Sana tena sana
Lakini huyu Sonny Bill Williams ndo anaengelewa kupita kiasi sas
ni kama kipindi kile Dan Carter alivyoingiaga.. Sonny anacheza vizuri sa
na atafika mbali sana..
<font size="3">All blacks wazushi. wamepumzisha wachezaji kwa ajili ya France. Sasa France itapumzisha wao kwenye hiyo game. For them its a meaningless game!</font>
Akili nywele ......
Utafanyalo uwezalo ku win.. ilimradi usi cheat.
Hata hivyo walimweka Son Bill baada ya half
Time .. (wasn't necessary ) maana walichajua
Watashinda.. sasa we ulitaka wa muweke
Carter na MC Cower ya nini.. si bora wapumzuke tu..after all watahitajika zaidi huko majuu..
Akili nywele ......
Utafanyalo uwezalo ku win.. ilimradi usi cheat.
Hata hivyo walimweka Son Bill baada ya half
Time .. (wasn't necessary ) maana walichajua
Watashinda.. sasa we ulitaka wa muweke
Carter na MC Cower ya nini.. si bora wapumzuke tu..after all watahitajika zaidi huko majuu..