uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 14,851
- 26,936
Sidhani kama unajua ulichokuwa unaandika!! Hahahaaaa....!! JF Daaah
Standard ya Ulimwengu wa Aviation, ni lazima anaetua na ndege apewe ishara na mtu aliye ardhini, HILI NI LA LAZIMA LAZIMA LAZIMA! sasa sielewi unachosema.