Rais JK na bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, sikieni kilio hiki kwa niaba ya wana MMU pelekeni mswada bungeni tujizolee tu kama kenya hata kumi unaowa ni pumzi yako tu.
Mkuu lakini hiyo ni idea nzuri sana!
Maana dada powa hawataonekana tena barabarani hata wawili tu kwa kila mtanzania,
Mfano nchi za kiarabu mpaka wanawake wa kuoa ni adimu, unamchumbia akiwa bado mdogo,
Kijana hajaoa hakuna zinaa labda siku hizi kwa dada wa nyumbani wanaotoka east Africa.