EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,701
Sasa hivi tunavyoomboleza kuondokewa na mdau mkubwa katika tasnia ya habari.
Leo nataka kuangalia nani ataenziwa na watanzania pamoja na viongozi wetu katika mchango kwa jamii.
Ruge alienziwa sana kwa kusaidia wasanii na vijana mbalimbali kupitia THT na CLOUDS MEDIA na Dr. Mengi pia amekuwa msaada mkubwa sana katika jamii ya watanzania kwa makundi mbalimbali kuanzia vijana, walemavu, wasiojiweza na Makundi mengine.
Leo sio kwamba nashindanisha hawa watu wawili HASHA! bali nataka kuona muitikio wa jamii katika msiba wa mzee wetu mpendwa na mfanyabiadhara. Mshangiaji mkubwa wa uchumi wetu kwa uwekezaji.
NB: SISHINDANISHI MISIBA
NATAKA KUONA MUITIKIO WA JAMII kwenye tukio la MZEE WETU!!!
Nawasilisha!
Leo nataka kuangalia nani ataenziwa na watanzania pamoja na viongozi wetu katika mchango kwa jamii.
Ruge alienziwa sana kwa kusaidia wasanii na vijana mbalimbali kupitia THT na CLOUDS MEDIA na Dr. Mengi pia amekuwa msaada mkubwa sana katika jamii ya watanzania kwa makundi mbalimbali kuanzia vijana, walemavu, wasiojiweza na Makundi mengine.
Leo sio kwamba nashindanisha hawa watu wawili HASHA! bali nataka kuona muitikio wa jamii katika msiba wa mzee wetu mpendwa na mfanyabiadhara. Mshangiaji mkubwa wa uchumi wetu kwa uwekezaji.
NB: SISHINDANISHI MISIBA
NATAKA KUONA MUITIKIO WA JAMII kwenye tukio la MZEE WETU!!!
Nawasilisha!