In short Rushwa haina faida yoyote ile
Rushwa ipo na itaendelea kuwepo,
Tunaishi nayo

Ova
 
Sasa kana umeua mtu, utatoaje rushwa utoke?
Hivi yule mmiliki wa kampuni ile ya usafirishaji mizigo alimpiga mfanyakaz wake risasi hadi akapoteza maisha,alichomokaje?

Rushwa ipo na itaendelea kuwepo
Sahv yenyewe tuko humu jf kuna watu wanapokea na kutoa rushwa muda huu

Dunia uwanja wa fujo

Ova
 
Mkuu una umri gani?

Pia una kazi gani?

Hahahaha!!!!

Mkuu

Ulishawahi kufanya biashara au mishe zinazohusisha leseni na vibali vingi?

Sikia rushwa haombi mtu Ila wewe mwenyewe utatoa kunusuru mision zako.

Ukiona mtu anakuomba rushwa jua huyo hajui anachokifanya au ana tamaa tu.

Nilishawahi kujenga fence ya nyumba ya mtu ili tu kunusuru mishe zangu.tena najenga fence hiyo bila kuombwa na Mimi Sina hata kibanda
 
Hivi yule mmiliki wa kampuni ile ya usafirishaji mizigo alimpiga mfanyakaz wake risasi hadi akapoteza maisha,alichomokaje?

Rushwa ipo na itaendelea kuwepo
Sahv yenyewe tuko humu jf kuna watu wanapokea na kutoa rushwa muda huu

Dunia uwanja wa fujo

Ova
Sifahamu juu ya tukio hilo, lakini mtoa rushwa na mpokeaji wote wana mikono ya damu.
 
Sasa kwa kupitia hizo scenario mbili bado ukajua tu umhimu wake?

Na haitokuja kuisha kirahis maana tumeisha itamadunisha
Haiwezi isha milele na milele, labda kupungua tu au kuwa siri zaidi. Yesu mwenyewe alisalitiwa kwa sababu ya rushwaa
 
Ofcourse atatoa / utatoa ila utoaji huo ni faida ya nani, zaidi yako wewe muharifu....

Sababu kesho yule aliyekwambia utoe ili utoke utafanyiwa kosa au ndugu yako kufanyiwa kosa ila sababu atakuwa na dau kubwa kuliko wewe na yeye ataachiwa...

Kuachiwa kwako wewe muharifu (sio haki), ni kupindisha haki..., na huenda mimi muuaji nitaendelea kufanya uharifu nikijua kwamba nitatoa pesa na kutoka, vilevile credibility ya justice inakuwa haipo tena...

In short Rushwa haina faida yoyote ile
Hujaingia kwenye 18 wew,
 
WanaJF mimi nataka nijue hivi rushwa huwa ina faida gani? Katika tathmini kubwa ya maisha imekuwa kila mahali? na je pale Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa inapomkuta mtoa hongo na mpokea hongo wote huchukuliwa hatua gani na kama adhabu zitaenda kwa haki?

Siku moja nilikuwa nina mazungumzo na mdada mmoja alikuwa anatafuta kazi,akaitwa afanye interview,baada ya hapo alifaulu kwa alama nzuri lakini baada ya interview.

Yule mwajiri akamuomba tunda(atoke nae kingono) lakini lile suala lilimuumiza yule dada, sikujuaga kilichoendelea lakini yule dada alipata kazi akaajiliwa kwenye ile kampuni.

Pia hivyo hivyo kuna mwingine alikuwa anaenda kufanya kazi lakini kabla ya kwenda kuanza majukumu ya kazi akakutana na boss kwanza na nilimpeleka mwenyewe mpka lounge na alikuwa amenona.
Rushwa (hongo) ni ulafi, na ubinafsi tu, hakuna la zaidi. Ilipo hakuna haki!
Rais Suluhu ananipigia chaoua badala yakukemea, ni dhahiri haki Tz itakuwa ni ndoto!
 
Back
Top Bottom