Hivi ni chombo gani chenye mamlaka ya kufanya checks na balance pccb? ukiacha Dpp?
pili, je ofisa wa takukuru anaweza kumkamata mla rushwa influencial bila kibali cha siasa? waziri au rais?
tatu, je pccb ina wachunguzi wenye sifa?
nne, rasilimali kwa maana ya investment tuliyoifanya kwa kuiunda pccb, kuiwezesha in terms of majengo, human capital pamoja na mihela tunayowapa monthly je iko justified na vikesi vya kusingizia watu? na kukwepa kushtaki eg Epa, rada nk?
tano, kuonyesha kwamba tunapoteza pesa za nchi bure kwa hawa jamaa, ni kwamba over 90% ya kesi zao hufunguliwa baada ya media kufunguka na wao kuumbuka, sasa kama ndivyo polisi na Dpp wanatosha.
sita, kwenye kuzuia rushwa ndo kwa elimu kwa umma pekee? kwa kuunda club mashuleni? wameintervene mangapi kwenye tender, ajira nk ushuzi mtupu
On my opinion ant-corruption body in any country is a must, but a non profesional body is a waste, hatuna haja ya TZ kuwa na Takukuru tuna haja ya kuwa na chombo cha kitaalam, huru chenye weledi wa kuzuia na kupambana na rushwa likini hii agency tulionayo leo ni redundant.