Wana JF naomba kufahamu, ni nani anaekuLa rushwa zaidi kati ya makundi haya; Polisi, TANROAD, Mahakama, Kamati za zabuni, Wasimamizi wa miradi ya; na Barabara za halimashauri, na Tanesco na Maliasili. Je taarifa ya TLHR ya 2012 imetenda haki?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.