Rungwe tuna wabunge bubu!

huyo mwabukusi angoje 2040 labda lakin sio busokelo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba nikurekebishe hapo. ...wanyakyusa sio wanajiona ila ndo kabila superior kabila kwa mbeya hata huyo msafwa akifika mjin anajitambulisha kuwa Mnyakyusa hasemi msafwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hujakosea mkuu sisi Tunavibur na dharau sio kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NATUNZA COMMENT YAKO MKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenyoosha mkuu mana anatusemea na sisi wa Busokelo yeye aongelee ya huko kwao kila mtu apambane na khari yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe na unayemuunga mkono ni WABINAFSI wa hali ya juu.

Wananchi wanalia na barabara wewe unasema kila mtu apambane na hali yake!!!
Naamini ninyi ni mapandikizi ya "bhajanga" ili kupanda mbegu za mafarakano wilayani Rungwe.
Mtashindwa.
 
LIKE KUBWA SANA KWAKO MKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikie eti wanawasilisha hoja zao kwa maandishi na sio lazima wasimame bungen kuchangia hoja ama kuongea matatizo ya majimbo yao.
Unayoamini binafsi achilia mbali.
Kujenga hoja na kuitetea kwa ajili ya wananchi wako ndo inamfanya mtu aitwe mwanasiasa mahiri.

Mtu mbunge ukiwa kimya miaka mitano mizima una faida gani kwa wananchi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NATUNZA COMMENT YAKO MKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefuatilia comments zako zenye mtizamo hasi juu ya wana Rungwe.

Unaweza kuwa pandikizi la kuingiza mfarakano kati yanwana Rungwe, tabia ambayo haikubaiki.

Wewe na yule anayeitwa Polepole mna misimamo fake kupendezesha waliowatuma.
Bottom line mi ni CCM na watu wanafiki na mamluki kama ninyi ni wa kuumbuliwa.

Tatizo letu kimaendeleo na kimkakati Rungwe ni barabara, no less no more.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…