Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Kipimo hii ilikuwa bado kuja tz. Labda wapime sasa kama bado inaweza kuonyesha what happened
Well tunawaombea; hivi DNA evidence haikuweza kutumika hapo?
Hiyo DNA test ingefanyikaje? Katika kesi ya kubaka/kunajisi kinachotakiwa ni kukamata mbegu za mwanamume ziliko kwenye sehemu za siri za mtu aliyetendewa hilo tendo ovu ili zikapimwe na kulinganishwa na DNA ya mtuhumiwa. Hao watoto wote wanaosemekana kunajisiwa na watuhumia waliibuliwa siku kibao baada ya tukio. Kwa hiyo huwezi kufanya DNA test yoyote kwa sababu huna sampuli. I stand to be corrected.