Rufaa ya Kafulila: Mpambano bado unaendelea Tabora

Rufaa ya Kafulila: Mpambano bado unaendelea Tabora

Kwahiyo unataka tujadili hili badala ya uzi wa kafulila ?
Nimekupa mwaliko usogee kwenye ule uzi ujipime unafiki wako na ulivyo NYUMBU.....
By the way Rufaa ya Kafulia, you've nothing to do with it. Ni bora Sana ukajisafisha ndani yako si kwa unafiki ule Mkuu
 
huyu jamaa ni nguzo muhimu sana inayokosekana bungeni, laiti angekuwepo bungeni tungepata mengi sana zaidi ya mwiba wa escrow ambao unawasakama mafisadi wote walioiba gizani na mara taa ikawashwa! mafisadi ni kazi za shetani manake hawashibi miaka na miaka wanaibia walalahoi tu!, kwakuwa Mungu si wa mtu mmoja , kama jamaa alipokwa ushindi kimagumashi Mungu atasimamia haki na inshallah atashinda rufaa yake, namkubali sana Mr K, ni jasiri mno na naamini Mungu atampa afya daima kwa kuipigania nchi yake, huyu jamaa akiwepo kushoto kuibua mafisadi bungeni na mkuu anavyokaba penati shavu la kulia, nchi itatajirika in a very short time.

this is special kwa mafisadi kutafakari, life expectancy miaka 70 ikizidi 80 unaagwa kwa nyimbo na mapambio na kurudi mavumbini, mtu na family nzima unahitaji just one house, two sufurias moja ya ugali na moja ya mboga, unahitaji just one or two cars for family, sasa unaiba 1B and more ambazo ni haki za watu wengine kwa jili gani?

for us makapuku , we need Mr K now more than ever.
umenikosha sana mkuu! naomba upokee like yangu
 
Yaani atayangazwa mshindi mwaka 2020 mwezi wa 9 hapo wanampiga danadana tu
 
Kafulila atarudi Bungeni tu, ushahidi uko dhahiri sana kupitia fomu hizo za matokeo ya Tume kwa kila kituo.
Ni sawa na kesi ya Wasira dhidi ya Bulaya nayo iko dhahiri sana kwamba Wasira alishindwa kwa mbali sana.
Wanachokifanya sasa ni ubishi tu.
 
Nimekupa mwaliko usogee kwenye ule uzi ujipime unafiki wako na ulivyo NYUMBU.....
By the way Rufaa ya Kafulia, you've nothing to do with it. Ni bora Sana ukajisafisha ndani yako si kwa unafiki ule Mkuu
Ndio maana nimekuuliza ni lini umeingia jf , maana hoja yako imeulizwa na kujibiwa kwa ufasaha atleast 10 times , sasa ungekuwa na akili ungetafuta majibu kule , kuna kitu hukijui kuhusu chadema , labda kwa kukusaidia tu ni kwamba adui wa kwanza wa cdm ni ccm na kila anayeambatana nayo na rafiki yetu ni kila apingaye ccm .
 
Jaji anaficha form zinazoonyesha mshindi alf anateuliwa kuwa jaji wa mahakama kuu nchi hii, jamani, nitamwamini jaji othuman chande kuanzia.
 
Wanasheria mnisaidie Kafulila akishinda atakuwa mbunge from when? Kwa maana kwamba atalipwa mishahara yake ya toka 2015? Huyo aliyepora atarejesha malipo yasiyo halo yake?
 
Mazingira ya kesi ya Kafulila yanafanana na kesi ya Wenje Mwanza.
 
Mkuu Mimi ni wa Kitambo tu hapa JF hata nilikuwa na ID nyingine nikawa nalambishwa sana BAN, nikaamua kuja na hii ID ambayo nayo iko na zaidi ya 3yrs.

Lakini Mkuu, pamoja na ukongwe wangu Wote sijawahi kuona Mnafiki wa kiwango cha Lami zaidi yako, this either goes to Hon Julius Mtatiro .

Sio kwa matusi yale mliyokuwa mkimpa LOWASA kipindi hajahamia CHADEMA. mwenyekiti alivyobadilisha Gia angani ni nyie mkiongozwa na UNAFIKI mkaanza kudeki Barabara ili Fisadi Papa spite, kipindi hicho mkizungusha tu mikono.

Wakuu punguzeni Unafiki Mungu anawaona
Na wewe punguza kuropoka Mungu anakuona. Isije kuwa unatafuta ban nyingine maana yule moderator wenu toka Lumumba karudi
 
Haya ni maajabu ya Tanzania watu wanazunguka mbuyu bure tu kupiteza ela na rasilimali za nchi jaji msomi anaficha ushaidi alafu hapohapo anahukumu tnashida sana kwenye hizi mahakama zetu Kwani jaji angeweka hizo fomu hazarani na kumaliza Huo mzozo Nilikua na ugumu gani? Nauliza tu wasomi Wa sheria mnisaidie
Wa somi walikuwa enzi hizoo za Mwalimu sasa naona wengi wachumia tumbo tu over
 
Back
Top Bottom