Ruge vs Mengi

Status
Not open for further replies.

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,709
Reaction score
35,701
Sasa hivi tunavyoomboleza kuondokewa na mdau mkubwa katika tasnia ya habari.
Leo nataka kuangalia nani ataenziwa na watanzania pamoja na viongozi wetu katika mchango kwa jamii.

Ruge alienziwa sana kwa kusaidia wasanii na vijana mbalimbali kupitia THT na CLOUDS MEDIA na Dr. Mengi pia amekuwa msaada mkubwa sana katika jamii ya watanzania kwa makundi mbalimbali kuanzia vijana, walemavu, wasiojiweza na Makundi mengine.

Leo sio kwamba nashindanisha hawa watu wawili HASHA! bali nataka kuona muitikio wa jamii katika msiba wa mzee wetu mpendwa na mfanyabiadhara. Mshangiaji mkubwa wa uchumi wetu kwa uwekezaji.

NB: SISHINDANISHI MISIBA
NATAKA KUONA MUITIKIO WA JAMII kwenye tukio la MZEE WETU!!!



Nawasilisha!
 
Ruge bwana atabaki kua juu sio kwamba alikua na pesa nyingi ra hasha.. ata top 50 za tz hakuwepo...

Ila alisaidia sanaa ku change mawazo ya vijana wengi haswa tasnia za sanaa mbali mbali na watangazaji... Hivyo maneno yake yanaishi mioyoni mwao...

Mengi naye anamchango mkubwa sanaa na alikua anaweza kujitoa kwa pesa zake kwa walemavu na kuwafanyia sherehe kila mwaka

Mwenye Mungu awaweke mahali wanapo stahili
 
unahisi Dr. Mengi hana mchango mkubwa kwa vijana kupitia EATV and EA Radio? vipi kuhusu mchango wake kwa kuandika kitabu cha I MUST I WILL I CAN? au kwa kuwa hakuwa na kitua cha kulelea vipaji kama THT?
 
Nadhani baada ya mazishi ya Mwalimu Nyerere hajapata kutokea Mtu yeyoye ambae Msiba wake ulikuwa Mkubwa kama Ruge Mutahabaaa.... Ruge was someone special aisee nchi ilitetemekaaa...
 
Ruge ni ruge na mengi ni mengi...kila mmoja efanya kwa nafasi yake kwenye hii dunia
 
Labda ungeanzia maeneo waliofia- South Africa vs Dubai.
 


Kwa Tanzania tunavyopenda upuuzi na vitu visivyo na maana, sitashangaa kama Mengi hatopata watu wengi kama Ruge japo wengi walikuwa hatumjuwi (Ruge).
 
alikuzwa na media sio kama alikua na hadhi hio (no offence)
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…