Rupia: Hazina ya Mjerumani

Sidhani kama hiki kitu ni kweli. Kuna watu walizusha kwamba kwenye milima ya Usambara hao wajerumani walificha mali zao na waliwaua wale waswahili waliobeba zile mali ili kuficha siri ya uwepo wa hizo mali. Katika miaka ya themanini likazuka kundi la watu na kuna mtu alifadhili ufukuaji wa hizo mali.
Katika hilo kundi kuna Bwana mmoja alidai babu yake alikuwa ni mmoja wa wapagazi wa Wajerumani na alifanikiwa kuwachoropoka Wajerumani na kutokomea baada ya kufukia hizo amali. Eti pia babu yake aliwahi kumueleza kwamba hapo kwenye hilo eneo ndipo zilipofukiwa hizo mali na kuna alama maalum za kijerumani ambazo zinapatikana kwenye hayo mahandaki zinazotambulisha hayo maeneo. Na kwamba alama hizo ziliwekwa wakati wakifukia na pia huonyesha uelekeo wa sehemu zilikofichwa hizo mali.
Walifukua kipande cha mlima na baada ya tajiri kuona huo ni uongo alitokomea bila kuwaaga. Waliendelea kufukua na kukopa chakula, ila kila siku waliendelea kupungua (walitoroka kimyakimya). Hakuna walichopata zaidi ya kuambulia madeni!
 
Jamani hiii nikweli waliacha mali Tanzania..kuna maeneo mengi ukitembea milimani utakuta vyuma flani vya mviringo vimejazwa udongo wa cement kali.juu kuna maandishi yanaonesha vipimo flani vya umbali kutoka usawa wa alama hiyo ilipo.ninae changia maada hii ninauhakika. Ila cjawahi kuona wamefika na kuchukua mali ila hali hii ipo kabisa.. Nivigum kuamini kwasababu tumechelewa kupata elim lkn habari hii ni yakweli kabisa
 
hata hapa morogoro zipo mhizo stry huku juu miliman na mm hilo jengo nimewah kuingia na kuna alama fulan inasemekana waliojaribu walikufa kifo kibaya sana
 
N
Nimeshawahi sikia stori ya aina hii sikuamini. ila moja ya sehemu inayosemwa ni Mwambao wa Mto Ruvuma wilaya ya Namtumbo Maeneo yanaitwa kama sikosei Milepa, kuna hazina kubwa na wajerumani na inasemekana ukienda bila wao hupati kitu. na maeneo yenye hazina hizo nasikia wameyaweka alama ya vimiti fulani hivi inasemekana havikui coz vilipakwa dawa fulani. (Angalizo; Inasemekana sijathibitisha)
 
Mnazo wapi hizo?
Hebu nielekeze duka hilo na bei yake maana hiyo niliyoweka ni 3m
Hiyo unachoka mkono na inachosha kuivaa kiunoni,ssa zipo kama ipad vile ngoja iingie alafu nikutupie uione.hiyo nilinunua mwaka 2009 ilikuwa 7mill kwa hela yetu ssa cjui kwani kuna matoleo mengi yamepita hapo katikati ndo nimeona niipiganie hii yenye mfumo kama ipad unaweka tu kwenye bag,unazunguka pori to pori
 
Inaonekana umeokota za kutosha (gold) kama hizo mashine zinachambua
Hongera sana
Naona utajiri unao
Najua kuna companies zina toa hivyo vifaa na kazi ni kuokota vito vya thamani beach
 
Aisee Mshana uko vizuri kwenye mambo haya,mi mwenyewe nilikuwa napata masimulizi sasa leo umenipa ufahamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…